WAPIGANAJI MMETUONA!!!!
Kushoto ni mimi (Happiness) na Mhariri wa Gazeti la Mwanahalisi, Jabir Idrisa tikibalishana mawazo muda mfupi baada ya kuitimu mafunzo hayo ya habari za uchunguzi(IJ) yaliyofanyika katika hoteli ya Zanzibar Ocean View iliyopo Zanzibar.
1 comment:
Rama Msangi
June 25, 2010 at 1:02 PM
aisee, long time sijaonana ana kwa ana na Jabir...duh!! naona anazeeka sasa
Reply
Delete
Replies
Reply
Add comment
Load more...
‹
›
Home
View web version
aisee, long time sijaonana ana kwa ana na Jabir...duh!! naona anazeeka sasa
ReplyDelete