Header Ads

UB YAWAASA WAHITIMU





Na Happiness Katabazi
CHUO KIkuu Cha Bagamoyo(UB) Dar es Salaam, kimewataka wahitimu walioitimu kozi ya utetezi wa Haki za binadamu na Haki za kijamii kutumia taaluma hiyo waliyoipata Katika nchi za Afrika Mashariki bila woga ili waweze Kuwatetea wananchi ambao Haki zao zinafunjwa na hawajui jinsi ya kuzidai.

 Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Kitivo Cha Sheria Cha Chuo Kikuu Cha Bagamoyo(UB), Dk.Natujwa Mvungi juzi katika mahafali ya kuwakabidji jumla ya wahitimu 10 w yaliyofanyika Katika Ukumbi wa chuo hicho uliopo KAWE Beach Da es Salaam, AMBAPO Mafunzo hayo yalifadhiliwa na taasisi ya Akiba Uhaki  Foundation ya nchini Kenya.

Dk.Natujwa ambaye pia ni Mratibu wa kozi hiyo Alisema kozi hiyo Ulianza Septemba Mwaka Jana na kumalizika Machi mwaka huu, ambapo wahitimu Hao ambao ni raia  toka nchini za Afrika Mashariki  wakiwa fursa ya kafundishwa na Wanasheria toka vyuo mbalimbali jinsi ya kuwaza Kuwa watetezi wa Haki za binadamu kila kila nchi zao Kwani ni wazi kuna baadhi ya watu wanakunyana Haki za binadamu na wanaovunjiwa Haki hizo hawana uelewa wa jinsi kuzidai Haki hizo.

"UB imewafundisha jinsi ya kufahamu Haki za binadamu ni zipi?na wa jibu wa binadamu wa serikali na Jamii yake ni upo na Jinsi ya kuzidai Haki hizo....tu naimani mnavyorudi nchini kwenu Mtaenda kutumia elimu hii mliyoipata KWA vitendo ili wale ambao hawajafanikiwa Kuipata elimu hiyo waweze kunufaika na elimu mliyoipata" Alisema Dk. Natujwa.

Kwa upande wake Rais wa Chama Cha Tanganyika Law Society(TLS)" Charles Rwechungura, akipongeza UB, na Taasisi ya Akiba Uhaki KWA kuendesha Mafunzo hayo kutoka Kwa wahitimu Hao wanaogombea nchi za EAC Kwani licha ya swaps mwanga wahitimu Hao w kufahamu Haki za binadamu pia zimeimaimalisha mahusiano Mema haina a kataifisha hayo na kuwataka wahitimu Hao wakaitumie vyama elimu waliyoipata Katika Jamii zinazowazunguka.

Chanzo: Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Aprili 16 Mwaka 2014

No comments:

Powered by Blogger.