TUMUACHE DPP AFANYE KAZI YAKE



Na Happiness Katabazi

ALHAMISI ya wiki hii, baadhi ya vyombo vya habari likiwamo gazeti hili, viliandika habari kwamba Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Eliezer Feleshi, anadaiwa kumkingia kifua mmoja wa mawaziri aliyetakiwa kuingia katika mkumbo wa watu wanaofikishwa mahakamani, kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya mabilioni ya shilingi.
Habari za uhakika ambazo gazeti hili lilizipata zilieleza kuwa mwanasiasa huyo ambaye kwa sasa ni mbunge wa jimbo moja lililo katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, alinusurika kupelekwa mahakama ya Kisutu baada ya DPP kueleza wazi kuwa ushahidi wa kumburuza mahakamni haujajitosheleza.
Chanzo cha habari cha kuaminika kilizungumza na Tanzania Daima siku hiyo, kilidai kwamba hatua ya Ofisi ya Mwendesha Mashitaka (DPP) kumnusuru mwanasiasa huyo, imewashtua baadhi ya maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ambao kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa wamekuwa wakilichunguza sakata la mwanasiasa huyo.
Mtoa habari wetu aliieleza gazeti hili kwamba kabla ya kuwasilishwa kwa DPP kwa ajili ya uchunguzi zaidi, maofisa wa Takukuru walikuwa wamejiridhisha kuhusu kukamilika kwa shauri hilo na kulipeleka kwa DPP kwa ajili ya hatua zaidi.
Alipotafutwa ili kuelezea taarifa hizo, Feleshi, alikanusha kuingia katika undani wa suala hilo na badala yake alibainisha wazi kuwa hawezi kufanya kazi kwa shinikizo au kwa kusikiliza taarifa za kuzusha zinazotolewa na watu kwa malengo yao, bali hufanya kazi kulingana na taaluma yake na hulifanyia uchunguzi wa kina kila faili analoletewa mezani kwake.
Awali ya yote napenda kutoa pongezi kwa serikali ya awamu ya nne kwa hatua yake ya kuanza kutoka kwenye usingizi mzito na kuanza kuwafikisha mahakamani baadhi ya watuhumiwa wakiwamo wale ‘wanaotaniwa’ na kuitwa vigogo (vigogo wako katika nchi za watu walioendelea), ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na wizi wa fedha za EPA katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
Nitakuwa si muungwana kama sitatoa pongezi katika hili, kwani nami nilikuwa miongoni mwa wananchi ambaye nilishiriki kikamilifu kwa miaka miwili mfululizo kwa kuandika makala za kuishinikiza serikali kuwachukulia hatua ya watuhumiwa wa makosa hayo.
Turejee kwenye hoja yetu, ambayo inadaiwa baadhi ya maofisa waandamizi hawajaridhishwa na hatua hiyo ya DPP ya kutomfungulia kesi mbunge huyo, kwanza naomba ieleweke wazi kuwa mtu anapaswa kuheshimu kazi na taaluma ya mwenzake, tukilifahamu hilo tutaweza kuheshimiana na kujenga nchi iliyo bora.
Tangu wananchi waanze kulivalia njuga suala la ufisadi, mikataba mibovu. Watanzania tunamkumbuka Mkurugenzi wa Takukuru, Edward Hoseah, baada ya kuchunguza kama mkataba wa kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Richmond, aliutangazia umma kwamba mkataba huo hakuwa na harufu ya rushwa ndani yake, ulifuata sheria ya manunuzi ya umma na mkataba ulikuwa safi.
Baada ya taarifa yake hiyo, wananchi wa makundi mbalimbali walimpinga waziwazi hadi Bunge lilipoamua kuunda kamati ya kuchunguza mkataba huo uliojaa utata wa kila aina. Kamati hiyo iliongozwa na Dk. Harrison Mwakyembe ambaye Februari 6 mwaka huu, akisoma hotuba ya kamati yake, alisema wamebaini kampuni ya Richmond haikuwa na uwezo na kwamba sheria ya manunuzi haikufuatwa. Kwa sababu hiyo walioshiriki kuipa tenda kampuni hiyo hawakuzingatia maslahi ya taifa.
Ripoti hiyo ilisababisha aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dk. Ibrahim Msabaha, kujiuzulu nyadhifa zao baada ya kuhusishwa na kashfa hiyo.
Si hivyo tu, kwa wale tunaofutilia kwa karibu mwenendo wa mambo wa taifa letu, tutakumbuka kwamba mwaka jana wakati CCM ikiwa kwenye mchakato wa chaguzi za ndani, ni maofisa hao hao wa Takukuru waliwakamata wabunge wawili wa Kanda ya Kaskazini kwa tuhuma za rushwa na kuwafungulia kesi za rushwa.
Lakini hatimaye mahakama husika iliwafutia kesi zao baada ya kubaini hakuna na ushaidi wa kuwatia hatiani. Lakini wakati mahakama inatoa uamuzi huo wabunge hao waliokuwa wakigombea nafasi za uongozi kwenye chama hicho hawakuweza kugombea nafasi hizo, baada ya kuenguliwa kutokana na tuhuma hiyo ya rushwa, tukio lililohusishwa na mambo ya kisiasa.
Ni Takukuru hii hii iliyopeleleza baadhi ya tuhuma za watuhumiwa na kuwafikisha kwa ‘mbwembwe’ nyingi mahakamani, lakini sasa tunashuhudia vioja vya aina yake kwa mashahidi wanaokuja kutoa ushahdi katika kesi hizo zilifunguliowa na Takukuru, hasa kwa kutoonekana ushahidi wa kutosha wa kesi hizo zilizochunguzwa na Takukuru. (Angaliza: Kitendo cha serikali kupoteza kesi ni sawa na kupoteza heshima yake na fedha za walipa kodi – kwani hatimaye walioshinda hufungua kesi za madai dhidi ya serikali).
Kwa sababu hizo sioni sababu ya baadhi ya maofisa waandamizi wa Takukuru (wanajijua) ambao nisingependa kuwataja kwa majina katika makala hii, kuchachamaa kisirisiri kuwa ofisi ya DPP haijamburuza mahakamani kigogo huyo, ilhali wao wameshakamilisha uchunguzi. Kwa historia niliyoeleza hapo juu maofisa hao hawapaswi hata kidogo kumnyooshea kidole DPP ambaye ameonekana kujali zaidi taaluma yake ya sheria.
Wananchi wanakerwa mno na ufisadi uliokithiri kila pembe ya nchi hii, lakini kwa sababu DPP ameshatuahidi kwamba anayafanyia kazi makabrasha ya watuhumiwa wa EPA na mengineyo, kinachopaswa kufanywa hivi sasa ni kumpa muda DPP aitekeleze kazi yake bila shinikizo.
DPP ameonyesha wazi kuwa asingependa kuwaburuza mahakamani watu bila kuhakiki kwa kina kama kuna ushahidi wa kutosha kuwaburuza mahakamani, ili kukwepa kuiingiza serikali katika hasara ya kuwalipa fidia watu ambao baada ya kushinda kesi huidai fidia serikali kwa kuwadhalilisha.
Si siri kwa muda mrefu vyombo vya dola vimekuwa vikiwafungulia kesi baadhi ya wananchi kwa malengo yao binafsi, hali inayosababisha wananchi wasio na hatia kusota rumande, hali inayosababisha wananchi kujenga chuki na serikali yao.
Hakuna mtu aliye juu ya sheria au mwenye hakimiliki ya nchi hii, hivyo kila mmoja ana jukumu la kujenga nchi kulingana na nafasi yake. Hivyo tumpe nafasi Eliezer Feleshi na vijana wake wachambue kwa kina mafaili ya watuhumiwa wa EPA, mikataba mibovu na makosa mengine na wakijiridhisha wana ushaidi wawaburuze mahakamani bila kuchelewa.
Kama DPP atafanya kazi kwa msukumo wa kisiasa au kumfurahisha bosi kama wengine wanavyofanya kuliko taaluma yake ya kisheria, kuna kila dalili haki za watu kupotea pamoja na nchi kujikuta katika hasara kubwa baada ya watu kadhaa walioburuzwa mahakamani kushinda kesi walizofunguliwa.
Ni vema tukakawia lakini tukafikia. Kwani miongoni mwetu tunaochachamaa watu hawa wafikishwe mahakamani bila uchunguzi kukamilika, siku wakishinda kesi tutaanza kutoa maneno kadhaa ikiwa ni pamoja na kudai ‘wamewahonga’ mahakimu au kuburuzwa kwao mahakamani kulikuwa ni kwa lengo fulani. Tusifike huko, sote tuendelee kuibua maovu mengine na kupongeza pale serikali inapofanya vizuri..
Mungu ibariki Tanzania, Mungu Afrika.

0755 312859
katabazihappy@yahoo.com:www.katabazihappy.blogspot.com

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima Jumapili Novemba 30 mwaka 2008

TUMUACHE DPP AFANYE KAZI YAKE

Na Happiness Katabazi

ALHAMISI ya wiki hii, baadhi ya vyombo vya habari likiwamo gazeti hili, viliandika habari kwamba Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Eliezer Feleshi, anadaiwa kumkingia kifua mmoja wa mawaziri aliyetakiwa kuingia katika mkumbo wa watu wanaofikishwa mahakamani, kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya mabilioni ya shilingi.
Habari za uhakika ambazo gazeti hili lilizipata zilieleza kuwa mwanasiasa huyo ambaye kwa sasa ni mbunge wa jimbo moja lililo katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, alinusurika kupelekwa mahakama ya Kisutu baada ya DPP kueleza wazi kuwa ushahidi wa kumburuza mahakamni haujajitosheleza.
Chanzo cha habari cha kuaminika kilizungumza na Tanzania Daima siku hiyo, kilidai kwamba hatua ya Ofisi ya Mwendesha Mashitaka (DPP) kumnusuru mwanasiasa huyo, imewashtua baadhi ya maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ambao kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa wamekuwa wakilichunguza sakata la mwanasiasa huyo.
Mtoa habari wetu aliieleza gazeti hili kwamba kabla ya kuwasilishwa kwa DPP kwa ajili ya uchunguzi zaidi, maofisa wa Takukuru walikuwa wamejiridhisha kuhusu kukamilika kwa shauri hilo na kulipeleka kwa DPP kwa ajili ya hatua zaidi.
Alipotafutwa ili kuelezea taarifa hizo, Feleshi, alikanusha kuingia katika undani wa suala hilo na badala yake alibainisha wazi kuwa hawezi kufanya kazi kwa shinikizo au kwa kusikiliza taarifa za kuzusha zinazotolewa na watu kwa malengo yao, bali hufanya kazi kulingana na taaluma yake na hulifanyia uchunguzi wa kina kila faili analoletewa mezani kwake.
Awali ya yote napenda kutoa pongezi kwa serikali ya awamu ya nne kwa hatua yake ya kuanza kutoka kwenye usingizi mzito na kuanza kuwafikisha mahakamani baadhi ya watuhumiwa wakiwamo wale ‘wanaotaniwa’ na kuitwa vigogo (vigogo wako katika nchi za watu walioendelea), ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na wizi wa fedha za EPA katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
Nitakuwa si muungwana kama sitatoa pongezi katika hili, kwani nami nilikuwa miongoni mwa wananchi ambaye nilishiriki kikamilifu kwa miaka miwili mfululizo kwa kuandika makala za kuishinikiza serikali kuwachukulia hatua ya watuhumiwa wa makosa hayo.
Turejee kwenye hoja yetu, ambayo inadaiwa baadhi ya maofisa waandamizi hawajaridhishwa na hatua hiyo ya DPP ya kutomfungulia kesi mbunge huyo, kwanza naomba ieleweke wazi kuwa mtu anapaswa kuheshimu kazi na taaluma ya mwenzake, tukilifahamu hilo tutaweza kuheshimiana na kujenga nchi iliyo bora.
Tangu wananchi waanze kulivalia njuga suala la ufisadi, mikataba mibovu. Watanzania tunamkumbuka Mkurugenzi wa Takukuru, Edward Hoseah, baada ya kuchunguza kama mkataba wa kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Richmond, aliutangazia umma kwamba mkataba huo hakuwa na harufu ya rushwa ndani yake, ulifuata sheria ya manunuzi ya umma na mkataba ulikuwa safi.
Baada ya taarifa yake hiyo, wananchi wa makundi mbalimbali walimpinga waziwazi hadi Bunge lilipoamua kuunda kamati ya kuchunguza mkataba huo uliojaa utata wa kila aina. Kamati hiyo iliongozwa na Dk. Harrison Mwakyembe ambaye Februari 6 mwaka huu, akisoma hotuba ya kamati yake, alisema wamebaini kampuni ya Richmond haikuwa na uwezo na kwamba sheria ya manunuzi haikufuatwa. Kwa sababu hiyo walioshiriki kuipa tenda kampuni hiyo hawakuzingatia maslahi ya taifa.
Ripoti hiyo ilisababisha aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dk. Ibrahim Msabaha, kujiuzulu nyadhifa zao baada ya kuhusishwa na kashfa hiyo.
Si hivyo tu, kwa wale tunaofutilia kwa karibu mwenendo wa mambo wa taifa letu, tutakumbuka kwamba mwaka jana wakati CCM ikiwa kwenye mchakato wa chaguzi za ndani, ni maofisa hao hao wa Takukuru waliwakamata wabunge wawili wa Kanda ya Kaskazini kwa tuhuma za rushwa na kuwafungulia kesi za rushwa.
Lakini hatimaye mahakama husika iliwafutia kesi zao baada ya kubaini hakuna na ushaidi wa kuwatia hatiani. Lakini wakati mahakama inatoa uamuzi huo wabunge hao waliokuwa wakigombea nafasi za uongozi kwenye chama hicho hawakuweza kugombea nafasi hizo, baada ya kuenguliwa kutokana na tuhuma hiyo ya rushwa, tukio lililohusishwa na mambo ya kisiasa.
Ni Takukuru hii hii iliyopeleleza baadhi ya tuhuma za watuhumiwa na kuwafikisha kwa ‘mbwembwe’ nyingi mahakamani, lakini sasa tunashuhudia vioja vya aina yake kwa mashahidi wanaokuja kutoa ushahdi katika kesi hizo zilifunguliowa na Takukuru, hasa kwa kutoonekana ushahidi wa kutosha wa kesi hizo zilizochunguzwa na Takukuru. (Angaliza: Kitendo cha serikali kupoteza kesi ni sawa na kupoteza heshima yake na fedha za walipa kodi – kwani hatimaye walioshinda hufungua kesi za madai dhidi ya serikali).
Kwa sababu hizo sioni sababu ya baadhi ya maofisa waandamizi wa Takukuru (wanajijua) ambao nisingependa kuwataja kwa majina katika makala hii, kuchachamaa kisirisiri kuwa ofisi ya DPP haijamburuza mahakamani kigogo huyo, ilhali wao wameshakamilisha uchunguzi. Kwa historia niliyoeleza hapo juu maofisa hao hawapaswi hata kidogo kumnyooshea kidole DPP ambaye ameonekana kujali zaidi taaluma yake ya sheria.
Wananchi wanakerwa mno na ufisadi uliokithiri kila pembe ya nchi hii, lakini kwa sababu DPP ameshatuahidi kwamba anayafanyia kazi makabrasha ya watuhumiwa wa EPA na mengineyo, kinachopaswa kufanywa hivi sasa ni kumpa muda DPP aitekeleze kazi yake bila shinikizo.
DPP ameonyesha wazi kuwa asingependa kuwaburuza mahakamani watu bila kuhakiki kwa kina kama kuna ushahidi wa kutosha kuwaburuza mahakamani, ili kukwepa kuiingiza serikali katika hasara ya kuwalipa fidia watu ambao baada ya kushinda kesi huidai fidia serikali kwa kuwadhalilisha.
Si siri kwa muda mrefu vyombo vya dola vimekuwa vikiwafungulia kesi baadhi ya wananchi kwa malengo yao binafsi, hali inayosababisha wananchi wasio na hatia kusota rumande, hali inayosababisha wananchi kujenga chuki na serikali yao.
Hakuna mtu aliye juu ya sheria au mwenye hakimiliki ya nchi hii, hivyo kila mmoja ana jukumu la kujenga nchi kulingana na nafasi yake. Hivyo tumpe nafasi Eliezer Feleshi na vijana wake wachambue kwa kina mafaili ya watuhumiwa wa EPA, mikataba mibovu na makosa mengine na wakijiridhisha wana ushaidi wawaburuze mahakamani bila kuchelewa.
Kama DPP atafanya kazi kwa msukumo wa kisiasa au kumfurahisha bosi kama wengine wanavyofanya kuliko taaluma yake ya kisheria, kuna kila dalili haki za watu kupotea pamoja na nchi kujikuta katika hasara kubwa baada ya watu kadhaa walioburuzwa mahakamani kushinda kesi walizofunguliwa.
Ni vema tukakawia lakini tukafikia. Kwani miongoni mwetu tunaochachamaa watu hawa wafikishwe mahakamani bila uchunguzi kukamilika, siku wakishinda kesi tutaanza kutoa maneno kadhaa ikiwa ni pamoja na kudai ‘wamewahonga’ mahakimu au kuburuzwa kwao mahakamani kulikuwa ni kwa lengo fulani. Tusifike huko, sote tuendelee kuibua maovu mengine na kupongeza pale serikali inapofanya vizuri..
Mungu ibariki Tanzania, Mungu Afrika.

0755 312859
katabazihappy@yahoo.com:www.katabazihappy.blogspot.com

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima Jumapili Novemba 30 mwaka 2008



Na Happiness Katabazi

ALHAMISI ya wiki hii, baadhi ya vyombo vya habari likiwamo gazeti hili, viliandika habari kwamba Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Eliezer Feleshi, anadaiwa kumkingia kifua mmoja wa mawaziri aliyetakiwa kuingia katika mkumbo wa watu wanaofikishwa mahakamani, kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya mabilioni ya shilingi.
Habari za uhakika ambazo gazeti hili lilizipata zilieleza kuwa mwanasiasa huyo ambaye kwa sasa ni mbunge wa jimbo moja lililo katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, alinusurika kupelekwa mahakama ya Kisutu baada ya DPP kueleza wazi kuwa ushahidi wa kumburuza mahakamni haujajitosheleza.
Chanzo cha habari cha kuaminika kilizungumza na Tanzania Daima siku hiyo, kilidai kwamba hatua ya Ofisi ya Mwendesha Mashitaka (DPP) kumnusuru mwanasiasa huyo, imewashtua baadhi ya maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ambao kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa wamekuwa wakilichunguza sakata la mwanasiasa huyo.
Mtoa habari wetu aliieleza gazeti hili kwamba kabla ya kuwasilishwa kwa DPP kwa ajili ya uchunguzi zaidi, maofisa wa Takukuru walikuwa wamejiridhisha kuhusu kukamilika kwa shauri hilo na kulipeleka kwa DPP kwa ajili ya hatua zaidi.
Alipotafutwa ili kuelezea taarifa hizo, Feleshi, alikanusha kuingia katika undani wa suala hilo na badala yake alibainisha wazi kuwa hawezi kufanya kazi kwa shinikizo au kwa kusikiliza taarifa za kuzusha zinazotolewa na watu kwa malengo yao, bali hufanya kazi kulingana na taaluma yake na hulifanyia uchunguzi wa kina kila faili analoletewa mezani kwake.
Awali ya yote napenda kutoa pongezi kwa serikali ya awamu ya nne kwa hatua yake ya kuanza kutoka kwenye usingizi mzito na kuanza kuwafikisha mahakamani baadhi ya watuhumiwa wakiwamo wale ‘wanaotaniwa’ na kuitwa vigogo (vigogo wako katika nchi za watu walioendelea), ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na wizi wa fedha za EPA katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
Nitakuwa si muungwana kama sitatoa pongezi katika hili, kwani nami nilikuwa miongoni mwa wananchi ambaye nilishiriki kikamilifu kwa miaka miwili mfululizo kwa kuandika makala za kuishinikiza serikali kuwachukulia hatua ya watuhumiwa wa makosa hayo.
Turejee kwenye hoja yetu, ambayo inadaiwa baadhi ya maofisa waandamizi hawajaridhishwa na hatua hiyo ya DPP ya kutomfungulia kesi mbunge huyo, kwanza naomba ieleweke wazi kuwa mtu anapaswa kuheshimu kazi na taaluma ya mwenzake, tukilifahamu hilo tutaweza kuheshimiana na kujenga nchi iliyo bora.
Tangu wananchi waanze kulivalia njuga suala la ufisadi, mikataba mibovu. Watanzania tunamkumbuka Mkurugenzi wa Takukuru, Edward Hoseah, baada ya kuchunguza kama mkataba wa kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Richmond, aliutangazia umma kwamba mkataba huo hakuwa na harufu ya rushwa ndani yake, ulifuata sheria ya manunuzi ya umma na mkataba ulikuwa safi.
Baada ya taarifa yake hiyo, wananchi wa makundi mbalimbali walimpinga waziwazi hadi Bunge lilipoamua kuunda kamati ya kuchunguza mkataba huo uliojaa utata wa kila aina. Kamati hiyo iliongozwa na Dk. Harrison Mwakyembe ambaye Februari 6 mwaka huu, akisoma hotuba ya kamati yake, alisema wamebaini kampuni ya Richmond haikuwa na uwezo na kwamba sheria ya manunuzi haikufuatwa. Kwa sababu hiyo walioshiriki kuipa tenda kampuni hiyo hawakuzingatia maslahi ya taifa.
Ripoti hiyo ilisababisha aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dk. Ibrahim Msabaha, kujiuzulu nyadhifa zao baada ya kuhusishwa na kashfa hiyo.
Si hivyo tu, kwa wale tunaofutilia kwa karibu mwenendo wa mambo wa taifa letu, tutakumbuka kwamba mwaka jana wakati CCM ikiwa kwenye mchakato wa chaguzi za ndani, ni maofisa hao hao wa Takukuru waliwakamata wabunge wawili wa Kanda ya Kaskazini kwa tuhuma za rushwa na kuwafungulia kesi za rushwa.
Lakini hatimaye mahakama husika iliwafutia kesi zao baada ya kubaini hakuna na ushaidi wa kuwatia hatiani. Lakini wakati mahakama inatoa uamuzi huo wabunge hao waliokuwa wakigombea nafasi za uongozi kwenye chama hicho hawakuweza kugombea nafasi hizo, baada ya kuenguliwa kutokana na tuhuma hiyo ya rushwa, tukio lililohusishwa na mambo ya kisiasa.
Ni Takukuru hii hii iliyopeleleza baadhi ya tuhuma za watuhumiwa na kuwafikisha kwa ‘mbwembwe’ nyingi mahakamani, lakini sasa tunashuhudia vioja vya aina yake kwa mashahidi wanaokuja kutoa ushahdi katika kesi hizo zilifunguliowa na Takukuru, hasa kwa kutoonekana ushahidi wa kutosha wa kesi hizo zilizochunguzwa na Takukuru. (Angaliza: Kitendo cha serikali kupoteza kesi ni sawa na kupoteza heshima yake na fedha za walipa kodi – kwani hatimaye walioshinda hufungua kesi za madai dhidi ya serikali).
Kwa sababu hizo sioni sababu ya baadhi ya maofisa waandamizi wa Takukuru (wanajijua) ambao nisingependa kuwataja kwa majina katika makala hii, kuchachamaa kisirisiri kuwa ofisi ya DPP haijamburuza mahakamani kigogo huyo, ilhali wao wameshakamilisha uchunguzi. Kwa historia niliyoeleza hapo juu maofisa hao hawapaswi hata kidogo kumnyooshea kidole DPP ambaye ameonekana kujali zaidi taaluma yake ya sheria.
Wananchi wanakerwa mno na ufisadi uliokithiri kila pembe ya nchi hii, lakini kwa sababu DPP ameshatuahidi kwamba anayafanyia kazi makabrasha ya watuhumiwa wa EPA na mengineyo, kinachopaswa kufanywa hivi sasa ni kumpa muda DPP aitekeleze kazi yake bila shinikizo.
DPP ameonyesha wazi kuwa asingependa kuwaburuza mahakamani watu bila kuhakiki kwa kina kama kuna ushahidi wa kutosha kuwaburuza mahakamani, ili kukwepa kuiingiza serikali katika hasara ya kuwalipa fidia watu ambao baada ya kushinda kesi huidai fidia serikali kwa kuwadhalilisha.
Si siri kwa muda mrefu vyombo vya dola vimekuwa vikiwafungulia kesi baadhi ya wananchi kwa malengo yao binafsi, hali inayosababisha wananchi wasio na hatia kusota rumande, hali inayosababisha wananchi kujenga chuki na serikali yao.
Hakuna mtu aliye juu ya sheria au mwenye hakimiliki ya nchi hii, hivyo kila mmoja ana jukumu la kujenga nchi kulingana na nafasi yake. Hivyo tumpe nafasi Eliezer Feleshi na vijana wake wachambue kwa kina mafaili ya watuhumiwa wa EPA, mikataba mibovu na makosa mengine na wakijiridhisha wana ushaidi wawaburuze mahakamani bila kuchelewa.
Kama DPP atafanya kazi kwa msukumo wa kisiasa au kumfurahisha bosi kama wengine wanavyofanya kuliko taaluma yake ya kisheria, kuna kila dalili haki za watu kupotea pamoja na nchi kujikuta katika hasara kubwa baada ya watu kadhaa walioburuzwa mahakamani kushinda kesi walizofunguliwa.
Ni vema tukakawia lakini tukafikia. Kwani miongoni mwetu tunaochachamaa watu hawa wafikishwe mahakamani bila uchunguzi kukamilika, siku wakishinda kesi tutaanza kutoa maneno kadhaa ikiwa ni pamoja na kudai ‘wamewahonga’ mahakimu au kuburuzwa kwao mahakamani kulikuwa ni kwa lengo fulani. Tusifike huko, sote tuendelee kuibua maovu mengine na kupongeza pale serikali inapofanya vizuri..
Mungu ibariki Tanzania, Mungu Afrika.

0755 312859
katabazihappy@yahoo.com:www.katabazihappy.blogspot.com

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima Jumapili Novemba 30 mwaka 2008


Na Happiness Katabazi

ALHAMISI ya wiki hii, baadhi ya vyombo vya habari likiwamo gazeti hili, viliandika habari kwamba Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Eliezer Feleshi, anadaiwa kumkingia kifua mmoja wa mawaziri aliyetakiwa kuingia katika mkumbo wa watu wanaofikishwa mahakamani, kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya mabilioni ya shilingi.
Habari za uhakika ambazo gazeti hili lilizipata zilieleza kuwa mwanasiasa huyo ambaye kwa sasa ni mbunge wa jimbo moja lililo katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, alinusurika kupelekwa mahakama ya Kisutu baada ya DPP kueleza wazi kuwa ushahidi wa kumburuza mahakamni haujajitosheleza.
Chanzo cha habari cha kuaminika kilizungumza na Tanzania Daima siku hiyo, kilidai kwamba hatua ya Ofisi ya Mwendesha Mashitaka (DPP) kumnusuru mwanasiasa huyo, imewashtua baadhi ya maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ambao kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa wamekuwa wakilichunguza sakata la mwanasiasa huyo.
Mtoa habari wetu aliieleza gazeti hili kwamba kabla ya kuwasilishwa kwa DPP kwa ajili ya uchunguzi zaidi, maofisa wa Takukuru walikuwa wamejiridhisha kuhusu kukamilika kwa shauri hilo na kulipeleka kwa DPP kwa ajili ya hatua zaidi.
Alipotafutwa ili kuelezea taarifa hizo, Feleshi, alikanusha kuingia katika undani wa suala hilo na badala yake alibainisha wazi kuwa hawezi kufanya kazi kwa shinikizo au kwa kusikiliza taarifa za kuzusha zinazotolewa na watu kwa malengo yao, bali hufanya kazi kulingana na taaluma yake na hulifanyia uchunguzi wa kina kila faili analoletewa mezani kwake.
Awali ya yote napenda kutoa pongezi kwa serikali ya awamu ya nne kwa hatua yake ya kuanza kutoka kwenye usingizi mzito na kuanza kuwafikisha mahakamani baadhi ya watuhumiwa wakiwamo wale ‘wanaotaniwa’ na kuitwa vigogo (vigogo wako katika nchi za watu walioendelea), ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na wizi wa fedha za EPA katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
Nitakuwa si muungwana kama sitatoa pongezi katika hili, kwani nami nilikuwa miongoni mwa wananchi ambaye nilishiriki kikamilifu kwa miaka miwili mfululizo kwa kuandika makala za kuishinikiza serikali kuwachukulia hatua ya watuhumiwa wa makosa hayo.
Turejee kwenye hoja yetu, ambayo inadaiwa baadhi ya maofisa waandamizi hawajaridhishwa na hatua hiyo ya DPP ya kutomfungulia kesi mbunge huyo, kwanza naomba ieleweke wazi kuwa mtu anapaswa kuheshimu kazi na taaluma ya mwenzake, tukilifahamu hilo tutaweza kuheshimiana na kujenga nchi iliyo bora.
Tangu wananchi waanze kulivalia njuga suala la ufisadi, mikataba mibovu. Watanzania tunamkumbuka Mkurugenzi wa Takukuru, Edward Hoseah, baada ya kuchunguza kama mkataba wa kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Richmond, aliutangazia umma kwamba mkataba huo hakuwa na harufu ya rushwa ndani yake, ulifuata sheria ya manunuzi ya umma na mkataba ulikuwa safi.
Baada ya taarifa yake hiyo, wananchi wa makundi mbalimbali walimpinga waziwazi hadi Bunge lilipoamua kuunda kamati ya kuchunguza mkataba huo uliojaa utata wa kila aina. Kamati hiyo iliongozwa na Dk. Harrison Mwakyembe ambaye Februari 6 mwaka huu, akisoma hotuba ya kamati yake, alisema wamebaini kampuni ya Richmond haikuwa na uwezo na kwamba sheria ya manunuzi haikufuatwa. Kwa sababu hiyo walioshiriki kuipa tenda kampuni hiyo hawakuzingatia maslahi ya taifa.
Ripoti hiyo ilisababisha aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dk. Ibrahim Msabaha, kujiuzulu nyadhifa zao baada ya kuhusishwa na kashfa hiyo.
Si hivyo tu, kwa wale tunaofutilia kwa karibu mwenendo wa mambo wa taifa letu, tutakumbuka kwamba mwaka jana wakati CCM ikiwa kwenye mchakato wa chaguzi za ndani, ni maofisa hao hao wa Takukuru waliwakamata wabunge wawili wa Kanda ya Kaskazini kwa tuhuma za rushwa na kuwafungulia kesi za rushwa.
Lakini hatimaye mahakama husika iliwafutia kesi zao baada ya kubaini hakuna na ushaidi wa kuwatia hatiani. Lakini wakati mahakama inatoa uamuzi huo wabunge hao waliokuwa wakigombea nafasi za uongozi kwenye chama hicho hawakuweza kugombea nafasi hizo, baada ya kuenguliwa kutokana na tuhuma hiyo ya rushwa, tukio lililohusishwa na mambo ya kisiasa.
Ni Takukuru hii hii iliyopeleleza baadhi ya tuhuma za watuhumiwa na kuwafikisha kwa ‘mbwembwe’ nyingi mahakamani, lakini sasa tunashuhudia vioja vya aina yake kwa mashahidi wanaokuja kutoa ushahdi katika kesi hizo zilifunguliowa na Takukuru, hasa kwa kutoonekana ushahidi wa kutosha wa kesi hizo zilizochunguzwa na Takukuru. (Angaliza: Kitendo cha serikali kupoteza kesi ni sawa na kupoteza heshima yake na fedha za walipa kodi – kwani hatimaye walioshinda hufungua kesi za madai dhidi ya serikali).
Kwa sababu hizo sioni sababu ya baadhi ya maofisa waandamizi wa Takukuru (wanajijua) ambao nisingependa kuwataja kwa majina katika makala hii, kuchachamaa kisirisiri kuwa ofisi ya DPP haijamburuza mahakamani kigogo huyo, ilhali wao wameshakamilisha uchunguzi. Kwa historia niliyoeleza hapo juu maofisa hao hawapaswi hata kidogo kumnyooshea kidole DPP ambaye ameonekana kujali zaidi taaluma yake ya sheria.
Wananchi wanakerwa mno na ufisadi uliokithiri kila pembe ya nchi hii, lakini kwa sababu DPP ameshatuahidi kwamba anayafanyia kazi makabrasha ya watuhumiwa wa EPA na mengineyo, kinachopaswa kufanywa hivi sasa ni kumpa muda DPP aitekeleze kazi yake bila shinikizo.
DPP ameonyesha wazi kuwa asingependa kuwaburuza mahakamani watu bila kuhakiki kwa kina kama kuna ushahidi wa kutosha kuwaburuza mahakamani, ili kukwepa kuiingiza serikali katika hasara ya kuwalipa fidia watu ambao baada ya kushinda kesi huidai fidia serikali kwa kuwadhalilisha.
Si siri kwa muda mrefu vyombo vya dola vimekuwa vikiwafungulia kesi baadhi ya wananchi kwa malengo yao binafsi, hali inayosababisha wananchi wasio na hatia kusota rumande, hali inayosababisha wananchi kujenga chuki na serikali yao.
Hakuna mtu aliye juu ya sheria au mwenye hakimiliki ya nchi hii, hivyo kila mmoja ana jukumu la kujenga nchi kulingana na nafasi yake. Hivyo tumpe nafasi Eliezer Feleshi na vijana wake wachambue kwa kina mafaili ya watuhumiwa wa EPA, mikataba mibovu na makosa mengine na wakijiridhisha wana ushaidi wawaburuze mahakamani bila kuchelewa.
Kama DPP atafanya kazi kwa msukumo wa kisiasa au kumfurahisha bosi kama wengine wanavyofanya kuliko taaluma yake ya kisheria, kuna kila dalili haki za watu kupotea pamoja na nchi kujikuta katika hasara kubwa baada ya watu kadhaa walioburuzwa mahakamani kushinda kesi walizofunguliwa.
Ni vema tukakawia lakini tukafikia. Kwani miongoni mwetu tunaochachamaa watu hawa wafikishwe mahakamani bila uchunguzi kukamilika, siku wakishinda kesi tutaanza kutoa maneno kadhaa ikiwa ni pamoja na kudai ‘wamewahonga’ mahakimu au kuburuzwa kwao mahakamani kulikuwa ni kwa lengo fulani. Tusifike huko, sote tuendelee kuibua maovu mengine na kupongeza pale serikali inapofanya vizuri..
Mungu ibariki Tanzania, Mungu Afrika.

0755 312859
katabazihappy@yahoo.com:www.katabazihappy.blogspot.com

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima Jumapili Novemba 30 mwaka 2008

Na Happiness Katabazi

ALHAMISI ya wiki hii, baadhi ya vyombo vya habari likiwamo gazeti hili, viliandika habari kwamba Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Eliezer Feleshi, anadaiwa kumkingia kifua mmoja wa mawaziri aliyetakiwa kuingia katika mkumbo wa watu wanaofikishwa mahakamani, kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya mabilioni ya shilingi.
Habari za uhakika ambazo gazeti hili lilizipata zilieleza kuwa mwanasiasa huyo ambaye kwa sasa ni mbunge wa jimbo moja lililo katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, alinusurika kupelekwa mahakama ya Kisutu baada ya DPP kueleza wazi kuwa ushahidi wa kumburuza mahakamni haujajitosheleza.
Chanzo cha habari cha kuaminika kilizungumza na Tanzania Daima siku hiyo, kilidai kwamba hatua ya Ofisi ya Mwendesha Mashitaka (DPP) kumnusuru mwanasiasa huyo, imewashtua baadhi ya maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ambao kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa wamekuwa wakilichunguza sakata la mwanasiasa huyo.
Mtoa habari wetu aliieleza gazeti hili kwamba kabla ya kuwasilishwa kwa DPP kwa ajili ya uchunguzi zaidi, maofisa wa Takukuru walikuwa wamejiridhisha kuhusu kukamilika kwa shauri hilo na kulipeleka kwa DPP kwa ajili ya hatua zaidi.
Alipotafutwa ili kuelezea taarifa hizo, Feleshi, alikanusha kuingia katika undani wa suala hilo na badala yake alibainisha wazi kuwa hawezi kufanya kazi kwa shinikizo au kwa kusikiliza taarifa za kuzusha zinazotolewa na watu kwa malengo yao, bali hufanya kazi kulingana na taaluma yake na hulifanyia uchunguzi wa kina kila faili analoletewa mezani kwake.
Awali ya yote napenda kutoa pongezi kwa serikali ya awamu ya nne kwa hatua yake ya kuanza kutoka kwenye usingizi mzito na kuanza kuwafikisha mahakamani baadhi ya watuhumiwa wakiwamo wale ‘wanaotaniwa’ na kuitwa vigogo (vigogo wako katika nchi za watu walioendelea), ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na wizi wa fedha za EPA katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
Nitakuwa si muungwana kama sitatoa pongezi katika hili, kwani nami nilikuwa miongoni mwa wananchi ambaye nilishiriki kikamilifu kwa miaka miwili mfululizo kwa kuandika makala za kuishinikiza serikali kuwachukulia hatua ya watuhumiwa wa makosa hayo.
Turejee kwenye hoja yetu, ambayo inadaiwa baadhi ya maofisa waandamizi hawajaridhishwa na hatua hiyo ya DPP ya kutomfungulia kesi mbunge huyo, kwanza naomba ieleweke wazi kuwa mtu anapaswa kuheshimu kazi na taaluma ya mwenzake, tukilifahamu hilo tutaweza kuheshimiana na kujenga nchi iliyo bora.
Tangu wananchi waanze kulivalia njuga suala la ufisadi, mikataba mibovu. Watanzania tunamkumbuka Mkurugenzi wa Takukuru, Edward Hoseah, baada ya kuchunguza kama mkataba wa kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Richmond, aliutangazia umma kwamba mkataba huo hakuwa na harufu ya rushwa ndani yake, ulifuata sheria ya manunuzi ya umma na mkataba ulikuwa safi.
Baada ya taarifa yake hiyo, wananchi wa makundi mbalimbali walimpinga waziwazi hadi Bunge lilipoamua kuunda kamati ya kuchunguza mkataba huo uliojaa utata wa kila aina. Kamati hiyo iliongozwa na Dk. Harrison Mwakyembe ambaye Februari 6 mwaka huu, akisoma hotuba ya kamati yake, alisema wamebaini kampuni ya Richmond haikuwa na uwezo na kwamba sheria ya manunuzi haikufuatwa. Kwa sababu hiyo walioshiriki kuipa tenda kampuni hiyo hawakuzingatia maslahi ya taifa.
Ripoti hiyo ilisababisha aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dk. Ibrahim Msabaha, kujiuzulu nyadhifa zao baada ya kuhusishwa na kashfa hiyo.
Si hivyo tu, kwa wale tunaofutilia kwa karibu mwenendo wa mambo wa taifa letu, tutakumbuka kwamba mwaka jana wakati CCM ikiwa kwenye mchakato wa chaguzi za ndani, ni maofisa hao hao wa Takukuru waliwakamata wabunge wawili wa Kanda ya Kaskazini kwa tuhuma za rushwa na kuwafungulia kesi za rushwa.
Lakini hatimaye mahakama husika iliwafutia kesi zao baada ya kubaini hakuna na ushaidi wa kuwatia hatiani. Lakini wakati mahakama inatoa uamuzi huo wabunge hao waliokuwa wakigombea nafasi za uongozi kwenye chama hicho hawakuweza kugombea nafasi hizo, baada ya kuenguliwa kutokana na tuhuma hiyo ya rushwa, tukio lililohusishwa na mambo ya kisiasa.
Ni Takukuru hii hii iliyopeleleza baadhi ya tuhuma za watuhumiwa na kuwafikisha kwa ‘mbwembwe’ nyingi mahakamani, lakini sasa tunashuhudia vioja vya aina yake kwa mashahidi wanaokuja kutoa ushahdi katika kesi hizo zilifunguliowa na Takukuru, hasa kwa kutoonekana ushahidi wa kutosha wa kesi hizo zilizochunguzwa na Takukuru. (Angaliza: Kitendo cha serikali kupoteza kesi ni sawa na kupoteza heshima yake na fedha za walipa kodi – kwani hatimaye walioshinda hufungua kesi za madai dhidi ya serikali).
Kwa sababu hizo sioni sababu ya baadhi ya maofisa waandamizi wa Takukuru (wanajijua) ambao nisingependa kuwataja kwa majina katika makala hii, kuchachamaa kisirisiri kuwa ofisi ya DPP haijamburuza mahakamani kigogo huyo, ilhali wao wameshakamilisha uchunguzi. Kwa historia niliyoeleza hapo juu maofisa hao hawapaswi hata kidogo kumnyooshea kidole DPP ambaye ameonekana kujali zaidi taaluma yake ya sheria.
Wananchi wanakerwa mno na ufisadi uliokithiri kila pembe ya nchi hii, lakini kwa sababu DPP ameshatuahidi kwamba anayafanyia kazi makabrasha ya watuhumiwa wa EPA na mengineyo, kinachopaswa kufanywa hivi sasa ni kumpa muda DPP aitekeleze kazi yake bila shinikizo.
DPP ameonyesha wazi kuwa asingependa kuwaburuza mahakamani watu bila kuhakiki kwa kina kama kuna ushahidi wa kutosha kuwaburuza mahakamani, ili kukwepa kuiingiza serikali katika hasara ya kuwalipa fidia watu ambao baada ya kushinda kesi huidai fidia serikali kwa kuwadhalilisha.
Si siri kwa muda mrefu vyombo vya dola vimekuwa vikiwafungulia kesi baadhi ya wananchi kwa malengo yao binafsi, hali inayosababisha wananchi wasio na hatia kusota rumande, hali inayosababisha wananchi kujenga chuki na serikali yao.
Hakuna mtu aliye juu ya sheria au mwenye hakimiliki ya nchi hii, hivyo kila mmoja ana jukumu la kujenga nchi kulingana na nafasi yake. Hivyo tumpe nafasi Eliezer Feleshi na vijana wake wachambue kwa kina mafaili ya watuhumiwa wa EPA, mikataba mibovu na makosa mengine na wakijiridhisha wana ushaidi wawaburuze mahakamani bila kuchelewa.
Kama DPP atafanya kazi kwa msukumo wa kisiasa au kumfurahisha bosi kama wengine wanavyofanya kuliko taaluma yake ya kisheria, kuna kila dalili haki za watu kupotea pamoja na nchi kujikuta katika hasara kubwa baada ya watu kadhaa walioburuzwa mahakamani kushinda kesi walizofunguliwa.
Ni vema tukakawia lakini tukafikia. Kwani miongoni mwetu tunaochachamaa watu hawa wafikishwe mahakamani bila uchunguzi kukamilika, siku wakishinda kesi tutaanza kutoa maneno kadhaa ikiwa ni pamoja na kudai ‘wamewahonga’ mahakimu au kuburuzwa kwao mahakamani kulikuwa ni kwa lengo fulani. Tusifike huko, sote tuendelee kuibua maovu mengine na kupongeza pale serikali inapofanya vizuri..
Mungu ibariki Tanzania, Mungu Afrika.

0755 312859
katabazihappy@yahoo.com:www.katabazihappy.blogspot.com

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima Jumapili Novemba 30 mwaka 2008

TUMUACHE DPP AFANYE KAZI YAKE

Na Happiness Katabazi

ALHAMISI ya wiki hii, baadhi ya vyombo vya habari likiwamo gazeti hili, viliandika habari kwamba Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Eliezer Feleshi, anadaiwa kumkingia kifua mmoja wa mawaziri aliyetakiwa kuingia katika mkumbo wa watu wanaofikishwa mahakamani, kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya mabilioni ya shilingi.
Habari za uhakika ambazo gazeti hili lilizipata zilieleza kuwa mwanasiasa huyo ambaye kwa sasa ni mbunge wa jimbo moja lililo katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, alinusurika kupelekwa mahakama ya Kisutu baada ya DPP kueleza wazi kuwa ushahidi wa kumburuza mahakamni haujajitosheleza.
Chanzo cha habari cha kuaminika kilizungumza na Tanzania Daima siku hiyo, kilidai kwamba hatua ya Ofisi ya Mwendesha Mashitaka (DPP) kumnusuru mwanasiasa huyo, imewashtua baadhi ya maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ambao kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa wamekuwa wakilichunguza sakata la mwanasiasa huyo.
Mtoa habari wetu aliieleza gazeti hili kwamba kabla ya kuwasilishwa kwa DPP kwa ajili ya uchunguzi zaidi, maofisa wa Takukuru walikuwa wamejiridhisha kuhusu kukamilika kwa shauri hilo na kulipeleka kwa DPP kwa ajili ya hatua zaidi.
Alipotafutwa ili kuelezea taarifa hizo, Feleshi, alikanusha kuingia katika undani wa suala hilo na badala yake alibainisha wazi kuwa hawezi kufanya kazi kwa shinikizo au kwa kusikiliza taarifa za kuzusha zinazotolewa na watu kwa malengo yao, bali hufanya kazi kulingana na taaluma yake na hulifanyia uchunguzi wa kina kila faili analoletewa mezani kwake.
Awali ya yote napenda kutoa pongezi kwa serikali ya awamu ya nne kwa hatua yake ya kuanza kutoka kwenye usingizi mzito na kuanza kuwafikisha mahakamani baadhi ya watuhumiwa wakiwamo wale ‘wanaotaniwa’ na kuitwa vigogo (vigogo wako katika nchi za watu walioendelea), ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na wizi wa fedha za EPA katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
Nitakuwa si muungwana kama sitatoa pongezi katika hili, kwani nami nilikuwa miongoni mwa wananchi ambaye nilishiriki kikamilifu kwa miaka miwili mfululizo kwa kuandika makala za kuishinikiza serikali kuwachukulia hatua ya watuhumiwa wa makosa hayo.
Turejee kwenye hoja yetu, ambayo inadaiwa baadhi ya maofisa waandamizi hawajaridhishwa na hatua hiyo ya DPP ya kutomfungulia kesi mbunge huyo, kwanza naomba ieleweke wazi kuwa mtu anapaswa kuheshimu kazi na taaluma ya mwenzake, tukilifahamu hilo tutaweza kuheshimiana na kujenga nchi iliyo bora.
Tangu wananchi waanze kulivalia njuga suala la ufisadi, mikataba mibovu. Watanzania tunamkumbuka Mkurugenzi wa Takukuru, Edward Hoseah, baada ya kuchunguza kama mkataba wa kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Richmond, aliutangazia umma kwamba mkataba huo hakuwa na harufu ya rushwa ndani yake, ulifuata sheria ya manunuzi ya umma na mkataba ulikuwa safi.
Baada ya taarifa yake hiyo, wananchi wa makundi mbalimbali walimpinga waziwazi hadi Bunge lilipoamua kuunda kamati ya kuchunguza mkataba huo uliojaa utata wa kila aina. Kamati hiyo iliongozwa na Dk. Harrison Mwakyembe ambaye Februari 6 mwaka huu, akisoma hotuba ya kamati yake, alisema wamebaini kampuni ya Richmond haikuwa na uwezo na kwamba sheria ya manunuzi haikufuatwa. Kwa sababu hiyo walioshiriki kuipa tenda kampuni hiyo hawakuzingatia maslahi ya taifa.
Ripoti hiyo ilisababisha aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dk. Ibrahim Msabaha, kujiuzulu nyadhifa zao baada ya kuhusishwa na kashfa hiyo.
Si hivyo tu, kwa wale tunaofutilia kwa karibu mwenendo wa mambo wa taifa letu, tutakumbuka kwamba mwaka jana wakati CCM ikiwa kwenye mchakato wa chaguzi za ndani, ni maofisa hao hao wa Takukuru waliwakamata wabunge wawili wa Kanda ya Kaskazini kwa tuhuma za rushwa na kuwafungulia kesi za rushwa.
Lakini hatimaye mahakama husika iliwafutia kesi zao baada ya kubaini hakuna na ushaidi wa kuwatia hatiani. Lakini wakati mahakama inatoa uamuzi huo wabunge hao waliokuwa wakigombea nafasi za uongozi kwenye chama hicho hawakuweza kugombea nafasi hizo, baada ya kuenguliwa kutokana na tuhuma hiyo ya rushwa, tukio lililohusishwa na mambo ya kisiasa.
Ni Takukuru hii hii iliyopeleleza baadhi ya tuhuma za watuhumiwa na kuwafikisha kwa ‘mbwembwe’ nyingi mahakamani, lakini sasa tunashuhudia vioja vya aina yake kwa mashahidi wanaokuja kutoa ushahdi katika kesi hizo zilifunguliowa na Takukuru, hasa kwa kutoonekana ushahidi wa kutosha wa kesi hizo zilizochunguzwa na Takukuru. (Angaliza: Kitendo cha serikali kupoteza kesi ni sawa na kupoteza heshima yake na fedha za walipa kodi – kwani hatimaye walioshinda hufungua kesi za madai dhidi ya serikali).
Kwa sababu hizo sioni sababu ya baadhi ya maofisa waandamizi wa Takukuru (wanajijua) ambao nisingependa kuwataja kwa majina katika makala hii, kuchachamaa kisirisiri kuwa ofisi ya DPP haijamburuza mahakamani kigogo huyo, ilhali wao wameshakamilisha uchunguzi. Kwa historia niliyoeleza hapo juu maofisa hao hawapaswi hata kidogo kumnyooshea kidole DPP ambaye ameonekana kujali zaidi taaluma yake ya sheria.
Wananchi wanakerwa mno na ufisadi uliokithiri kila pembe ya nchi hii, lakini kwa sababu DPP ameshatuahidi kwamba anayafanyia kazi makabrasha ya watuhumiwa wa EPA na mengineyo, kinachopaswa kufanywa hivi sasa ni kumpa muda DPP aitekeleze kazi yake bila shinikizo.
DPP ameonyesha wazi kuwa asingependa kuwaburuza mahakamani watu bila kuhakiki kwa kina kama kuna ushahidi wa kutosha kuwaburuza mahakamani, ili kukwepa kuiingiza serikali katika hasara ya kuwalipa fidia watu ambao baada ya kushinda kesi huidai fidia serikali kwa kuwadhalilisha.
Si siri kwa muda mrefu vyombo vya dola vimekuwa vikiwafungulia kesi baadhi ya wananchi kwa malengo yao binafsi, hali inayosababisha wananchi wasio na hatia kusota rumande, hali inayosababisha wananchi kujenga chuki na serikali yao.
Hakuna mtu aliye juu ya sheria au mwenye hakimiliki ya nchi hii, hivyo kila mmoja ana jukumu la kujenga nchi kulingana na nafasi yake. Hivyo tumpe nafasi Eliezer Feleshi na vijana wake wachambue kwa kina mafaili ya watuhumiwa wa EPA, mikataba mibovu na makosa mengine na wakijiridhisha wana ushaidi wawaburuze mahakamani bila kuchelewa.
Kama DPP atafanya kazi kwa msukumo wa kisiasa au kumfurahisha bosi kama wengine wanavyofanya kuliko taaluma yake ya kisheria, kuna kila dalili haki za watu kupotea pamoja na nchi kujikuta katika hasara kubwa baada ya watu kadhaa walioburuzwa mahakamani kushinda kesi walizofunguliwa.
Ni vema tukakawia lakini tukafikia. Kwani miongoni mwetu tunaochachamaa watu hawa wafikishwe mahakamani bila uchunguzi kukamilika, siku wakishinda kesi tutaanza kutoa maneno kadhaa ikiwa ni pamoja na kudai ‘wamewahonga’ mahakimu au kuburuzwa kwao mahakamani kulikuwa ni kwa lengo fulani. Tusifike huko, sote tuendelee kuibua maovu mengine na kupongeza pale serikali inapofanya vizuri..
Mungu ibariki Tanzania, Mungu Afrika.

0755 312859
katabazihappy@yahoo.com:www.katabazihappy.blogspot.com

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima Jumapili Novemba 30 mwaka 2008

TUMUACHE DPP AFANYE KAZI YAKE

Na Happiness Katabazi

ALHAMISI ya wiki hii, baadhi ya vyombo vya habari likiwamo gazeti hili, viliandika habari kwamba Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Eliezer Feleshi, anadaiwa kumkingia kifua mmoja wa mawaziri aliyetakiwa kuingia katika mkumbo wa watu wanaofikishwa mahakamani, kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya mabilioni ya shilingi.
Habari za uhakika ambazo gazeti hili lilizipata zilieleza kuwa mwanasiasa huyo ambaye kwa sasa ni mbunge wa jimbo moja lililo katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, alinusurika kupelekwa mahakama ya Kisutu baada ya DPP kueleza wazi kuwa ushahidi wa kumburuza mahakamni haujajitosheleza.
Chanzo cha habari cha kuaminika kilizungumza na Tanzania Daima siku hiyo, kilidai kwamba hatua ya Ofisi ya Mwendesha Mashitaka (DPP) kumnusuru mwanasiasa huyo, imewashtua baadhi ya maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ambao kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa wamekuwa wakilichunguza sakata la mwanasiasa huyo.
Mtoa habari wetu aliieleza gazeti hili kwamba kabla ya kuwasilishwa kwa DPP kwa ajili ya uchunguzi zaidi, maofisa wa Takukuru walikuwa wamejiridhisha kuhusu kukamilika kwa shauri hilo na kulipeleka kwa DPP kwa ajili ya hatua zaidi.
Alipotafutwa ili kuelezea taarifa hizo, Feleshi, alikanusha kuingia katika undani wa suala hilo na badala yake alibainisha wazi kuwa hawezi kufanya kazi kwa shinikizo au kwa kusikiliza taarifa za kuzusha zinazotolewa na watu kwa malengo yao, bali hufanya kazi kulingana na taaluma yake na hulifanyia uchunguzi wa kina kila faili analoletewa mezani kwake.
Awali ya yote napenda kutoa pongezi kwa serikali ya awamu ya nne kwa hatua yake ya kuanza kutoka kwenye usingizi mzito na kuanza kuwafikisha mahakamani baadhi ya watuhumiwa wakiwamo wale ‘wanaotaniwa’ na kuitwa vigogo (vigogo wako katika nchi za watu walioendelea), ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na wizi wa fedha za EPA katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
Nitakuwa si muungwana kama sitatoa pongezi katika hili, kwani nami nilikuwa miongoni mwa wananchi ambaye nilishiriki kikamilifu kwa miaka miwili mfululizo kwa kuandika makala za kuishinikiza serikali kuwachukulia hatua ya watuhumiwa wa makosa hayo.
Turejee kwenye hoja yetu, ambayo inadaiwa baadhi ya maofisa waandamizi hawajaridhishwa na hatua hiyo ya DPP ya kutomfungulia kesi mbunge huyo, kwanza naomba ieleweke wazi kuwa mtu anapaswa kuheshimu kazi na taaluma ya mwenzake, tukilifahamu hilo tutaweza kuheshimiana na kujenga nchi iliyo bora.
Tangu wananchi waanze kulivalia njuga suala la ufisadi, mikataba mibovu. Watanzania tunamkumbuka Mkurugenzi wa Takukuru, Edward Hoseah, baada ya kuchunguza kama mkataba wa kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Richmond, aliutangazia umma kwamba mkataba huo hakuwa na harufu ya rushwa ndani yake, ulifuata sheria ya manunuzi ya umma na mkataba ulikuwa safi.
Baada ya taarifa yake hiyo, wananchi wa makundi mbalimbali walimpinga waziwazi hadi Bunge lilipoamua kuunda kamati ya kuchunguza mkataba huo uliojaa utata wa kila aina. Kamati hiyo iliongozwa na Dk. Harrison Mwakyembe ambaye Februari 6 mwaka huu, akisoma hotuba ya kamati yake, alisema wamebaini kampuni ya Richmond haikuwa na uwezo na kwamba sheria ya manunuzi haikufuatwa. Kwa sababu hiyo walioshiriki kuipa tenda kampuni hiyo hawakuzingatia maslahi ya taifa.
Ripoti hiyo ilisababisha aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dk. Ibrahim Msabaha, kujiuzulu nyadhifa zao baada ya kuhusishwa na kashfa hiyo.
Si hivyo tu, kwa wale tunaofutilia kwa karibu mwenendo wa mambo wa taifa letu, tutakumbuka kwamba mwaka jana wakati CCM ikiwa kwenye mchakato wa chaguzi za ndani, ni maofisa hao hao wa Takukuru waliwakamata wabunge wawili wa Kanda ya Kaskazini kwa tuhuma za rushwa na kuwafungulia kesi za rushwa.
Lakini hatimaye mahakama husika iliwafutia kesi zao baada ya kubaini hakuna na ushaidi wa kuwatia hatiani. Lakini wakati mahakama inatoa uamuzi huo wabunge hao waliokuwa wakigombea nafasi za uongozi kwenye chama hicho hawakuweza kugombea nafasi hizo, baada ya kuenguliwa kutokana na tuhuma hiyo ya rushwa, tukio lililohusishwa na mambo ya kisiasa.
Ni Takukuru hii hii iliyopeleleza baadhi ya tuhuma za watuhumiwa na kuwafikisha kwa ‘mbwembwe’ nyingi mahakamani, lakini sasa tunashuhudia vioja vya aina yake kwa mashahidi wanaokuja kutoa ushahdi katika kesi hizo zilifunguliowa na Takukuru, hasa kwa kutoonekana ushahidi wa kutosha wa kesi hizo zilizochunguzwa na Takukuru. (Angaliza: Kitendo cha serikali kupoteza kesi ni sawa na kupoteza heshima yake na fedha za walipa kodi – kwani hatimaye walioshinda hufungua kesi za madai dhidi ya serikali).
Kwa sababu hizo sioni sababu ya baadhi ya maofisa waandamizi wa Takukuru (wanajijua) ambao nisingependa kuwataja kwa majina katika makala hii, kuchachamaa kisirisiri kuwa ofisi ya DPP haijamburuza mahakamani kigogo huyo, ilhali wao wameshakamilisha uchunguzi. Kwa historia niliyoeleza hapo juu maofisa hao hawapaswi hata kidogo kumnyooshea kidole DPP ambaye ameonekana kujali zaidi taaluma yake ya sheria.
Wananchi wanakerwa mno na ufisadi uliokithiri kila pembe ya nchi hii, lakini kwa sababu DPP ameshatuahidi kwamba anayafanyia kazi makabrasha ya watuhumiwa wa EPA na mengineyo, kinachopaswa kufanywa hivi sasa ni kumpa muda DPP aitekeleze kazi yake bila shinikizo.
DPP ameonyesha wazi kuwa asingependa kuwaburuza mahakamani watu bila kuhakiki kwa kina kama kuna ushahidi wa kutosha kuwaburuza mahakamani, ili kukwepa kuiingiza serikali katika hasara ya kuwalipa fidia watu ambao baada ya kushinda kesi huidai fidia serikali kwa kuwadhalilisha.
Si siri kwa muda mrefu vyombo vya dola vimekuwa vikiwafungulia kesi baadhi ya wananchi kwa malengo yao binafsi, hali inayosababisha wananchi wasio na hatia kusota rumande, hali inayosababisha wananchi kujenga chuki na serikali yao.
Hakuna mtu aliye juu ya sheria au mwenye hakimiliki ya nchi hii, hivyo kila mmoja ana jukumu la kujenga nchi kulingana na nafasi yake. Hivyo tumpe nafasi Eliezer Feleshi na vijana wake wachambue kwa kina mafaili ya watuhumiwa wa EPA, mikataba mibovu na makosa mengine na wakijiridhisha wana ushaidi wawaburuze mahakamani bila kuchelewa.
Kama DPP atafanya kazi kwa msukumo wa kisiasa au kumfurahisha bosi kama wengine wanavyofanya kuliko taaluma yake ya kisheria, kuna kila dalili haki za watu kupotea pamoja na nchi kujikuta katika hasara kubwa baada ya watu kadhaa walioburuzwa mahakamani kushinda kesi walizofunguliwa.
Ni vema tukakawia lakini tukafikia. Kwani miongoni mwetu tunaochachamaa watu hawa wafikishwe mahakamani bila uchunguzi kukamilika, siku wakishinda kesi tutaanza kutoa maneno kadhaa ikiwa ni pamoja na kudai ‘wamewahonga’ mahakimu au kuburuzwa kwao mahakamani kulikuwa ni kwa lengo fulani. Tusifike huko, sote tuendelee kuibua maovu mengine na kupongeza pale serikali inapofanya vizuri..
Mungu ibariki Tanzania, Mungu Afrika.

0755 312859
katabazihappy@yahoo.com:www.katabazihappy.blogspot.com

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima Jumapili Novemba 30 mwaka 2008

MRAMBA,YONA WALIVYOMALIZIA WIKIENDI MAHABUSU YA KEKO

*Kesi yao yafananishwa na ya Fundikira, Kiula

Na Happiness Katabazi

NATUMAINI wasomaji wa safu hii mpya mnaelewa yaliyojiri katika kesi mbili mpya za kihistoria, kuhusu matumizi mabaya ya madaraka, ambazo zimelitikisa taifa.
Kesi hizo zinawahusu mawaziri wa zamani wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Basil Mramba (Fedha) na Daniel Yona (Nishati na Madini), ambao wanatuhumiwa kwa kosa la kutumia vibaya madaraka yao na kulisababishia taifa hasara ya zaidi ya sh bilioni 11.
Kesi hizo zimefunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaaam.
Jumanne ya Novemba 24 mwaka huu, upande wa serikali katika kesi moja ya wizi wa sh bilioni 2.2, mali ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ulishindwa kuwasomea maelezo ya awali watuhumiwa wawili wa kesi hiyo kutokana na wakili wa watuhumiwa kutokuwepo mahakamani.
Watuhumiwa katika kesi hiyo namba 1163 ya mwaka huu ni Mweka Hazina wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Kigoma Rajab Maranda na Farijara Hussein, ambao wote kwa pamoja wanakabiliwa na kosa la kula njama kutenda kosa, kughushi, wizi na kujipatia ingizo kwenye akaunti lenye thamani ya sh bilioni mbili.
Wakili wa Serikali Stanslaus Boniface, mbele ya Hakimu Anyimilile Mwaseba aliiambia mahakama kuwa wakili wa upande wa utetezi, Mark Anthony, hakuwa amefika mahakamani, hivyo wasingeweza kusoma maelezo hayo.
Hata hivyo mshitakiwa wa kwanza Maranda aliiambia mahakama kwamba wakili wao alishindwa kufika mahakamani kwa sababu alikwenda kuhudhuria kesi nyingine katika Mahakama Kuu, Kitengo cha Biashara.
Hoja ambayo ilikubaliwa na Hakimu Mwaseba, ambaye aliahirisha kesi hiyo hadi kesho ambapo itakuja kwa ajili ya kusomwa maelezo ya awali.
Hadi sasa, jumla ya watuhumiwa 19 kati ya 20 wamepata dhamana. Mtuhumiwa anayeendelea kusota rumande ni Mkuu wa Kitengo cha Madeni ya Nje BoT, Iman Mwakosya.
Jumanne ya Novemba 25 mwaka huu, Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mtuhumiwa mwingine katika kesi ya wizi wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (BoT), Farijala Hussein, alipata dhamana.
Aidha, kesi nyingine inayomkabili mshitakiwa huyo na kada wa CCM, Rajabu Maranda, ambayo ilipangwa siku hiyo kwa ajili ya kusomewa maelezo ya awali iliahirishwa hadi Januari 15 mwakani.
Siku hiyo ya Jumanne iliyopita, pia waliokuwa mawaziri wawili waandamizi katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Basil Mramba na Daniel Yona, walipandishwa mahakamani hapo kujibu mashitaka ya ufisadi ya kutumia madaraka ya umma vibaya na kuisababishia serikali hasara kubwa ya fedha wakati wakiwa madarakani.
Kufikishwa mahakamani kwa mawaziri hao wawili ambako fununu zake zimekuwa zikisikika kwa muda mrefu sasa, kulisababisha baadhi ya watu kutoamini kile walichokuwa wakikisikia kutoka maeneo mbalimbali nchini hususan vyombo vya habari.
Taarifa za kufikishwa mahakamani kwa vigogo hao wawili, zilisambaa haraka katika maeneo mengi katika Jiji la Dar es Salaam na katika mikoa mbalimbali nchini.
Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii, tukio kama hilo liliwahi kumfika aliyekuwa Waziri wa Sheria miaka ya mwanzo ya 1960, Abdallah Fundikira na kisha wakati wa serikali ya Mkapa, enzi ya aliyepata kuwa Waziri wa Ujenzi, Nalaila Kiula, alipofikishwa mahakamani kwa sababu kama hizo.
Hata hivyo katika kesi hizo zote, wanasiasa hao walishinda.
Wanasiasa hao, Basil Mramba aliyekuwa Waziri wa Fedha na sasa ni Mbunge wa Rombo (CCM) na Daniel Yona aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini na mbunge wa zamani wa Same Mashariki, walifikishwa mahakamani hapo majira ya saa 3:26 asubuhi.
Wote wawili, Mramba na Yona walifika mahakamani hapo wakiwa ndani ya gari moja aina Toyota Land Cruiser, lenye rangi ya kijani, lililokuwa na namba za usajili T 319 ATD, ambalo taarifa za baadaye zilieleza kuwa ni mali ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru).
Gari hilo baada ya kuegeshwa nyuma ya viunga vya mahakama hiyo, lilibaki likiwa limefungwa milango yote kwa takriban saa mbili, huku likiwa chini ya ulinzi mkali wa makachero wa polisi na wale wa Takukuru.
Kwa muda huo wa saa mbili, Mramba na Yona hawakushuka ndani ya gari hilo hadi ilipotimu saa 5:10 asubuhi, ndipo waliposhushwa na kupandishwa kizimbani na kusomewa mashitaka yanayowakabili.
Mwanasheria Kiongozi wa Serikali, Stanslaus Boniface, akisaidiana na wakili wa Takukuru, Joseph Holle, mbele ya Hakimu Henzron Mwankenja, walidai kwamba, kesi hiyo namba 1200 ya mwaka huu ina jumla ya mashitaka 13.
Alidai kwamba katika shitaka la kwanza, pili, tatu na nne linawakabili washitakiwa wote wawili, wakati lile la tano, sita, saba, nane, tisa, 10 na 11, linamkabili Mramba pekee, huku shitaka la 12 likiwakabili washitakiwa wote wawili na la 13 likiwa la Mramba peke yake.
Kutokana na hilo katika mashitaka hayo, Mramba anakabiliwa na mashitaka 13 wakati Yona akikabiliwa na mashitaka matano.
Boniface alidai kwamba, washitakiwa kwa makusudi au kwa kushindwa kuchukua tahadhari kwa mujibu wa taratibu za kazi, wakiwa mawaziri katika Serikali ya Awamu ya Tatu, waliruhusu kutolewa kibali cha serikali kilichoisaidia Kampuni ya M/S Alex Stewart (Assayers) Government Bussiness Corporation kutolipa kodi, tofauti na mapendekezo ya Mamlaka ya Mapato (TRA), uamuzi ambao uliisababishia serikali hasara ya sh 11,752,350,148.00.
Wakili Boniface alidai kwamba Mramba na Yona kati ya mwaka 2002-2005, Mramba akiwa Waziri wa Fedha na Yona akiwa Waziri wa Nishati na Madini, walitumia madaraka yao vibaya kwa kuingia mkataba wa miaka miwili na Kampuni ya M/S Alex Sterwart (Assayers) Government Bussiness Corporation kinyume cha Sheria ya Manunuzi ya Mwaka 2002.
Alidai kuwa, mkataba huo ulianza Juni 14 mwaka 2005 hadi Juni 23 mwaka 2007.
Boniface alidai kwamba, kati ya Machi na Mei 28 mwaka 2005, watuhumiwa hao walitumia vibaya ofisi za umma kwa kumualika Dk. Enrique Segure wa M/S Alex Stewart (Assayers) Government Bussiness Corporation kuja nchini na kumtaarifu kuwa wizara walizokuwa wakizisimamia zimeidhinisha kuipatia mkataba wa miaka miwili kampuni hiyo ya uhakiki wa madini kabla ya timu ya serikali kuruhusu kuingiwa kwa mkataba na kampuni hiyo.
Aliendelea kudai kwamba, Oktoba 10 mwaka 2003 Mramba ambaye wakati huo alikuwa Waziri wa Fedha, alitumia madaraka yake vibaya na kudharau maelekezo ya Mamlaka ya Mapato (TRA) ya kutaka kampuni hiyo isipewe msamaha wa kodi.
Boniface, wakili aliyejizolea umaarufu mkubwa tangu kesi za wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) zianze kunguruma mahakamani hapo, alidai kwamba, kati ya 2003 -2005 Mramba aliibeba kampuni hiyo kwa kutoa notisi ya serikali ya kuisamehe kodi kampuni hiyo.
Hati hizo ni 423/2003, 424/2003, 497/2004 498/2004, 377/2005 na 378/2005 na kuisababishia serikali hasara ya sh 11,752,350,148.00.
Washitakiwa wote walikana mashitaka na Hakimu Mwankenja alisema dhamana yao ipo wazi.
Awali kabla ya hakimu kutoa masharti ya dhamana, wakili wa utetezi Joseph Tadayo, aliomba mahakama izingatie masharti nafuu ya dhamana kwa wateja wake kwa sababu tuhuma zinazowakabili zilianza kupelelezwa miaka mitatu nyuma na kwamba wakati huo watuhumiwa walikuwa nje na walikuwa wakitoa ushirikiano kwa wapelelezi, hoja ambayo haikupewa uzito na hakimu huyo.
Hata hivyo, washitakiwa wote walishindwa kutimiza masharti ya dhamana na kupelekwa mahabusu katika gereza la Keko.
Hata hivyo, hali ilibadilika ghafla na kuwa ya wasiwasi wakati watuhumiwa hao wakitolewa mahabusu kupelekwa kupanda gari tayari kwa safari ya Keko ambako umati wa watu waliokuwa mahakamani hapo wakiwemo wanafunzi wa shule za msingi walianza kulizonga gari walilopanda watuhumiwa huku wakiwarushia maneno makali.
Msafara wa watuhumiwa hao kuelekea mahabusu uliondoka mahakamani kwa mwendo wa kasi, ukisindikizwa na magari kadhaa ya Jeshi la Magereza.
Dalili za watuhumiwa hao kwenda mahabusu zilianza kuonekana majira ya saa saba baada ya ndugu wa watuhumiwa hao, kuonekana wakihaha kwenda maduka ya jirani kununua kandambili na maji kwa ajili ya kuwapeleka watuhumiwa hao mahabusu.
Aidha, Jumatano ya Novemba 26 mwaka huu, mawakili wa Yona na Mramba waliwasilisha ombi katika Mahakama ya Kisutu, wakidai wapatie mwenendo wa shauri la kesi ya wateja wao ili waweze kulipitia na kuwasilisha ombi la kupinga masharti ya dhamana katika Mahakama Kuu Tanzania.
Saa sita na nusu alasiri ya siku hiyo Wakili wa kujitegemea Michael Ngaro kwa niaba ya mawakili wenzake wanaowatetea Mramba na Yona waliwasilisha maombi ya kupinga masharti ya dhamana Mahakama Kuu.
Alhamisi ya wiki hii, saa nane mchana, mwandishi wa makala hii alizungumza na Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Saul Kinemela, ofisini kwake ambapo alisema maombi hayo yaliwasilishwa chini ya hati ya kiapo cha dharura na yamepewa namba 54 ya mwaka huu na yatasikilizwa na Jaji Njengafibili Mwaikugile siku ya Ijumaa saa tatu asubuhi.
Kinemeleza alisema pia Mwakosya naye aliwasilisha maombi ya kutaka kulegezewa masharti ya dhamana ambapo anaiomba mahakama, imruhusu aweze kutoa hati ya mali isiyohamishika badala ya fedha taslimu ili aweze kupata dhamana, kwani hivi sasa bado anaendelea kusota rumande kwa kushindwa kutimiza sharti la kutoa fedha taslimu sh milioni 104.
Alisema ombi hilo limepewa namba 53 ya mwaka huu na limepangwa kusikilizwa siku hiyo ya Ijumaa, mbele ya Jaji Razia Shekhe.
Ijumaa ya Novemba 28 mwaka huu, yaliyojiri Kisutu, ni watuhumiwa mbalimbali wa kesi za EPA walionekana kwa wingi katika Mahakama ya Kisutu ambapo walikuja kwa ajili ya kutimiza sharti linalowataka kuripoti mahakamani hapo kila mwisho wa mwezi.
Siku hiyo hiyo katika ukumbi namba moja wa Mahakama Kuu, Jaji Mwaikugile ambaye aliingia mahakamani saa 4:10 na kuanza kusikiliza hoja za upande wa mawakili wa utetezi uliokuwa ukiongozwa na Joseph Tadayo na Michael Ngaro, wakati upande wa serikali ulikuwa ukiwakilishwa na Wakili Mwandamizi wa Serikali, Fredrick Manyanda, hadi saa 5:12 na aliahirisha usikilizaji huo na kusema atarudi saa saba mchana kwa ajili ya kuja kutoa uamuzi.
Wananchi mbalimbali waliokuwa na kiu ya kusikiliza uamuzi huo walianza kuketi katika ukumbi huo saa sita mchana na jaji aliingia tena mahakamani hapo saa 8:26 hadi saa 8:40 alisema baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili alitoa amri ya kurekebishwa mara moja kwa sharti lililokuwa likiwataka Mramba na Yona kutoa fedha taslimu sh bilioni 2.9 ili wapate dhamana, badala yake alisema kisheria mtuhumiwa anatakiwa apate dhamana kwa kutoa kiasi cha fedha au kuwasilisha hati ya mali yenye thamani sawa na kiwango hicho.
Jaji Mwaikugile alisema masharti mengine kama kuwa na wadhamini wawili wa kuaminika, kusalimisha hati ya kusafiria na kutotoka nje ya Dar es Salaam, yatabaki kama yalivyo, lakini endapo watuhumiwa wanataka kutoka nje ya Jiji la Dar es Salaam, watakapaswa kuomba ruhusa mahakamani.
“Masharti mengine yatabaki kama yalivyo ila lile sharti la kuwataka waombaji kutoa fedha taslimu sh bilioni 2.9 ndipo wapate dhamana sikubaliani nalo na kwa sababu hiyo nabadilisha sharti hilo; hivyo watuhumiwa watapata dhamana endapo watatoa kiasi hicho cha fedha au kuwasilisha hati ya mali yenye thamani sawa na sh bilioni 2.9,” alisema Jaji Mwaikugile.
Hata hivyo jaji huyo pia aliamuru wadhamini wa watuhumiwa hao wahakikiwe na msajili namba mbili wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Lameck Mlacha, agizo ambalo lilianza kutekelezwa kwa mawakili wa pande zote mbili kwenda ofisi ya msajili huyo, saa 9:03 alasiri.
Ilipofika saa 10:23, Msajili Mlacha aliwaambia waandishi wa habari kuwa muda wote aliokuwa na mawakili hao kwa ajili ya kuwahakiki, lakini muda wa kazi wa ofisi za umma ulikuwa umemalizika bila kazi hiyo kukamilika.
Kutokana na hali hiyo, aliwaagiza watuhumiwa hao warudi rumande hadi Jumatatu (kesho), ambapo watapelekwa katika Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya hatua za mwisho za uhakiki wa hati za mali zilizowasilishwa na wadhamini wao.
Baada ya kumaliza kuzungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, watuhumiwa hao walitolewa mahabusu na kupakizwa kwenye basi la Magereza lenye namba za usajili STK 4310 na kurudishwa katika mahabusu ya Keko na kuacha baadhi ya ndugu na jamaa waliokuja kufuatilia shauri hilo, kububujikwa machozi huku wengine wakijiinamia kwa huzuni.
Jumanne, Hakimu Henzron Mwankenja ambaye ndiye anayesikiliza kesi ya msingi ya Mramba na Yona, alitamka kwa kinywa chake kwamba ili watuhumiwa wapate dhamana, lazima kila mmoja atoe fedha taslimu sh bilioni 3.9 wakati katika rekodi za mwenendo wa shauri hilo alizoziandika yeye mwenyewe kwa mkono wake, zinaonyesha aliandika sharti la dhamana ni sh bilioni 2.9 kwa kila mmoja.
Sharti hilo la sh bilioni 3.9, limeripotiwa na vyombo vya habari na umma uliojitokeza siku hiyo kufuatilia shauri hilo, ulisikia lakini mawakili wa washitakiwa walipoomba mwenendo wa shauri hilo ili walipeleke Mahakama Kuu Jumatano hii kwa ajili ya kupinga dhamana, ndipo walipogundua kosa hilo.
Wakati huo huo, Jaji Razia Shekhe ambaye naye juzi alikuwa akisikiliza ombi la Mwakosya anayetetewa na wakili wa kujitegemea Makaki Masatu, ambaye alikuwa anapinga sharti la kutakiwa kutoa fedha taslimu sh milioni 104 na risiti ya benki, kwa madai kuwa hakimu alitoa sharti hilo moja bila kutoa sharti mbadala kama kifungu cha 148(5)(e) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, kilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002, inavyoelekeza, amerekebishiwa.
Jaji Shekhe alikubaliana na ombi la Mwakosya na kurekebisha kiwango hicho cha fedha alichotakiwa kutoa na badala yake mshitakiwa huyo sasa atatakiwa kutoa sh milioni 26 au kuwasilisha hati ya mali yenye thamani ya kiwango hicho.
Hata hivyo Mwakosya amerudishwa rumande kwa sababu ya kutokamilisha taratibu za dhamana yake.
Kwa mujibu wa hati ya madai ya Mwakosya aliyoiwasilisha mahakamani hapo Novemba 20 mwaka huu, aliiomba mahakama hiyo imruhusu atoe hati ya mali isiyohamishika badala ya fedha taslimu ili aweze kupata dhamana.
Hakimu Henzron Mwankenja, Novemba 11 mwaka huu, alitoa sharti la dhamana la kutoa fedha taslimu sh milioni 104 kwa washitakiwa wanne wa kesi ya jinai namba 1162, Mweka Hazina wa CCM Mkoa wa Kigoma, Rajabu Maranda, Iman Mwakosya, Kaimu Mkurugenzi wa Madeni ya Nje (BoT), Ester Komu na Mwanasheria wa benki hiyo, Bosco Kimela, sharti ambalo lilitimizwa kwa nyakati tofauti na washitakiwa hao isipokuwa Mwakosya.
Hata hivyo wakili wa Mwakosya, Masatu, aliwasilisha ombi mbele ya hakimu huyo akieleza kuwa mahakama ilipitiwa katika kutoa sharti hilo na kuomba mahakama itekeleze masharti yote yaliyoainishwa kwenye kifungu cha 148(5)(e) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai.
Sheria hiyo inatamka bayana kwamba mtuhumiwa anayetuhumiwa kuiba zaidi ya sh milioni 10, atatakiwa kulipa nusu ya fedha anazotuhumiwa kuiba, kutoa hati ya mali yenye thamani ya nusu ya kiwango hicho.
Akitoa uamuzi wake, Mwankenja alisema anakubaliana na hoja za wakili huyo na inamuwia vigumu kwenda kubadilisha sharti hilo kwa sababu tayari watuhumiwa wenzake katika kesi hiyo, walishatekeleza sharti hilo.
Mramba na Yona wanakabiliwa na mashitaka 13 ya kutumia madaraka ya umma vibaya na kuisababishia serikali hasara kubwa ya sh bilioni 11.7

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima Jumapili,Novemba 30 mwaka 2008


MRAMBA,YONA WALIVYOMALIZIA WIKIENDI MAHABUSU YA KEKO

*Kesi yao yafananishwa na ya Fundikira, Kiula

Na Happiness Katabazi

NATUMAINI wasomaji wa safu hii mpya mnaelewa yaliyojiri katika kesi mbili mpya za kihistoria, kuhusu matumizi mabaya ya madaraka, ambazo zimelitikisa taifa.
Kesi hizo zinawahusu mawaziri wa zamani wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Basil Mramba (Fedha) na Daniel Yona (Nishati na Madini), ambao wanatuhumiwa kwa kosa la kutumia vibaya madaraka yao na kulisababishia taifa hasara ya zaidi ya sh bilioni 11.
Kesi hizo zimefunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaaam.
Jumanne ya Novemba 24 mwaka huu, upande wa serikali katika kesi moja ya wizi wa sh bilioni 2.2, mali ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ulishindwa kuwasomea maelezo ya awali watuhumiwa wawili wa kesi hiyo kutokana na wakili wa watuhumiwa kutokuwepo mahakamani.
Watuhumiwa katika kesi hiyo namba 1163 ya mwaka huu ni Mweka Hazina wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Kigoma Rajab Maranda na Farijara Hussein, ambao wote kwa pamoja wanakabiliwa na kosa la kula njama kutenda kosa, kughushi, wizi na kujipatia ingizo kwenye akaunti lenye thamani ya sh bilioni mbili.
Wakili wa Serikali Stanslaus Boniface, mbele ya Hakimu Anyimilile Mwaseba aliiambia mahakama kuwa wakili wa upande wa utetezi, Mark Anthony, hakuwa amefika mahakamani, hivyo wasingeweza kusoma maelezo hayo.
Hata hivyo mshitakiwa wa kwanza Maranda aliiambia mahakama kwamba wakili wao alishindwa kufika mahakamani kwa sababu alikwenda kuhudhuria kesi nyingine katika Mahakama Kuu, Kitengo cha Biashara.
Hoja ambayo ilikubaliwa na Hakimu Mwaseba, ambaye aliahirisha kesi hiyo hadi kesho ambapo itakuja kwa ajili ya kusomwa maelezo ya awali.
Hadi sasa, jumla ya watuhumiwa 19 kati ya 20 wamepata dhamana. Mtuhumiwa anayeendelea kusota rumande ni Mkuu wa Kitengo cha Madeni ya Nje BoT, Iman Mwakosya.
Jumanne ya Novemba 25 mwaka huu, Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mtuhumiwa mwingine katika kesi ya wizi wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (BoT), Farijala Hussein, alipata dhamana.
Aidha, kesi nyingine inayomkabili mshitakiwa huyo na kada wa CCM, Rajabu Maranda, ambayo ilipangwa siku hiyo kwa ajili ya kusomewa maelezo ya awali iliahirishwa hadi Januari 15 mwakani.
Siku hiyo ya Jumanne iliyopita, pia waliokuwa mawaziri wawili waandamizi katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Basil Mramba na Daniel Yona, walipandishwa mahakamani hapo kujibu mashitaka ya ufisadi ya kutumia madaraka ya umma vibaya na kuisababishia serikali hasara kubwa ya fedha wakati wakiwa madarakani.
Kufikishwa mahakamani kwa mawaziri hao wawili ambako fununu zake zimekuwa zikisikika kwa muda mrefu sasa, kulisababisha baadhi ya watu kutoamini kile walichokuwa wakikisikia kutoka maeneo mbalimbali nchini hususan vyombo vya habari.
Taarifa za kufikishwa mahakamani kwa vigogo hao wawili, zilisambaa haraka katika maeneo mengi katika Jiji la Dar es Salaam na katika mikoa mbalimbali nchini.
Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii, tukio kama hilo liliwahi kumfika aliyekuwa Waziri wa Sheria miaka ya mwanzo ya 1960, Abdallah Fundikira na kisha wakati wa serikali ya Mkapa, enzi ya aliyepata kuwa Waziri wa Ujenzi, Nalaila Kiula, alipofikishwa mahakamani kwa sababu kama hizo.
Hata hivyo katika kesi hizo zote, wanasiasa hao walishinda.
Wanasiasa hao, Basil Mramba aliyekuwa Waziri wa Fedha na sasa ni Mbunge wa Rombo (CCM) na Daniel Yona aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini na mbunge wa zamani wa Same Mashariki, walifikishwa mahakamani hapo majira ya saa 3:26 asubuhi.
Wote wawili, Mramba na Yona walifika mahakamani hapo wakiwa ndani ya gari moja aina Toyota Land Cruiser, lenye rangi ya kijani, lililokuwa na namba za usajili T 319 ATD, ambalo taarifa za baadaye zilieleza kuwa ni mali ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru).
Gari hilo baada ya kuegeshwa nyuma ya viunga vya mahakama hiyo, lilibaki likiwa limefungwa milango yote kwa takriban saa mbili, huku likiwa chini ya ulinzi mkali wa makachero wa polisi na wale wa Takukuru.
Kwa muda huo wa saa mbili, Mramba na Yona hawakushuka ndani ya gari hilo hadi ilipotimu saa 5:10 asubuhi, ndipo waliposhushwa na kupandishwa kizimbani na kusomewa mashitaka yanayowakabili.
Mwanasheria Kiongozi wa Serikali, Stanslaus Boniface, akisaidiana na wakili wa Takukuru, Joseph Holle, mbele ya Hakimu Henzron Mwankenja, walidai kwamba, kesi hiyo namba 1200 ya mwaka huu ina jumla ya mashitaka 13.
Alidai kwamba katika shitaka la kwanza, pili, tatu na nne linawakabili washitakiwa wote wawili, wakati lile la tano, sita, saba, nane, tisa, 10 na 11, linamkabili Mramba pekee, huku shitaka la 12 likiwakabili washitakiwa wote wawili na la 13 likiwa la Mramba peke yake.
Kutokana na hilo katika mashitaka hayo, Mramba anakabiliwa na mashitaka 13 wakati Yona akikabiliwa na mashitaka matano.
Boniface alidai kwamba, washitakiwa kwa makusudi au kwa kushindwa kuchukua tahadhari kwa mujibu wa taratibu za kazi, wakiwa mawaziri katika Serikali ya Awamu ya Tatu, waliruhusu kutolewa kibali cha serikali kilichoisaidia Kampuni ya M/S Alex Stewart (Assayers) Government Bussiness Corporation kutolipa kodi, tofauti na mapendekezo ya Mamlaka ya Mapato (TRA), uamuzi ambao uliisababishia serikali hasara ya sh 11,752,350,148.00.
Wakili Boniface alidai kwamba Mramba na Yona kati ya mwaka 2002-2005, Mramba akiwa Waziri wa Fedha na Yona akiwa Waziri wa Nishati na Madini, walitumia madaraka yao vibaya kwa kuingia mkataba wa miaka miwili na Kampuni ya M/S Alex Sterwart (Assayers) Government Bussiness Corporation kinyume cha Sheria ya Manunuzi ya Mwaka 2002.
Alidai kuwa, mkataba huo ulianza Juni 14 mwaka 2005 hadi Juni 23 mwaka 2007.
Boniface alidai kwamba, kati ya Machi na Mei 28 mwaka 2005, watuhumiwa hao walitumia vibaya ofisi za umma kwa kumualika Dk. Enrique Segure wa M/S Alex Stewart (Assayers) Government Bussiness Corporation kuja nchini na kumtaarifu kuwa wizara walizokuwa wakizisimamia zimeidhinisha kuipatia mkataba wa miaka miwili kampuni hiyo ya uhakiki wa madini kabla ya timu ya serikali kuruhusu kuingiwa kwa mkataba na kampuni hiyo.
Aliendelea kudai kwamba, Oktoba 10 mwaka 2003 Mramba ambaye wakati huo alikuwa Waziri wa Fedha, alitumia madaraka yake vibaya na kudharau maelekezo ya Mamlaka ya Mapato (TRA) ya kutaka kampuni hiyo isipewe msamaha wa kodi.
Boniface, wakili aliyejizolea umaarufu mkubwa tangu kesi za wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) zianze kunguruma mahakamani hapo, alidai kwamba, kati ya 2003 -2005 Mramba aliibeba kampuni hiyo kwa kutoa notisi ya serikali ya kuisamehe kodi kampuni hiyo.
Hati hizo ni 423/2003, 424/2003, 497/2004 498/2004, 377/2005 na 378/2005 na kuisababishia serikali hasara ya sh 11,752,350,148.00.
Washitakiwa wote walikana mashitaka na Hakimu Mwankenja alisema dhamana yao ipo wazi.
Awali kabla ya hakimu kutoa masharti ya dhamana, wakili wa utetezi Joseph Tadayo, aliomba mahakama izingatie masharti nafuu ya dhamana kwa wateja wake kwa sababu tuhuma zinazowakabili zilianza kupelelezwa miaka mitatu nyuma na kwamba wakati huo watuhumiwa walikuwa nje na walikuwa wakitoa ushirikiano kwa wapelelezi, hoja ambayo haikupewa uzito na hakimu huyo.
Hata hivyo, washitakiwa wote walishindwa kutimiza masharti ya dhamana na kupelekwa mahabusu katika gereza la Keko.
Hata hivyo, hali ilibadilika ghafla na kuwa ya wasiwasi wakati watuhumiwa hao wakitolewa mahabusu kupelekwa kupanda gari tayari kwa safari ya Keko ambako umati wa watu waliokuwa mahakamani hapo wakiwemo wanafunzi wa shule za msingi walianza kulizonga gari walilopanda watuhumiwa huku wakiwarushia maneno makali.
Msafara wa watuhumiwa hao kuelekea mahabusu uliondoka mahakamani kwa mwendo wa kasi, ukisindikizwa na magari kadhaa ya Jeshi la Magereza.
Dalili za watuhumiwa hao kwenda mahabusu zilianza kuonekana majira ya saa saba baada ya ndugu wa watuhumiwa hao, kuonekana wakihaha kwenda maduka ya jirani kununua kandambili na maji kwa ajili ya kuwapeleka watuhumiwa hao mahabusu.
Aidha, Jumatano ya Novemba 26 mwaka huu, mawakili wa Yona na Mramba waliwasilisha ombi katika Mahakama ya Kisutu, wakidai wapatie mwenendo wa shauri la kesi ya wateja wao ili waweze kulipitia na kuwasilisha ombi la kupinga masharti ya dhamana katika Mahakama Kuu Tanzania.
Saa sita na nusu alasiri ya siku hiyo Wakili wa kujitegemea Michael Ngaro kwa niaba ya mawakili wenzake wanaowatetea Mramba na Yona waliwasilisha maombi ya kupinga masharti ya dhamana Mahakama Kuu.
Alhamisi ya wiki hii, saa nane mchana, mwandishi wa makala hii alizungumza na Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Saul Kinemela, ofisini kwake ambapo alisema maombi hayo yaliwasilishwa chini ya hati ya kiapo cha dharura na yamepewa namba 54 ya mwaka huu na yatasikilizwa na Jaji Njengafibili Mwaikugile siku ya Ijumaa saa tatu asubuhi.
Kinemeleza alisema pia Mwakosya naye aliwasilisha maombi ya kutaka kulegezewa masharti ya dhamana ambapo anaiomba mahakama, imruhusu aweze kutoa hati ya mali isiyohamishika badala ya fedha taslimu ili aweze kupata dhamana, kwani hivi sasa bado anaendelea kusota rumande kwa kushindwa kutimiza sharti la kutoa fedha taslimu sh milioni 104.
Alisema ombi hilo limepewa namba 53 ya mwaka huu na limepangwa kusikilizwa siku hiyo ya Ijumaa, mbele ya Jaji Razia Shekhe.
Ijumaa ya Novemba 28 mwaka huu, yaliyojiri Kisutu, ni watuhumiwa mbalimbali wa kesi za EPA walionekana kwa wingi katika Mahakama ya Kisutu ambapo walikuja kwa ajili ya kutimiza sharti linalowataka kuripoti mahakamani hapo kila mwisho wa mwezi.
Siku hiyo hiyo katika ukumbi namba moja wa Mahakama Kuu, Jaji Mwaikugile ambaye aliingia mahakamani saa 4:10 na kuanza kusikiliza hoja za upande wa mawakili wa utetezi uliokuwa ukiongozwa na Joseph Tadayo na Michael Ngaro, wakati upande wa serikali ulikuwa ukiwakilishwa na Wakili Mwandamizi wa Serikali, Fredrick Manyanda, hadi saa 5:12 na aliahirisha usikilizaji huo na kusema atarudi saa saba mchana kwa ajili ya kuja kutoa uamuzi.
Wananchi mbalimbali waliokuwa na kiu ya kusikiliza uamuzi huo walianza kuketi katika ukumbi huo saa sita mchana na jaji aliingia tena mahakamani hapo saa 8:26 hadi saa 8:40 alisema baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili alitoa amri ya kurekebishwa mara moja kwa sharti lililokuwa likiwataka Mramba na Yona kutoa fedha taslimu sh bilioni 2.9 ili wapate dhamana, badala yake alisema kisheria mtuhumiwa anatakiwa apate dhamana kwa kutoa kiasi cha fedha au kuwasilisha hati ya mali yenye thamani sawa na kiwango hicho.
Jaji Mwaikugile alisema masharti mengine kama kuwa na wadhamini wawili wa kuaminika, kusalimisha hati ya kusafiria na kutotoka nje ya Dar es Salaam, yatabaki kama yalivyo, lakini endapo watuhumiwa wanataka kutoka nje ya Jiji la Dar es Salaam, watakapaswa kuomba ruhusa mahakamani.
“Masharti mengine yatabaki kama yalivyo ila lile sharti la kuwataka waombaji kutoa fedha taslimu sh bilioni 2.9 ndipo wapate dhamana sikubaliani nalo na kwa sababu hiyo nabadilisha sharti hilo; hivyo watuhumiwa watapata dhamana endapo watatoa kiasi hicho cha fedha au kuwasilisha hati ya mali yenye thamani sawa na sh bilioni 2.9,” alisema Jaji Mwaikugile.
Hata hivyo jaji huyo pia aliamuru wadhamini wa watuhumiwa hao wahakikiwe na msajili namba mbili wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Lameck Mlacha, agizo ambalo lilianza kutekelezwa kwa mawakili wa pande zote mbili kwenda ofisi ya msajili huyo, saa 9:03 alasiri.
Ilipofika saa 10:23, Msajili Mlacha aliwaambia waandishi wa habari kuwa muda wote aliokuwa na mawakili hao kwa ajili ya kuwahakiki, lakini muda wa kazi wa ofisi za umma ulikuwa umemalizika bila kazi hiyo kukamilika.
Kutokana na hali hiyo, aliwaagiza watuhumiwa hao warudi rumande hadi Jumatatu (kesho), ambapo watapelekwa katika Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya hatua za mwisho za uhakiki wa hati za mali zilizowasilishwa na wadhamini wao.
Baada ya kumaliza kuzungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, watuhumiwa hao walitolewa mahabusu na kupakizwa kwenye basi la Magereza lenye namba za usajili STK 4310 na kurudishwa katika mahabusu ya Keko na kuacha baadhi ya ndugu na jamaa waliokuja kufuatilia shauri hilo, kububujikwa machozi huku wengine wakijiinamia kwa huzuni.
Jumanne, Hakimu Henzron Mwankenja ambaye ndiye anayesikiliza kesi ya msingi ya Mramba na Yona, alitamka kwa kinywa chake kwamba ili watuhumiwa wapate dhamana, lazima kila mmoja atoe fedha taslimu sh bilioni 3.9 wakati katika rekodi za mwenendo wa shauri hilo alizoziandika yeye mwenyewe kwa mkono wake, zinaonyesha aliandika sharti la dhamana ni sh bilioni 2.9 kwa kila mmoja.
Sharti hilo la sh bilioni 3.9, limeripotiwa na vyombo vya habari na umma uliojitokeza siku hiyo kufuatilia shauri hilo, ulisikia lakini mawakili wa washitakiwa walipoomba mwenendo wa shauri hilo ili walipeleke Mahakama Kuu Jumatano hii kwa ajili ya kupinga dhamana, ndipo walipogundua kosa hilo.
Wakati huo huo, Jaji Razia Shekhe ambaye naye juzi alikuwa akisikiliza ombi la Mwakosya anayetetewa na wakili wa kujitegemea Makaki Masatu, ambaye alikuwa anapinga sharti la kutakiwa kutoa fedha taslimu sh milioni 104 na risiti ya benki, kwa madai kuwa hakimu alitoa sharti hilo moja bila kutoa sharti mbadala kama kifungu cha 148(5)(e) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, kilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002, inavyoelekeza, amerekebishiwa.
Jaji Shekhe alikubaliana na ombi la Mwakosya na kurekebisha kiwango hicho cha fedha alichotakiwa kutoa na badala yake mshitakiwa huyo sasa atatakiwa kutoa sh milioni 26 au kuwasilisha hati ya mali yenye thamani ya kiwango hicho.
Hata hivyo Mwakosya amerudishwa rumande kwa sababu ya kutokamilisha taratibu za dhamana yake.
Kwa mujibu wa hati ya madai ya Mwakosya aliyoiwasilisha mahakamani hapo Novemba 20 mwaka huu, aliiomba mahakama hiyo imruhusu atoe hati ya mali isiyohamishika badala ya fedha taslimu ili aweze kupata dhamana.
Hakimu Henzron Mwankenja, Novemba 11 mwaka huu, alitoa sharti la dhamana la kutoa fedha taslimu sh milioni 104 kwa washitakiwa wanne wa kesi ya jinai namba 1162, Mweka Hazina wa CCM Mkoa wa Kigoma, Rajabu Maranda, Iman Mwakosya, Kaimu Mkurugenzi wa Madeni ya Nje (BoT), Ester Komu na Mwanasheria wa benki hiyo, Bosco Kimela, sharti ambalo lilitimizwa kwa nyakati tofauti na washitakiwa hao isipokuwa Mwakosya.
Hata hivyo wakili wa Mwakosya, Masatu, aliwasilisha ombi mbele ya hakimu huyo akieleza kuwa mahakama ilipitiwa katika kutoa sharti hilo na kuomba mahakama itekeleze masharti yote yaliyoainishwa kwenye kifungu cha 148(5)(e) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai.
Sheria hiyo inatamka bayana kwamba mtuhumiwa anayetuhumiwa kuiba zaidi ya sh milioni 10, atatakiwa kulipa nusu ya fedha anazotuhumiwa kuiba, kutoa hati ya mali yenye thamani ya nusu ya kiwango hicho.
Akitoa uamuzi wake, Mwankenja alisema anakubaliana na hoja za wakili huyo na inamuwia vigumu kwenda kubadilisha sharti hilo kwa sababu tayari watuhumiwa wenzake katika kesi hiyo, walishatekeleza sharti hilo.
Mramba na Yona wanakabiliwa na mashitaka 13 ya kutumia madaraka ya umma vibaya na kuisababishia serikali hasara kubwa ya sh bilioni 11.7

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima Jumapili,Novemba 30 mwaka 2008


TUMUACHE DPP AFANYE KAZI YAKE

Na Happiness Katabazi

ALHAMISI ya wiki hii, baadhi ya vyombo vya habari likiwamo gazeti hili, viliandika habari kwamba Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Eliezer Feleshi, anadaiwa kumkingia kifua mmoja wa mawaziri aliyetakiwa kuingia katika mkumbo wa watu wanaofikishwa mahakamani, kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya mabilioni ya shilingi.
Habari za uhakika ambazo gazeti hili lilizipata zilieleza kuwa mwanasiasa huyo ambaye kwa sasa ni mbunge wa jimbo moja lililo katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, alinusurika kupelekwa mahakama ya Kisutu baada ya DPP kueleza wazi kuwa ushahidi wa kumburuza mahakamni haujajitosheleza.
Chanzo cha habari cha kuaminika kilizungumza na Tanzania Daima siku hiyo, kilidai kwamba hatua ya Ofisi ya Mwendesha Mashitaka (DPP) kumnusuru mwanasiasa huyo, imewashtua baadhi ya maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ambao kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa wamekuwa wakilichunguza sakata la mwanasiasa huyo.
Mtoa habari wetu aliieleza gazeti hili kwamba kabla ya kuwasilishwa kwa DPP kwa ajili ya uchunguzi zaidi, maofisa wa Takukuru walikuwa wamejiridhisha kuhusu kukamilika kwa shauri hilo na kulipeleka kwa DPP kwa ajili ya hatua zaidi.
Alipotafutwa ili kuelezea taarifa hizo, Feleshi, alikanusha kuingia katika undani wa suala hilo na badala yake alibainisha wazi kuwa hawezi kufanya kazi kwa shinikizo au kwa kusikiliza taarifa za kuzusha zinazotolewa na watu kwa malengo yao, bali hufanya kazi kulingana na taaluma yake na hulifanyia uchunguzi wa kina kila faili analoletewa mezani kwake.
Awali ya yote napenda kutoa pongezi kwa serikali ya awamu ya nne kwa hatua yake ya kuanza kutoka kwenye usingizi mzito na kuanza kuwafikisha mahakamani baadhi ya watuhumiwa wakiwamo wale ‘wanaotaniwa’ na kuitwa vigogo (vigogo wako katika nchi za watu walioendelea), ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na wizi wa fedha za EPA katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
Nitakuwa si muungwana kama sitatoa pongezi katika hili, kwani nami nilikuwa miongoni mwa wananchi ambaye nilishiriki kikamilifu kwa miaka miwili mfululizo kwa kuandika makala za kuishinikiza serikali kuwachukulia hatua ya watuhumiwa wa makosa hayo.
Turejee kwenye hoja yetu, ambayo inadaiwa baadhi ya maofisa waandamizi hawajaridhishwa na hatua hiyo ya DPP ya kutomfungulia kesi mbunge huyo, kwanza naomba ieleweke wazi kuwa mtu anapaswa kuheshimu kazi na taaluma ya mwenzake, tukilifahamu hilo tutaweza kuheshimiana na kujenga nchi iliyo bora.
Tangu wananchi waanze kulivalia njuga suala la ufisadi, mikataba mibovu. Watanzania tunamkumbuka Mkurugenzi wa Takukuru, Edward Hoseah, baada ya kuchunguza kama mkataba wa kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Richmond, aliutangazia umma kwamba mkataba huo hakuwa na harufu ya rushwa ndani yake, ulifuata sheria ya manunuzi ya umma na mkataba ulikuwa safi.
Baada ya taarifa yake hiyo, wananchi wa makundi mbalimbali walimpinga waziwazi hadi Bunge lilipoamua kuunda kamati ya kuchunguza mkataba huo uliojaa utata wa kila aina. Kamati hiyo iliongozwa na Dk. Harrison Mwakyembe ambaye Februari 6 mwaka huu, akisoma hotuba ya kamati yake, alisema wamebaini kampuni ya Richmond haikuwa na uwezo na kwamba sheria ya manunuzi haikufuatwa. Kwa sababu hiyo walioshiriki kuipa tenda kampuni hiyo hawakuzingatia maslahi ya taifa.
Ripoti hiyo ilisababisha aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dk. Ibrahim Msabaha, kujiuzulu nyadhifa zao baada ya kuhusishwa na kashfa hiyo.
Si hivyo tu, kwa wale tunaofutilia kwa karibu mwenendo wa mambo wa taifa letu, tutakumbuka kwamba mwaka jana wakati CCM ikiwa kwenye mchakato wa chaguzi za ndani, ni maofisa hao hao wa Takukuru waliwakamata wabunge wawili wa Kanda ya Kaskazini kwa tuhuma za rushwa na kuwafungulia kesi za rushwa.
Lakini hatimaye mahakama husika iliwafutia kesi zao baada ya kubaini hakuna na ushaidi wa kuwatia hatiani. Lakini wakati mahakama inatoa uamuzi huo wabunge hao waliokuwa wakigombea nafasi za uongozi kwenye chama hicho hawakuweza kugombea nafasi hizo, baada ya kuenguliwa kutokana na tuhuma hiyo ya rushwa, tukio lililohusishwa na mambo ya kisiasa.
Ni Takukuru hii hii iliyopeleleza baadhi ya tuhuma za watuhumiwa na kuwafikisha kwa ‘mbwembwe’ nyingi mahakamani, lakini sasa tunashuhudia vioja vya aina yake kwa mashahidi wanaokuja kutoa ushahdi katika kesi hizo zilifunguliowa na Takukuru, hasa kwa kutoonekana ushahidi wa kutosha wa kesi hizo zilizochunguzwa na Takukuru. (Angaliza: Kitendo cha serikali kupoteza kesi ni sawa na kupoteza heshima yake na fedha za walipa kodi – kwani hatimaye walioshinda hufungua kesi za madai dhidi ya serikali).
Kwa sababu hizo sioni sababu ya baadhi ya maofisa waandamizi wa Takukuru (wanajijua) ambao nisingependa kuwataja kwa majina katika makala hii, kuchachamaa kisirisiri kuwa ofisi ya DPP haijamburuza mahakamani kigogo huyo, ilhali wao wameshakamilisha uchunguzi. Kwa historia niliyoeleza hapo juu maofisa hao hawapaswi hata kidogo kumnyooshea kidole DPP ambaye ameonekana kujali zaidi taaluma yake ya sheria.
Wananchi wanakerwa mno na ufisadi uliokithiri kila pembe ya nchi hii, lakini kwa sababu DPP ameshatuahidi kwamba anayafanyia kazi makabrasha ya watuhumiwa wa EPA na mengineyo, kinachopaswa kufanywa hivi sasa ni kumpa muda DPP aitekeleze kazi yake bila shinikizo.
DPP ameonyesha wazi kuwa asingependa kuwaburuza mahakamani watu bila kuhakiki kwa kina kama kuna ushahidi wa kutosha kuwaburuza mahakamani, ili kukwepa kuiingiza serikali katika hasara ya kuwalipa fidia watu ambao baada ya kushinda kesi huidai fidia serikali kwa kuwadhalilisha.
Si siri kwa muda mrefu vyombo vya dola vimekuwa vikiwafungulia kesi baadhi ya wananchi kwa malengo yao binafsi, hali inayosababisha wananchi wasio na hatia kusota rumande, hali inayosababisha wananchi kujenga chuki na serikali yao.
Hakuna mtu aliye juu ya sheria au mwenye hakimiliki ya nchi hii, hivyo kila mmoja ana jukumu la kujenga nchi kulingana na nafasi yake. Hivyo tumpe nafasi Eliezer Feleshi na vijana wake wachambue kwa kina mafaili ya watuhumiwa wa EPA, mikataba mibovu na makosa mengine na wakijiridhisha wana ushaidi wawaburuze mahakamani bila kuchelewa.
Kama DPP atafanya kazi kwa msukumo wa kisiasa au kumfurahisha bosi kama wengine wanavyofanya kuliko taaluma yake ya kisheria, kuna kila dalili haki za watu kupotea pamoja na nchi kujikuta katika hasara kubwa baada ya watu kadhaa walioburuzwa mahakamani kushinda kesi walizofunguliwa.
Ni vema tukakawia lakini tukafikia. Kwani miongoni mwetu tunaochachamaa watu hawa wafikishwe mahakamani bila uchunguzi kukamilika, siku wakishinda kesi tutaanza kutoa maneno kadhaa ikiwa ni pamoja na kudai ‘wamewahonga’ mahakimu au kuburuzwa kwao mahakamani kulikuwa ni kwa lengo fulani. Tusifike huko, sote tuendelee kuibua maovu mengine na kupongeza pale serikali inapofanya vizuri..
Mungu ibariki Tanzania, Mungu Afrika.

0755 312859
katabazihappy@yahoo.com:www.katabazihappy.blogspot.com

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima Jumapili Novemba 30 mwaka 2008

MAHAKAMA YAMLIZA MRAMBA

*Ataikosa ndoa, harusi ya bintiye leo
*Ndugu wajawa simanzi mahakamani
*Masharti ya dhamana yao yalegezwa

Na Happiness Katabazi

LICHA ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutoa amri ya kurekebisha masharti ya dhamana kwa waliokuwa mawaziri waandamizi wa Serikali ya Awamu ya Tatu ambao ni Basil Mramba ( Fedha) na Daniel Yona (Nishati na Madini), Mramba atashindwa kushuhudia harusi ya binti yake inayofanyika leo baada ya kulazimika kurudi tena Keko.
Mramba na Yona wanaoshtakiwa katika kesi ya jinai namba 1,200 ya mwaka huu ya matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia serikali hasara ya sh bilioni 11.7, walirudi rumande baada ya muda wa kazi kwa ofisi za umma kumalizika.
Kwa sababu hiyo basi, watuhumiwa hao wawili sasa watalazimika kwenda katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu keshokutwa Jumatatu kwa ajili ya kukamilisha taratibu za dhamana.
Kurejea mahabusu kwa Mramba kunamfanya ashindwe kuhudhuria ndoa na harusi ya binti yake ambaye leo hii anatarajia kufunga ndoa na mtoto wa aliyekuwa Rais wa Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo nchini (TCCIA), Aristablus Elvis Musiba.
Ndoa hiyo ya bintiye Mramba inatarajia kufungwa katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph na hafla yake kufanyika katika Hoteli ya Movenpick.
Habari ambazo Tanzania Daima imezipata, zinasema kuwa maandalizi yote ya harusi hiyo yamekamilika, lakini huenda harusi hiyo isihudhuriwe na ndugu wengi kutokana na Mramba kushindwa kutoka rumande.

Muda wote jana wakati Jaji wa Mahakama Kuu, Njegafibili Mwaikugile alipokuwa akipitia rufaa ya Mramba na Yona, ndugu na jamaa wa watuhumiwa hao walionekana wakisali kwa sauti za chini muda wote.
Mbali ya Mramba na Yona, muombaji mwingine wa kupunguziwa masharti ya dhamana alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Madeni Benki ya Tanzania (BoT), Iman Mwakosya, ambaye ni mshtakiwa wa pili katika kesi ya jinai namba 1162 ya mwaka huu, iliyofunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya wizi wa sh milioni 207, mali ya BoT.

Akitoa uamuzi wake jana saa 8:26 hadi 8:40 baada ya kusikiliza hoja za wakili wa kujitegemea Michael Ngaro na Joseph Tadayo wanaowatetea Mramba na Yona, pamoja na wakili mwandamizi wa serikali Fredrick Manyanda, Jaji Njengafibili Mwaikugile alitoa amri ya kurekebishwa mara moja kwa sharti lililokuwa likiwataka Mramba na Yona kutoa fedha taslimu sh bilioni 2.9 ili wapate dhamana badala yake alisema kisheria mtuhumiwa anatakiwa apate dhamana kwa kutoa kiasi au kuwasilisha hati ya mali yenye thamani sawa na kiwango hicho.
Jaji Mwaikugile alisema masharti mengine kama kuwa na wadhamini wawili wa kuaminika, kusalimisha hati ya kusafiria na kutotoka nje ya Dar es Salaam, yatabaki kama yalivyo, lakini endapo watuhumiwa wanataka kutoka nje ya Jiji la Dar es Salaam, watapaswa kuomba ruhusu mahakamani.
“Masharti mengine yatabaki kama yalivyo ila lile sharti la kuwataka waombaji kutoa fedha taslimu sh bilioni 2.9 ndiyo wapate dhamana sikubaliani nalo na kwa sababu hiyo nabadilisha sharti hilo; hivyo watuhumiwa watapata dhamana endapo watatoa kiasi hicho cha fedha au kuwasilisha hati ya mali yenye thamani sawa na sh bilioni 2.9,” alisema Jaji Mwaikugile.
Hata hivyo Jaji huyo pia aliamuru wadhamini wa watuhumiwa hao wahakikiwe na msajili namba mbili wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Lameck Mlacha, agizo ambalo lilianza kutekelezwa kwa mawakili wa pande zote mbili kwenda ofisi ya msajili huyo, saa 9:03 alasiri.
Ilipofika saa 10:23, Msajili Mlacha aliwaambia waandishi wa habari kuwa muda wote aliokuwa na mawakili hao kwa ajili ya kuwahakiki, lakini muda wa kazi wa ofisi za umma ulikuwa umemalizika bila kazi hiyo kukamilika.
Kutokana na hali hiyo, aliwaagiza watuhumiwa hao warudi rumande hadi Jumatatu ijayo ambapo watapelekwa katika Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya hatua za mwisho za uhakiki wa hati za mali zilizowasilishwa na wadhamini wao.
“Ndugu waandishi tulikuwa na mawakili wa pande zote mbili kwa ajili ya kuhakiki wadhamini na hati zao, lakini kwa bahati mbaya muda wa kazi katika ofisi za umma umekwisha, hatuwezi kuendelea kufanyakazi hii na kwa sababu hiyo, washitakiwa warudi rumande hadi Jumatatu watakapopelekwa Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya kazi hiyo ya uhakiki,” alisema Lameck.
Baada ya kumaliza kuzungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, watuhumiwa hao walitolewa mahabusu na kupakizwa kwenye basi la magereza lenye namba za usajili STK 4310 na kurudishwa katika Mahabusu ya Keko, na kuacha baadhi ya ndugu na jamaa walikuja kufuatilia shauri hilo kububujikwa na machozi huku wengine wakijiinamia kwa huzuni.
Kwa mujibu wa hati ya waombaji hao ambayo Tanzania Daima inazo, Mramba na Yona walikuwa wanaiomba Mahakama Kuu ilegeze masharti ya dhamana ya kutoa sh bilioni 3.9 kwa kila mmoja na sharti la kuzuiwa kutoka nje ya Dar es Salaam kwa madai kuwa yatawaathiri washitakiwa hao hususani Basil Mramba kwani ni Mbunge wa Rombo.
Hivyo kama sharti hili lingeendelea kuwapo, lingemzuia kuwatumikia wananchi wake na pia atashindwa kuhudhuria vikao vya Bunge, mjini Dodoma.
Jumanne wiki hii Hakimu Henzron Mwankenja ambaye ndiye anayesikiliza kesi ya msingi ya Mramba na Yona, alitamka kwa kinywa chake kwamba ili watuhumiwa wapate dhamana, lazima kila mmoja atoe fedha taslimu sh bilioni 3.9 wakati katika rekodi za mwenendo wa shauri hilo alizoiandika yeye mwenyewe, zinaonyesha aliandika sharti la dhamana ni sh bilioni 2.9 kwa kila mmoja.
Sharti hilo la sh bilioni 3.9 limeripotiwa na vyombo vya habari na umma uliojitokeza siku hiyo kufuatilia shauri hilo ulisikia lakini mawakili wa washtakiwa walipoomba mwenendo wa shauri hilo ili walipeleke Mahakama Kuu Jumatano hii kwa ajili ya kupinga dhamana, ndipo walipogundua kosa hilo.
Wakati huo huo Jaji Razia Shekhe ambaye naye jana alikuwa akisikiliza ombi la Mwakosya anayetetewa na wakili wa kujitegemea Makaki Masatu, ambaye alikuwa anapinga sharti la kutakiwa kutoa fedha taslimu sh milioni 104 na risiti ya benki, kwa madai kuwa hakimu alitoa sharti hilo moja bila kutoa sharti mbadala kama kifungu cha 148(5)(e) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2002, inavyoelekeza, amerekebishiwa.
Jaji Shekhe alikubaliana na ombi Mwakosya na kurekebisha kiwango hicho cha fedha alichotakiwa kutoa na badala yake mshitakiwa huyo sasa atatakiwa kutoa sh milioni 26 au kuwasilisha hati ya mali yenye thamani ya kiwango hicho.
Hata hivyo Mwakosya amerudishwa rumande kwa sababu ya kutokamilisha taratibu za dhamana yake.
Kwa mujibu wa hati ya madai ya Mwakosya aliyoiwasilisha mahakamani hapo Novemba 20 mwaka huu, aliiomba mahakama hiyo imruhusu atoe hati ya mali isiyohamishika badala ya fedha taslimu ili aweze kupata dhamana.
Hakimu Henzron Mwankenja, Novemba 11 mwaka huu, alitoa sharti la dhamana la kutoa fedha taslimu sh milioni 104 kwa washtakiwa wanne wa kesi ya jinai namba 1162, Mweka Hazina wa CCM Mkoa wa Kigoma, Rajabu Maranda, Iman Mwakosya, Kaimu Mkurugenzi wa Madeni ya Nje (BoT), Ester Komu na Mwanasheria wa benki hiyo, Bosco Kimela sharti ambalo lilitimizwa kwa nyakati tofauti na washtakiwa hao isipokuwa Mwakosya.
Hata hivyo wakili wa Mwakosya, Masatu , aliwasilisha ombi mbele ya hakimu huyo akieleza kuwa mahakama ilipitiwa katika kutoa sharti hilo na kuomba mahakama itekeleze masharti yote yaliyoainishwa kwenye kifungu cha 148(5)(e) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai.
Sheria hiyo inatamka bayana kwamba mtuhumiwa anayetuhumiwa kuiba zaidi ya sh milini 10, atatakiwa kulipa nusu ya fedha anazotuhumiwa kuiba kutoa hati ya mali yenye thamani ya nusu ya kiwango hicho.
Akitoa uamuzi wake, Mwankenja alisema anakubaliana na hoja za wakili huyo na inamuwia vigumu kwenda kubadilisha sharti hilo kwa sababu tayari watuhumiwa wenzake katika kesi hiyo,walishatekeleza sharti hilo.
Mramba na Yona wanakabiliwa na mashtaka 13 ya kutumia madaraka ya umma vibaya na kuisababishia serikali hasara kubwa ya sh bilioni 11.7
Ilidaiwa kuwa washtakiwa kwa makusudi au kushindwa kuchukua tahadhari kwa mujibu wa taratibu za kazi wakiwa mawaziri katika Serikali ya Awamu ya Tatu, iliyokuwa inaongozwa na Rais Benjamin Mkapa, waliruhusu kutolewa kibali cha serikali kilichoisaidia kampuni ya M/S Alex Stewart (Assayers) Gorvement Bussiness Corporation kutolipa kodi tofauti na mapendekezo ya Mamlaka ya Mapato (TRA); uamuzi ulioisababishia hasara serikali ya sh 11,752,350,148.00.
Ilidaiwa kuwa Mramba na Yona, kati ya mwaka 2002 na Mei 2005, Mramba akiwa Waziri wa Fedha na Yona, Waziri wa Nishati na Madini, waliiruhusu kampuni ya M/S Alex Sterwart(Assayers) Government Bussiness Corporation kutolipa kodi hivyo kutumia madaraka yao vibaya kwa kusaini mkataba wa miaka miwili na kampuni hiyo toka Juni 14 mwaka 2005 hadi Juni23 mwaka 2007, kinyume na sheria ya Manunuzi ya Serikali ya mwaka 2002.
Kwa mujibu wa hati yao ya mashtaka, kati ya Machi na Mei 28 mwaka 2005 watuhumiwa hao walitumia vibaya ofisi za umma na kumualika Dk. Enrique Segure wa M/S Alex Stewart (Assayers) Government Bussiness Corporation na kuidhinisha kuipatia mkataba wa miaka miwili kampuni hiyo ya uzalishaji madini kabla ya timu ya serikali kuruhusu kuingiwa kwa mkataba na kampuni hiyo.
Ilidaiwa kuwa Oktoba 10 mwaka 2003, Mramba alitumia madaraka vibaya na kudharau maelekezo ya Mamlaka ya Mapato (TRA) kwamba kampuni hiyo isipewe msamaha wa kodi.
Washtakiwa wote walikana shtaka na kesi yao itatajwa tena Desemba 2 mwaka huu.

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Novemba 29 mwaka 2008