HUKUMU KESI YA MTIKILA AGOSTI 27

Hukumu kesi ya Mtikila Agosti 27 Na Happiness Katabazi MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imesema Agosti 27 mwaka huu, itatoa hukumu ya kesi ya kusambaza waraka wa uchochezi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Democratic(DP), Mchungaji Christopher Mtikila dhidi ya Rais Jakaya Kikwete. Hayo yalisemwa jana na Hakimu Mfawidhi Ilvin Mugeta muda mfupi baada ya shahidi wa pili wa upande wa utetezi katika kesi hiyo ambaye ni Mpiga Picha wa Gazeti la Mwananchi, Mpoki Bukuku kumaliza kutoa ushahidi wake na Mtikila mwenyewe kumaliza kujitetea. Hakimu Mugeta alisema anakubaliana na ushauri wa Mtikila uliosema ameamua kufunga ushahidi wake jana licha hapo awali aliahidi kuleta mashahidi wake 10 ili waje kumtetea kwasababu endapo mashahidi hao angewaleta wangezungumza mambo ambayo ameishayazungumza yeye na Bukuku na kwamba hukumu ya kesi hiyo ataitoa Agosti 27 mwaka huu. Mtikila akimaliza kutoa utetezi wake jana alidai kuwa mashitaka aliyoshitakiwa nayo siyo sahihi na kwamba waraka aliousambaza wenye kichwa cha habari kisemacho “Kikwete kuungamiza kabisa ukristo! Ambao ndiyo umesababisha ashitakiwe , siyo wa uchochezi kwani umejaa maneno ya kumsifu mungu. Kwa upande wake shahidi wa pili, Bukuku akitoa ushahidi wake jana, aliieleza mahakama kuwa ni kweli kampuni yao ya uchapaji ya Mwananchi Communication Ltd ilichapisha gazeti la Mwananchi ambalo lilikuwa limenukuu baadhi ya maneno yaliyokuwa kwenye waraka huo unaodaiwa kuwa ni wa uchochezi ila hadi sasa si jeshi la Polisi au Mtikila mwenyewe alishafika ofisini kwao kuilalamikia habari hiyo kuwa imepotoshwa. Awali ilidaiwa kuwa kati ya Januari mwaka 2009 na Aprili 17, mwaka 2010 jijini Dar es Salaam, kwa nia ya uchochezi mshitakiwa alisambaza kwa umma nyaraka zilizosema ‘Kikwete kuuangamiza Kabisa Ukristo', ‘Wakristo wasipounga upesi kuweka Mkristo Ikulu” Katika shitaka la pili, Aprili 16, mwaka 2010 eneo la Mikocheni jijini Dar es Salaam, bila kibali alikutwa akimiliki waraka huo wa uchochezi kwa jamii. Wakati huo huo Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo Agnes Mchome jana aliiarisha kesi ya kumteka na kumjeruhi Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari , Dk.Steven Ulimboka , raia wa Kenya ,Joshua Mulundi(21) kwasababu kesi hiyo iliku jana jana kwaajili ya kutajwa na wakili wa serikali Mwanaisha Komba alieleza kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika. Julai 13 mwaka huu, ilidaiwa mahakamani hapo na wakili wa serikali Lasdlaus Komanya kuwa Mulundi ambaye ni mkazi wa Murang'a nchini Kenya anadaiwa kuwa Juni 26 mwaka huu, akiwa eneo la Leaders Club alimteka Dk. Ulimboka. Komanya alidai shitaka la pili ni kuwa Juni 26 mwaka huu, akiwa katika eneo la Msitu wa Mwabepande Tegeta, Dar es Salaam kinyume na sheria na mshitakiwa alikana mashitaka hayo na yupo rumande. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Julai 26 mwaka 2012.

MARANDA,FARIJALA WAFUNGWA JELA TENA

Na Happiness Katabazi MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, kwa mara ya pili tena imemuhukumu Kada wa Chama cha Mapinduzi(CCM), Rajabu Maranda na mpwa wake Farijala Hussein imewahukumu kwenda jela miaka mitatu kila mmoja kwasababu imewakuta na hatia ya makosa sita likiwemo kosa la kujipatia Shilingi bilioni mbili kwa njia ya udanganyifu toka katika Akaunti ya Madeni ya Nje(EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania kwa njia ya udanganyifu. Sambamba na kutiwa hatiani na mahakama hiyo pia Mwenyekiti wa jopo la Mahakimu Wakazi waliokuwa wakisikiliza kesi Jaji Fatma Masengi alitoa hukumu yake peke yake inayotofautiana na wanajopo wenzie ambao ni Hakimu Mkazi Projest Kayohza na Catherine Revocate ambayo iliwaachiria huru washitakiwa na ambapo hukumu ya Jaji Masengi imebaki kuwa katika kumbukumbu za mahakama na hukumu ya mahakama ni ile iliyotolewa na mahakimu hao wawili kwasababu sheria inasema wengi wape. Hakimu Kahyoza akisoma hukumu hiyo ya mahakama alianza kwa kuikumbusha mahakama kuwa kesi hiyo waliyokuwa wakiitolea hukumu ni kesi ya jinai Na.1163/2008 ambao washitakiwa hao waliokuwa wakitetewa na wakili wa kujitegemea Majura Magafu na upande wa Jamhuri uliokuwa ukiwakilishwa na mawakili waandamizi wa serikali Arafa Msafiri na Vitalis Timoth walikuwa wakikabiliwa na jumla ya makosa saba. Aliyataja makosa hayo kuwa ni kula njama kuidanganya BoT kinyume na kifungu cha 306 ambalo wanadaiwa kulitenda Machi 22 mwaka 2005 na 2006, Kugushi hati ya jina la usajili wa jina la Biashara la Money Planner Consultant na kuonyesha hati hiyo imetolewa na BRELA huku akijua sikweli kinyume na kifungu cha 333,335(c,d(i),337, kosa la tatu hadi la tano ni la kuwasilisha nyaraka zilizogushiwa kinyume na kifungu 342, wizi wa shilingi milioni 660 kinyume na kifungu cha 258 na 265 na kosa la saba ni la kujipatia Shilingi bilioni mbili toka BoT kwa njia ya udanganyifu,vifungu vyote hivyo ni vya Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya mwaka 2002. Alisema katika kuthibitisha kesi hiyo upande wa jamhuri ulileta mashahidi saba ambao Ofisa Mwandamizi toka ofisi (BRELA), Noel Shani, Saul Kisai , Mrakibu Mwandamizi wa Polisi(SSP), Safael Nkonyi ,ofisa mwandamizi toka Benki ya Taifa ya Biashara, Laison Mwakapenda,Johanes Kagendi ambaye ndiyo aliyekuwa mtaalamu wa maandishi toka jeshi la Polisi ambaye ndiye aligundua hati hizo zilikuwa zimegushiwa na washitakiwa, Sijo Frenanends toka iliyokuwa Benki ya Biashara Afrika na Johanes Boaz toka BoT ambaye katika ushahidi wake alieleza kuwa washitakiwa hao waliwasilisha maombi yao ya kutaka walipwe kiasi hicho cha fedha na BoT ambapo waliwasilisha hati hiyo ya jina la usajili na hati ya kuamisha deni inayoonyesha kampuni ya B.Grancel ya Ujerumani imeipatia idhini kampuni ya washitakiwa ya Money Planner Consultance ya Tanzania idhini ya kudai deni lake la shilingi bilioni mbili BoT na kwamba maombi hayo yalifuata taratibu zote na BoT iliwalipa kiasi hicho cha fedha washitakiwa hao. Na kwa upande wa washitakiwa hawakuleta shahidi mashahidi walikuwa ni wao wawili tu. “Baada ya kupitia hayo yote hapo juu tunafikiri hoja za kutolea uamuzi ni saba ambayo nitazitaja kama ifuatavyo: Kama washitakiwa walikula njama kuibia BoT?, kama walighushi hati ya usajili wa jina la biashara Na.150731 kwa jina la Money Planners &Consaltance? , kama walighushi hati ya kuamisha deni (deed of assignment kati ya kampuni ya B.Grancel ya Ujerumani na Money Planners&Consultance ya Tanzania?, kama waliwasilisha nyaraka hizo zilizoghushiwa Benki ya Biashara ya Afrika na BoT? na kama walijipatia shilingi biloni 1.6 toka Benki Kuu?”alisema Hakimu Kahyoza. Akianza kuichambua kuzichambua hoja hizo huku akionyesha umakini wa hali ya juu alisema anaanza kuichambua hoja ya pili ambayo ni kama washitakiwa walitenda kosa la kughushi,alisema upande wa jamhuri ulileta vielelezo kuonyesha washitakiwa walipata jina la usajili la Money Planer s&Consultance Machi 22 mwaka 2005 toka BRELA ambayo inaonyesha pia ilikuwa ikimilikiwa na Paul Nyengo na Fundi Ashei na nyaraka zote zinaonyesha ofisi ya jina hilo la kampuni iliyokuwa na Paul na Fundi katika ofisi zake zilizopo Magomeni Mapipa mtaa wa Iramba nyumba Na.7,wakati washitakiwa na watu hao wawili ni watu tofauti na mahakama imeona hiyo siyo hali ya kawaida na watu wawili tofauti kuwa na kampuni yenye jina linalofanana na ofisi za kampuni hiyo kuwa katika mtaa na namba ya nyumba zinazofanana na jina hilo linaonyesha limetolewa na BRELA kwa watu hao wawili tofauti. “Mshitakiwa wa kwanza Farijala katika utetezi wake alidai ni yeye ndiye aliyepelea BRELA ombi la mabadiliko ya jina la biashara …kwa kujichanganya changa huko mahakama hii inakubaliana na mtaalamu wa maandishi Kagendi saini zilizokuwa katika hati ya usajili wa jina la biashara ziligushiwa na Maranda katika utetezi wake alidai ni Fundi ndiye aliyepeleka maombi ya mabadiliko ya jina BRELA hazikusainiwa na shahidi wa kwanza Noel Shani ambaye ni Afisa wa BRELA, na kwamba zilisainiwa bila ridhaa yake ni wazi nyaraka hizo zimegushiwa na zimekutwa mikoni mwa washitakiwa hivyo mahakama hii imewakutana na hatia katika kosa la kughushi”alisema Hakimu Kahyoza. Akilichambua hoja ya tatu, alisema hiyo hati ya kuamisha deni inayoonyesha imetoka kampuni ya B.Grancey ya Ujerumani na Money planners&Consultance inaonyesha imesainiwa na mwakili wa kampuni hiyo ya Ujerumani na kwa upande wa Tanzania hakuisaini na hata hivyo aliyepaswa aisaini ni Paul Nyengo au Fundi Ayeshi ambayo hata hivyo ni majina ya kufikirika na hata hivyo kisheria hiyo hati ya kuamishia deni ni batili na haikupaswa kukubaliwa na benki kuu kwani ilisaniwa na upande mmoja badala ya kusainiwa na pande mbili za kampuni hiyo, hivyo mahakama hii kwa kauli moja imefikia uamuzi wa kuona hati hiyo ilighushiwa na washitakiwa kwani ilikutwa mikononi mwao na ni washitakiwa ndiyo waliitumia hati hiyo ya kuamishia deni kuipeleka BoT na kuifungulia akanti katika Benki ya Biashara ya Afrika. Hakimu Kahyoza akiijadili hoja nne ambayo ni kama washitakiwa waliwasilisha hati hizo katika Benki ya Biashara ya Afrika, alisema ukitazama ushahidi ulitolewa washitakiwa kwa nia mbaya waliwasilisha hati hizo Benki ya Biashara ya Afrika huku wakijua hati hizo zimeghushiwa na mtumishi yoyote atakayezifanyiakazi nyaraka hizo awe ni mhanga wa nyaraka hizo na kumaliza kwa kuwaona washitakiwa ndiyo waliowasilisha nyaraka hizo katika ofisi hizo na wakajipatia fedha. “Kuhusu hoja ya tano kama nyaraka hizo feki ziliwasilishwa BoT na washitakiwa hao …majibu ya hoja hiyo siyo magumu kwani shahidi wa saba alisema ni washitakiwa ndiyo walipeleka nyaraka hizo BoT wakiomba walipwe fedha Septemba 8 mwaka 2005..na tayari mahakama hii imeishathibitisha kuwa washitakiwa hao ndiyo waliogushi nyaraka hizo kwa hiyo mahakama hii katika hoja hii inauhakika kuwa ni washitakiwa ndiyo waliwasilisha nyaraka hizo zilizoghushiwa benki kuu”alisema Hakimu Kahyoza. Kuhusu hoja ya sita kama washitakiwa hao waliiba shilingi milioni 660, hakimu Kahyoza alisema katika shitaka hilo mahakama inapenda kuwa mkweli kwani upande wa jamhuri umeshindwa kuthibitisha kosa la wizi kwani ulishindwa kuleta hata shahidi wa kuja kuthibitisha kosa hilo na hivyo inawaachilia huru washitakiwa hao katika kosa hilo la wizi kwani imeshindwa kuwatia hatiani. Hakimu Kahyoza akiichambua hoja ya saba ambayo ni kama washitakiwa walijipatia ingizo la shilingi bilioni mbili toka BoT, alisema hakuna ubishi kwamba BoT iliweka kiasi hicho cha fedha kwenye akaunti ya washitakiwa baada ya washitakiwa hao kuwasilisha nyaraka za zilizoghushiwa BoT na kuomba walipwe na walilipwa na kuongeza kuwa amewatia hatiani katika kosa hilo. Akiitimisha hoja ya kwanza ya kama washitakiwa walikula njama, alisema upande wa jamhuri umeweza kuthibitisha kosa hilo kwani katika hata katika maelezo ya onyo ya mshitakiwa wa pili Maranda, alikiri kuwa hapo awali alikuwa akikutana na Farijala na kujadili ni wapi ofisi ya kampuni yao iwepo na kwamba kwa maelezo hayo mahakama hiyo imelidhika washitakiwa walitenda kosa hilo la kula njama. Kwa upande wake Jaji Masengi akisoma hukumu yake iliyotofautiana na wana jopo wenzie, alisema yeye ameamua kutoa hukumu inayotofautiana na wenzie licha hukumu ya wenzie ndiyo itabaki kuwa hukumu ya mahakama alisema amepitia ushahidi wa mashahidi wa jamhuri ameona upande wa jamhuri umeshindwa kuthibitisha kesi yao. Jaji Masengi alisema upande wa jamhuri ambao ndiyo uliodai hati ya kuamishia deni ya baina ya kampuni hizo zimegushiwa ,ulipaswa kuleta ushahidi kuthibitisha hilo pia ulipaswa kuleta ushahidi kuonyesha hiyo kampuni ya B.Grancey ilikuwa haijaipa mamlaka kampuni ya washitakiwa kudai deni lao hapa nchini na pia ulipaswa kuleta ushahidi kama fedha hizo zilizolipwa na BoT kwa kampuni ya washitakiwa hazikuifikia kampuni hiyo ya Ujerumani. “Kwa kushindwa huko kwa upande wa jamhuri kuleta ushahidi thabiti,hukumu yangu hii inawaachiria huru washitakiwa wote”alisema Jaji Fatma Masengi. Kwa upande wake wakili Mwandamizi wa Serikali Arafa Msafiri aliomba mahakama itakapotoa adhabu yake izingatia matakwa ya kifungu cha 348 na 359 cha Sheria ya Mwenendo wa Kanuni ya Adhabu ya mwaka 2002 na itoe amri ya kuwataka washitakiwa warudishe kiasi cha fedha wanachotuhumiwa nacho na walipe fidia kwasababu hiyo siyo mara ya kwanza washitakiwa kutiwa hatiani kwa makosa kama hayo kwani washitakiwa hao Mei mwaka jana walihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya kujiapatia ingizo la shilingi bilioni 1.8 za EPA katika kesi ya jinai Na.1161/2008. Kwa upande wake wakili wa washitakiwa Majura Magafu aliomba mahakama hiyo isitoe adhabu kali kwa washitakiwa kwani hadi sasa wapo gerezani wanatumikia kifungo cha miaka mitano jela na mazingira ya makosa ni kama waliyotiwa nayo hatiani jana na pia Farijala ni mgonjwa wa Figo na Maranda ana presha ya macho. Magafu akaiomba mahakama hiyo wakati ikitoa adhabu izingatie matakwa ya kifungu 38 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu ambacho kinaipa mamlaka mahakama hata katika kesi kubwa au ndogo hali za watumiwa. Akitoa adhabu kwa washitakiwa hao Hakimu Mkazi Catherine Revocate alisema jopo hilo limejadiliana na kutazama mazingira ya kesi hiyo imefikia uamuzi wa kuwatia hatiani washitakiwa katika kosa 1,2,3,4,5 na 7 na kwamba kosa la sita ambalo ni la wizi wameachiria huru na kuongeza kuwa katika makosa hayo waliyowakuta na hatia kila kosa moja ni miaka mitatu na kwamba washitakiwa hao wataanza kutumia adhabu hiyo ya miaka mitatu jela kuanzia jana. Kutiwa hatiani katika kesi hiyo jana, Maranda sasa atabakiwa akikabiliwa na kesi nyingine tatu za EPA ambazo bado azijatolewa hukumu na mahakama hiyo wakati Farijala anabakiwa akikabiliwa na kesi mbili. Mei 23 mwaka jana mahakama hiyo iliwatia hatiani washitakiwa kwa makosa ya kujipatia shilinigi bilioni 1.8 kwa njia ya udanganyifu toka katika akaunti ya EPA. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Julai 25 mwaka 2012.

WABUNGE TUMIENI VIZURI KINGA YENU

Na Happiness Katabazi
IBARA ya 100(1)ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, inasema hivi “ Kutakuwa na uhuru wa mawazo,majadiliano na utaratibu katika Bunge na uhuru huo hautavunjwa wala kuhojiwa na chombo chochote katika Jamhuri ya Muungano,au katika Mahakama au mahali penginepo nje ya Bunge.
Ibara 100(2) inasema “ Bila ya kuathiri Katiba hii au masharti ya sheria nyingine yoyote inayohusika. Mbunge yeyote hatashtakiwa au kufunguliwa shauri la madai mahakamani kutokana na jambo lolote alilolisema au kulifanya ndani ya Bunge au alilolileta Bungeni kwa njia ya maombi,muswada,hoja au vinginevyo”. Leo nimelazimika kuanza makala hii kwa kutumia nukuu hiyo ya Ibara ya Katiba ya nchi, kwani kadri siku zinavyo zidi kwenda baadhi ya wabunge wetu wakiitumia kinga hiyo vibaya kinyume na makusudio ya ibara hiyo. Kwani hivi sasa tunaona baadhi ya wabunge wetu wawapo bungeni wanakwepa kabisa kuzungumzia kero za majimbo yao walizotumwa na wapiga kura wao badala yake wameamua kujikita zaidi kwa kuwakile wanachokiita kuwalipua wenzao kuwa ambao wengine hata sio wabunge tena kwa kuwataja majina na nyadhifa zao wakiwahusisha na makosa mbalimbali na kuitimisha kwa kusema wanao ushahidi wa tuhuma hizo. Sitaki kuwataja kwa majina wabunge ambao majimbo yao yanakero lukuki lakini wawapo bungeni hawazizungumzii kero hizo kabisa kutwa utawasikia ,wanaomba mwongozo wa Spika,utaratibu, mwekezaji,au afisa fulani wa serikali ni fisadi,tunaomba bunge lituruhusu tujadili ajali ya meli iliyotokea wiki iliyopita wakati wataalamu walitueleza bado wanaendelea na uchunguzi wa chanzo cha Boti iliyokuwa ikitoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar kuzama. Kwa kweli uwa nasikia hasira na kichefuchefu pindi nisikiapo wabunge wa aina hiyo wanaongea maneno hayo bungeni.Hivi unajadili ajali ya boti ambayo hata chanzo chake bado kilikuwa hakijulikani ,hukuwepo eneo la tukio, unajadili nini kama sio uwendawazimu na matumizi mabaya ya muda wa bunge ambalo linaendeshwa kwa kodi za wananchi? Hivi hiyo ajali hiyo ya boti imewauma sana hadi mnataka muijadili kuliko shida za wapiga kura wenu ambao wanakabiliwa na ukosefu wa maji safi na salama,uhaba wa vyumba vya kujifungulia wajawazito? Hivi wapiga kura wenu mlikaa nao saa ngapi na wapi wakawatuma muende kujadili ajali hiyo ya meli iliyotokea wiki iliyopita?Mambo mnayotumwa tena kwa maandishi mkawaseme bungeni wala hatusikii mkishupaza shingo,mkitishia kususia vikao vya bunge kama kero za majimbo yenu hazitajadiliwa na bunge hilo. Nyie baadhi ya wabunge mnaowatuhumu wabunge wenzenu na wananchi wengine ambao si wabunge kuwa ni mafisadi, hivi nyie mnausafi gani maana nanyie vile vile mkae mkijua mmejificha kwenye mawingu ,mnaonekana na watu wanaowaona na nyie wanawashuhudia kuwa siyo wasafi hata kidogo ,ni wachafu na wengi mnadaiwa mlitumia hila,husuda katika kushinda ubunge. Imeanza kuwa mila na desturi sasa mbunge ambaye ni mtunga sheria anapata taarifa za uhalifu kabla vikao vya bunge havijaanza ,hizo taarifa anazikalia anasuburi kipindi cha bunge la bajeti kikifika akipata fursa ya kuchangia bajeti ya wizara fulani, ndiyo utamsikia mbunge huyo eti akijinasibu anazo taarifa za kutendeka kwa uhalifu na ofisa fulani. Uwa nasikitika sana ninapomwona mbunge anazungumza tuhuma hizo ndani ya bungeni, kwasababu kifungu cha nane cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya mwaka 2002, inasema kutokufahamu sheria siyo kinga ya kutokuadhibiwa na Kifungu cha saba cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ya mwaka 2002, kinasema kila mtu ambaye ana taarifa za kutaka au kutendeka kwa kosa ,mtu huyo anapaswa atoe taarifa katika mamlaka husika. Sasa na shangazwa na wabunge hao ambao ndiyo watunga sheria wetu wanashindwa kutimiza kwa vitendo matakwa ya vifungu hivyo vya sheria. Hivi bunge siku hizi ndiyo limegeuka kuwa kituo cha polisi au mahakama?Maana polisi ndiyo inapokea taarifa na kuzichunguza na kukamata na mahakama nayo ndiyo inasikiliza mashitaka na kutolea maamuzi sasa tuwaulize nyie wabunge waropokaji , mnavyokalia hizo taarifa za ubadhirifu bila kuzipeleka TAKUKURU,Polisi,Uhamiaji mnazipelekea bungeni mnaajenda gani? Maana taifa hili hivi sasa limekuwa na aina ya wanasiasa wengi uchwara ,wasiyotaka kukaa chini na changanua mambo kwa mapana yake na kuyafanyiakazi matokeo yake wanaibua hoja zisizoendelevu ambazo hazitufundishi chochote sisi wananchi zaidi ya hoja hizo zimekuwa na malengo ya kulipizana visazi na kuumizana kisiasa na kujitafutia uaamuru wa chee wa kisiasa.Ni upuuzi. Na matokeo ya kuwa na aina hii ya wanasiasa ambao jukumu la kufikiri sawa sawa ni jinsi gani wataweza kuliletea taifa letu maendeleo makubwa ,ndiyo maana tunashuhudia hivi sasa aina hii ya wanasiasa uchwara wa hapa nchini anakaa katika madaraka ya kibunge au uwaziri kwa kipindi kifupi sana ukilinganisha na awamu za serikali zilizopita. Kutwa baadhi ya wabunge wetu wawapo bungeni wamegeuka kuwa kama waimbaji wa miziki ya Mipasho ,mbunge huyu kamtuhumu mbunge wa chama kile ,mbunge huyu kakituhumu mbunge Yule.Yaani tafrani. Hivi hiyo mipasho na vijembe vyenu mnavyorushiana na kususia vikao vya bunge kwasababu ajenda zenu hazijakubaliwa na spika zinatusaidia nini sisi wapiga wenu?Jibu ni jepesi havitusaidii chochote.Ningewaona wamaana mnaposusia kikao cha bunge ,msuse na kupokea posho,sio mnasusia kikao cha bunge halafu posho mnapokea. Umefika wakati sasa kwa Watanzania wote tunaofikiri sawa sawa na kuitakia mema taifa letu kujitokeza kwa wingi kwenda kutoa maoni yenu kwenye Tume ya Kukusanya maoni ya marekebisho ya Katiba na kutoa maoni yetu,ikiwemo kutoa maoni ya kuwa hiyo ibara ya 100(1,2),ifanyiwe marekebisho kidogo na badala yake kiongezwe kipengele cha kukataza wabunge wasijadili tuhuma za mtu fulani ambazo hawana ushahidi nazo na endapo mbunge atajadili tuhuma hasizo na ushahidi nazo Yule aliyetuhumiwa awe na mamlaka ya kumshitaki mbunge huyo,naamini tabia ya wabunge kudhulia wenzao uongo ndani ya bunge itakoma. Na sisi watanzania wengi tulivyo tunakasumba moja mbaya sana tuhuma dhidi ya mtu fulani zinapotolewa leo hata kama hazina uthibitisho basi hizo taarifa ndiyo nzinaaminiwa na wananchi wengi hata ikija kutokea mbele ya safari tuhuma hizo siyo za kweli tayari mtu huyo jina lake limekuwa limeshachafuka na jamii itamchukulia kuwa mtu huyo ni mchafu. Kinga hiyo ya wabunge wawapo bungeni hawawezi kushitakiwa tunaona inaanza kutumika ndivyo sivyo, hivyo ni vyema basi ibara hiyo inayowapatia kinga hiyo ikabadilishwa na kuongezwa makali licha uhuru wao wa kujadili ndani ya bunge uwepo ila uwe na mipaka. Uhuru usitukime vibaya kwaajili ya kupakana matope,kushushia heshima na kujitafutia umaarufu chetu na wanasiasa wetu. Kumbukeni Bunge ni mhimili wenye heshima yake lakini kadri siku zinavyokwenda, tunashuhudia matamshi, matendo,hoja zinalishushia heshima bunge letu taratibu. Kumbukeni wabunge, spika mmekabidhiwa bunge hilo kuliongoza,bunge likiwa ni bunge lenye heshima na taadhima lakini hali ilivyo hivi sasa kwa wakati fulani haipendezi. Wakati bado mnao jisahiisheni ,jitambueni nyie ni watu wazima mmepewa dhamana na wananchi kuwawakilisha katika bunge sasa mnapofanya mambo yasiyonajita kwa taifa na wananchi wa ujumla,mkae mkijua mnajishushia heshima na bunge letu litadharauliwa na hata nyingine. Mungu ibariki Tanzania,mungu ibariki Afrika 0716 774494 www.katabazihappy.blogspot.com Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Julai 24 mwaka 2012

JUGDEMENT OF JERRY MURRO CASE

IN THE RESIDENT MAGISTRATE’S COURT OF D’SALAAM AT KISUTU:CRIMINAL CASE NO. 22 OF 2010 REPUBLIC VERSUS 1. JERRY MURO 2. EDMUND KAPAMA @ DOCTOR 3. DEOGRATIAS MGASA @ MUSSA JUDGMENT The accused persons in this case Jerry s/o Muro, Edmund Kapama @ Doctor and Deogratias s/o Mgasa @ Musa are both stand charged for the following offences:- The first count is conspiracy c/s 32 of the prevention and combating of corruption Act, 2007, the particulars of this offence is that Jerry s/o Muro, Edmund s/o Kapama @ Doctor and Deogratias s/o Mgasa @ Musa in January 2010 within the city and region of Dar es Salaam, conspire together and with other persons unknown to commit the offence of corrupt transactions contrary to section 15(1)(a) of the prevention and combating of Corruption Act, 2007. The second count is corrupt transaction, contrary to section 15(1)(a) of the prevention and combating of corruption Act, 2007, and the particulars of this offence is that the accused persons Jerry s/o Muro, Edmund s/o Kapama @ Doctor and Deogratias s/o Mgasa @ Musa, on 29th day of January, 2010 at Sea Cliff Hotel within the City and Region of Dar es Salaam the first accused person being employed by Tanzania Broadcasting Corporation as a reporter, corruptly solicited TSh 10,000,000/= from Michael Wage @ Karoli as an inducement for them to forebear from broadcasting news relating to allegations of misuse of public funds by the said Michael s/o Wage @ Karoli who was an accountant of Bagamoyo District Council a fact which was in relation to their principal’s affairs. The third and last count is for 2nd and 3rd accused persons and the offence is personating to be a public officers, contrary to sections 100(b) and 35 of the penal code Cap. 16 R.E 2002. The particulars of this offence is that Edmund Kapama and Deogratias Mgasa @ Musa on 29th, January 2010 at Sea Cliff Hotel within the city and region of Dar es Salaam falsely represented to be employees of prevention and combating of Corruption Bureau and assumed to interrogate Michael Wage @ Karoli in connection with allegations of corruption. All accused persons denied all count offences and a plea of not guilty was entered, hence full trial. The prosecution side called a total of seven witnesses in bid to prove their case against the accused persons, those witnesses whose evidence was recorded seriatim was, Defective Staff Sargent Peter Jumamosi, A.P Kumar, Michael s/o Wage @ Karoli, Asst Inspector Seleman, Inspector Antony Mwita SSP Duan Nyanda, Detective CP. Lugano. These will hereinafter be referred to as PW-I, PW-2 PW-3, PW-4, PW-5, PW-6 and PW-7 respectively. On other hand the 1st accused persons invited one person to testify as his witness for defence side and make a total of four witnesses for the defence case 1st, 2nd and 3rd accused persons inclusive. The prosecution side led by the learned Principal state Attorney Boniface and the learned counsel Rweyongeza and Kamala for the 1st accused person while the learned counsel Magafu represented the 2nd and 3rd accused person. Summary of the prosecution case basing on the evidence by the above named prosecution witnesses is as follows:- PW1 – I Defective Staff Sargent Peter Jumamosi sworn and state that he resides at Chang’ombe police line and he is working as police officer since 1995, at R.C.O Office Special Zone Dar es Salaam. PW-I told the court that he remember on 1st day of February 2010 he was at Central Police Office his boss (ZCO) Zonal Crime Officer one Mr. Mkumbo ordered him to take the caution statement of the 3rd accused person Deogratias s/o Mgasa who was alleged for an offence of obtain money by false pretenses. In his evidence PW-I further avers that he introduced himself to the 3rd accused person and asked him if he will prefer to call any of his relative or his advocate before interrogation and 3rd accused person said he don’t wish to call anybody, PW-1 took the statement of the 3rd accused person who also read it and signed. PW-1 went further and avers that on the following day on 2nd day of February 2010 and 3rd day of February 2010 he also took additional statement and that the 3rd accused person admitted the said allegation against him. When the caution statement of the 3rd accused person tendered as an exhibit the same was objected by the defence counsel Mr. Magafu, an inquiry was conducted and the caution statement of the 3rd accused person was admitted as exhibit “P-1”. As PW-I cross examined by the counsel for the 3rd accused person, PW-I told the court that he took the first statement on 1.02.2010 the date the 3rd accused person arrested and that he cautioned the accused person that he was alleged to obtained money by false pretense. Upon further cross examination PW-I avers that he took the second statement of the 3rd accused person who did not admit until he admitted when his 3rd statements were recorded. PW-2 A.P Kumar Alan, Adult 35 years old, affirmed and state He is an employee of Sea Cliff Hotel as I.T. Manager. (Information Technology Manager. PW-2 further avers that on 1.02.2010 the General Manager introduced him to three police officers who wanted to check at CCTV room as the said police officers wanted to identify the persons whose image were captured by the Camera from 28th day of January, 2010 up to 31st day of January, 2010. PW-2 went further and state that the said Camera Captured the image of three persons 29th day of January 2010 and that he made a print out and gave the said police officers, the said CCTV picture were tendered and admitted as exhibit P-2”. As PW2 cross examined by the counsel for the 1st accused person, Mr. Rweyongeza PW-2 told the court that he is working with Sea Cliff for four years now and that it is not possible to Manufacture the print out as he is not a photographer. Upon further cross examination PW-2 told the court that they don’t record the sound. Also as PW-2 cross examined by the counsel for the 2nd and 3rd accused person Mr. Magafu, the learned counsel PW-2 told the court that he prepared a print out and gave one CD to police officers. PW-3 Michael s/o Wage Karoli, 51 years old, adult, Christian sworn and state he is working with Bagamoyo District Council as an accountant and that he remember on 28th day of January 2010 he receive a call from one Jerry Muro who told him that he is working with TBC. PW-3 further told the court that the person introduced himself as Jerry Muro told PW-3 to meet at Dar es Salaam and they met at Calfonia Restaurant about 11:00am. In his testimony PW-3 further avers that, he was with his Driver before the 1st accused person Jerry s/o Muro told him to leave the said driver and shifted to another table, there the 1st accused person told him that there was allegation against PW-3 Michael s/o Wage @ Karoli concerning with misuse of public fund at Bagamoyo District Council. PW-3 led by the learned Principal state Attorney he told the court that the 1st accused person called others persons and one of them introduced himself as Assistant Director of PCCB and that the 1st accused person by that time he had a pistol and it was the time the 1st accused person told PW-3 that he wanted to prepare a report following an interview with PW-3 concerning with the allegation against him and that interrogation will be reported direct through Tanzania Broadcasting Cooperation (TBC) during “Usiku wa Habari”. PW-3 further told the court that he denied the allegation but he later on asked the 1st accused person Jerry s/o Muro to assist him and the 1st accused person told PW-3 to give them TSh 10,000,000/=. In his testimony PW-3 avers that he told the 1st accused person that by that time he had only Tsh 1,000,000/= and the remaining sum he will pay it on the following day and that he was considered, the 1st accused person gave PW-3 a lift up to Best Bite Restaurant where PW-3 met his driver ready for journey back to Bagamoyo. PW-3 further told the court that after he had conversation with his relatives and some friends he discovered that he was coned and he decided to report that incident to central police station. In his testimony PW-3 avers that he was told by the police officers that he had to call 1st accused person and tell him to come at City Garden and PW3 did it and the 1st accused person arrived at the place with a Saloon Car the police officers surrounded the 1st accused person who wanted to drive and leave the place but he was surrounded and later on arrested. PW-3 also avers that the 1st accused person was taken to central police station and his motor vehicle was searched various properties were found on it includes handcuffs, and spectacles identified by PW-3 as his property. PW-3 further avers that he was shown a pistol produced by the 1st accused person and identified it as the one used by the 1st accused person to threat him. PW3’s statement tendered and admitted as exhibit “P3”. As PW-3 cross examined by the counsel for the 1st accused person Mr. Rweyongeza PW-3 told the court that he did not know Jerry Muro before this incident and that he did not read from any newspapers concerning with the issue of embezzlement of public fund of which PW-3 was responsible but he knows there was such allegation for misuse of public funds. Upon further cross examination PW3 avers that he reported the matter on 31st day of January 2010 and that he opted to go to central police station instead of PCCB office, because one of the accused person introduced himself as a PCCB employee, and that he reported that matter after having conversation with his relative who advised him to report it to central police station. Also as PW-3 cross examined by the Mr. Magafu counsel for the 2nd and 3rd accused persons PW-3 told the court that he is Christian who got first communion in 1968 and join local government as an accountant at Bagamoyo District Counsel in March, 2006 and his salary by then was 1,400,000/=. Upon further cross examination PW-3 avers that he sold his motor vehicle in 2003 and build two houses at Morogoro with loan from Bank he managed to build others house and make total of nine houses. Upon further cross examination PW-3 told the court that the accused person did not shows him their identity cards, as he believes that 1st accused persons Jerry Muro and decided not to suspect the 2nd and 3rd accused persons, and that he gave them one million shillings so that the report could not be announced at the media. During re-examination led by Principal State Attorney Boniface PW3 avers that his house at Morogoro have nothing to do with this case and he used his own Mobile phone to call the 1st accused person whose mobile phone number is 0653-568080. PW-4 Ass Insp. Issa Seleman, Adult, 30 years old, affirmed and state. He is working with R.C.O Ilala Investigation Department and that he remember on 30/01/2010 he received a call from one Michael Wage who told him what the accused person were doing he was told by RCO Ilala to opened a file PW-4 further avers that he took three police officers they made a trap and the 1st accused person came with a Saloon Car at City Garden having saw PW-3 with other persons, the 1st accused person wanted to leave the place but he was surrounded. PW4 further avers that he ordered that 1st accused person to go at Central Police Station after the PW3 identified him as the person they were communicating. As PW-4 cross examined by the counsel for the 1st accused person Mr. Rweyongeza PW-4 told the court that they normally never handling corruption cases and that he receive a call at morning hours he also saw the money that PW3 had. Also as PW-4 cross examined by the counsel for the 2nd and 3rd accused persons he told the court that there was no body suggested that the money had to be taken to PCCB for further action. During re-examination by the learned principal State Attorney Boniface PW-4 avers that he used his mobile phone to call the 1st accused Jerry Muro and the later was responding. PW-5 Inspector Antony s/o Mwita, adult, male, sworn and state that he is working as investigator with zonal crime office and his duties is to investigates all cases assigned to him. PW-5 further avers that he remember on 2nd day of February 2010 he went at Sea Cliff and met the IT-Manager (information Technology Manager and he manage to identifies the captured CCTV pictures to be that of Jerry Muro and others. PW5 further avers he also got a receipt of buying handcuffs the said receipt was tendered and admitted as exhibit “P-4” from Mzinga Corporation Upanga Shop. PW-5 further avers that he went at Mzinga Corporation for confirmation if the 1st accused person bought the handcuffs from their shop and he was told that it was true the 1st accused person bought the handcuffs from their shop. As PW-5 cross examined by the counsel for the 1st accused person, Mr. Rweyongeza, PW-5 told the court that he went at Sea Cliff twice, the first time they went to confirm if the 1st accused person went at Sea – Cliff and for the second time they went to collect some information which they wanted. PW-6 SSP Duan Nyanda Dila, 49 years old RCO Ilala sworn and state he was assigned a work to search the motor vehicle of the 1st accused person Jerry Muro, the search was conducted, at the motor vehicle make Toyota Cresta with Registration number T. 545 BEH. PW-6 further avers that the search was conducted in presence of the 1st accused person and other persons, then one pair of spectacles and one handcuffs were found, the soul spectacles was tendered and admitted as exhibit “P-6”, the handcuffs was also tendered and admitted as exhibit “P-7”. As PW-6 cross examined by the counsel for the 1st accused person the learned counsel Rweyongeza PW-6 told the court that, the spectacles was found at a dashboard, and PW-3 Michael Wage identified the said spectacles to be his property. PW-7 F3848 Dcpl Lugano, male, adult, sworn and state he is working with Tanzania Police Force at special Zone Dar es Salaam as an investigator. PW-7 further avers that he remember on 31st day of January 2010 he was assigned a work to inspect in the Motor vehicle of the 1st accused person he did the work to assist RCO (pw-6) and in the cause of inspection they found handcuffs, and one pair of spectacle. PW-7 further avers that the 1st accused person submitted to him a firearm make pistol with 10 rounds ammunitions the said pistol and ten rounds ammunition were tendered and collectively admitted as exhibit “P-7”. This became the end of the prosecution case upon this honourable court finds that all accused persons have a case to answer, under section 231 of Cap. 20 R.E 2002 all accused persons were explained their right to enter a defence. DW-I Jerry s/o Muro, 30 years old resident of Kunduchi, a journalist led by the counsel Rweyongeza sworn and state, he is a senior journalist who was working with TBC until he was charged with these offences. DW-I further told the court that under Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) he was a supervisor and reporter of night news famous known as “Usiku wa Habari”. DW-I also avers that by reporting and revealing crimes he was promoted and awarded to be a best journalist on matters relating to Health, HIV, Good government and Corruption. In his defence DW-I told the court that he started the work of journalism since he was form three at Loyola Secondary School and thereafter he undertook various training from different places such as British Embassy, South Africa, U.S.A and Sweden. DW-I went further and avers that before he was employed at TBC he had already worked with Radio Tanzania DSM, ATN and ITV and his daily activities was to collect news and reported the same to the media and that he remember to have reported news with picture showing how police officers were receiving bribes from the Motor Vehicle drivers at various place includes DAR ES SALAAM, COAST, MOROGORO, IRINGA and MBEYA from there he received some threats SMS from unknown persons for what he did, and other SMS were just to congratulating him for a good job. DW-I also told the court that he was not forced by anyone to reveal corruption at public service but he started to meet challenge at his work when he was assaulted by a persons who told him that was just a beginning and that he will see what next,DW-1 then he reported that incidence to his Boss Joyce Mhavile and later to police post but no one was arrested. In his defence DW-I also avers that he remember there was people went to his house with firearms they asked him and took his computer and identity card, he reported that event at Osterbay Police Post but the said criminals were not found from there he was advised to process a license for possessing a firearm he went at “Duka la Mzinga” and buy a pistol and handcuffs, he was given a receipt. DW-I went further and avers that he was doing his job at Njombe District, a certain Motor vehicle make Mitsubish Pajero blocked him as if there was people wanted to assault him he fire at the air they ran away and he reported that event to the office of OCD – Njombe where he was told why he don’t find some money instead of finding people. DW-I went further and state that he remember to have been at Sea Cliff but not at the alleged date, and the picture tendered as exhibit are not his picture, and that the said are not clear to the extent one cannot identifies the face of those persons. DW-I further told the court that he is still facing problems after this case as he was stopped from working with TBC until this case comes to an end and that he could not get his money US 4000/= being awards price for the reason of this case after being awarded and declared as a best journalist of the year. DW-I went further and aver that he prays this honorable court to consider this case as a cooked one aimed to ruin him. As DW-I cross examined by the counsel for the 2nd and 3rd accused person, Mr. Magafu, DW-I told the court that he don’t know the 2nd and 3rd accused person and he never seen them before this case commenced. As DW-I cross examined by Principal State Attorney Mr. Boniface DW-I told the court that, he remember he was arrested at city Garden on 31/1/2010 and he never met with Michael Wage PW-3, until he saw him at City Garden. Upon further cross examination DW-I told the court he knows at police force there are good officers and the ones who are unethical and that he doesn’t know the 2nd and 3rd accused person. DW-2 Denis s/o Cosmas @ Msisi, 28 years old, resident of Ubungo Maziwa sworn and state he knows the 1st accused person since he was standard seven and that once the 1st accused person had an emergence he normally use him (DW-2) as his driver. DW-2 also told the court that he remember on 28.1.2010 the 1st accused person gave him a task to drive his motor vehicle and DW-2 was told by the 1st accused person that they are going to Habari Maelezo. DW-2 went further and avers from Habari Maelezo on the way to TBC the 1st accused person received a call and they turn to Sea Cliff at Sea Cliff he heard the 1st accused person saying that the person who called him to go there is not seen and the mobile phone number was not reachable, from there, they went back to TBC and later on they went to park the said motor vehicle at Ubungo Maziwa. Upon cross examined by the state attorney Mr. Boniface DW-2 averrs that he was born in 1982 he studied standard seven at Mabibo Primary School and that he knows Jerry Muro since he was at standard seven. DW-3 Edmund Sospiter @ Kapama , 53 years old, sworn and state he knows this case as a cooked case as he don’t know one Michael Wage and the later did not identifies him during identification parade. DW-3 further told the court that he did not commit any crime with co-accused persons and he saw the 1st accused person when they were charged together. DW-3 further avers that he knows the 3rd accused person Deogratius s/o Mgasa because he is having a shop at Wazo area but he never sat with him anywhere together with 1st accused person. As Dw-3 cross examined by the counsel for the 1st accused person Mr. Rweyongeza DW-3 to told the court that he don’t called Doctor and that is not his name, upon further cross examination DW-3 told the court that identification parade was conducted but no identification parade register was tendered, and that the name Jerry Muro he knows it through the media. As DW-3 cross examined by the principal state Attorney Mr. Boniface DW-3 told the court that he never went at Sea Cliff on 28/1/2010 and the statement tendered as an exhibit; are not the words from his mouth as he was forced to sign the written document presented to him. DW4 Deogratius s/o Mgasa, 34 years old, sworn and state that his name is Deogratius s/o Mgasa he don’t use the name Musa as per charge sheet and that he don’t know the 1st accused person and they never call each other through mobile phone. DW4 went further and avers that he never receive money from Michael Wage and that he saw the picture taken at Sea Cliff but he don’t know those picture because he didn’t went at Sea Cliff on 28/01/2010. DW4 further avers that even at identification parade Pw-3 did not identifies him and that his first caution statement was recorded on 1/2/2010 he denied the allegation and the second additional caution statement was taken on 2/2/2010 and last additional statement on 3/2/2011. Dw-4 went further and avers that he was told by a police officer by the name of Peter Jumamosi to signed the last caution statement after he was severely beaten to the extent that there after he was taken to Hospital for treatment, the discharged card was tendered and admitted as exhibit “D-I”. As DW-4 cross examined by the counsel for the 1st accused person, DW-4 told the court that he is not Muslim and that he don’t know the persons appears at the picture tendered as exhibit “P2” CCTV and that no person testified to the extent that he was seen receiving money from PW-3. As DW-4 cross examined by Principal State Attorney Mr. Boniface DW-4 told the court that, he don’t knows the persons appears at CCTV picture and that he was forced to sign the caution statement and that the 1st caution statement is the one he voluntarily gives his words and signed but the rest were not obtained from him voluntarily. That was all about the defence case, thereafter I have got an ample time to scrutinized careful the evidence on records, also I have read the written submission from both sides and the issue remain whether or not the charges against the accused persons has been proved beyond a reasonable doubt. To start with the first count of conspiracy c/s 32 of the prevention and combating of Corruption Act; 2007. As for the 1st count the issue is whether this offence has been proved against accused persons beyond reasonable doubt. The prosecution side relied on the evidence of PW3 Michael s/o Wage @ Karoli who said to have a meeting with the 1st accused person at Calfonia Restaurant by that time they were communicating by using their Mobile phone. The caution statement of the third 3, accused person were also tendered and admitted as exhibit “P-I”. The prosecution side also tendered CCTV – Picture as exhibit “p-2” just to show the court three people who according to prosecution side are the accused persons and PW-3, the picture captured by CCTV Camera at Sea Cliff. By starting with the evidence of PW3, he told the court that he was using his mobile phone to make communication with the 1st accused person and met at Calfonia Restaurant and Sea Cliff, PW-3 also in his statements he said on 31/01/2010 the 1st accused person wrote him a text (SMS) and I quote “VIPI MBONA HAUPATIKANI, in my view the print out of this SMS-Message was sufficient to establish communication between the 1st accused and the PW-3 Mr. Michael Wage @ Karoli, for a conspiracy to be proved here in our case communication between the accused persons themselves or with the complainant now PW-3 is inevitable, in my view I think something is missing here and this is nothing but a proof of communication between the accused persons themselves or from the mobile phone of the PW-3 and any of the accused persons. PW-3 told the court that his driver took him at Sea Cliff they were sitting at one table but when the 1st accused person arrived he shifted to where the 1st accused person’s was and left his drive alone, under this circumstances to establish whether there was a mutual plan or meeting, then the driver of PW-3 had a role to play as he saw his boss shifting from the table which they were sitting together and joined the 1st accused person in another table but PW-3’s driver was not called as a witness to clear the doubt. A part from the missing communication as I said earlier, the prosecution did not produced any evidence to show whether identification parade was conducted and PW3 indeed identifies the persons he met at Sea Cliff and sit at one table for discussion as the one brought during identification parade. As regard to the caution statement of the 3rd accused person, with the evidence on records nothing suggest that the accused persons are well known to each other also I have got an ample time to read the caution statement of the 3rd accused person, and find the following uncertain circumstances. The first caution statement was taken on 1/02/2010 the 3rd accused person was asked if on 29/01/2010 he was together with the 1st and 2nd accused person his answers was no. Additional caution statement was taken on 02/02/2010 and the last additional caution statement on 3/02/2010, the purported confession is seen at the additional caution statement, Also we have seen CCTV picture tendered as exhibit “P-2”, the picture are print out according to the prosecution it is a picture which shows the image of 1st, 2nd accused persons and PW-3, captured by a stationary CCTV – Camera at Sea Cliff Hotel on 29/1/2010. I have carefully look at the picture I find that the said picture is faint, it is not a clear picture at all there are image of three persons their faces are not clearly seen. I believe this could have been cured only by displaying the said CD which was given to the police officers by using TV Screen and DVD as one of prosecution side already told the court that the police officers were given such CD for further identification and clarification of the said image. For the reason unknown the said CD which was given to the police officers from central police station was not played by using Tv screen to enable this Honorable court to have a clear images of the said persons whose image were captured by CCTV-CAMERA. With all this doubt as regards to the offence of conspiracy I find that in absence of any other independent evidence, it is not only insufficient but also is not safe to rely only on the caution statement of 3rd accused person in convicting the accused persons for this count offence. For the reasons aforesaid I hereby acquit accused persons for the first count of conspiracy c/s 32 of the prevention and combating of corruption Act, 2007 for the reasons that this offence is not proved beyond reasonable doubt as I have said herein above. Coming to the second count of corrupt transaction c/s 15(1)(a) of the preventing and combating of corruption Act, 2007. As for this offence the prosecution side through PW-3 and exhibit “P-3” the latter being the statement of PW-3 who told the court that the accused person being an employee of TBC and the 2nd and 3rd accused person did introduced themselves as employees of PCCB had a jointly brief conversation at Sea Cliff over the issue of embezzlement of Public Fund at Bagamoyo District Council, their discussion was that PW-3 had to pay the accused persons Tsh. 10,000,000/= so as to forebear from broad casting news relating to allegation against PW3 and cash money Tsh 1,000,000/= was paid and received by the 2nd accused person as an advance payments because PW-3 had no all the sum at per. With the evidence on record PW-3 said he gave the accused persons Tsh 1,000,000/= and promised to pay the remaining sum on the following day. There is no any other piece of evidence on records apart from the complainant shows that the accused person were seen receiving Tsh 1,000,000/= as a part payment of the agreed sum , if at all there was circumstances suggesting that the accused persons solicited PW-3 to give them bribe money, then a proof of communication was necessary on the side of prosecution, eye witness or any other independent evidence shows to that effect or that the accused persons and PW-3 were all found together, like I said earlier PW-3 told the court that he was communicating with the 1st accused person over the same issue but prosecution side did not see the need of finding those communication text or print out for that matter so as to assist this honorable court in determine whether there was communication between the suspects and the complainant just to show it is not the only words of complainant but there is such an independent evidence. The CCTV Picture like I said earlier is not clear and does not shows whether those persons whose image were captured by CCTV – Camera are in any manner the people who were in a conversation or the people who were together. Perhaps there was a need of a planned trap from prosecution evidence in a manner well known and well conducted by having a trap money which had to be supported by the evidence shows that the accused persons had such an intention shows that they were about to receive those trap money. In our case the evidence on records shows that this offence occurred at Sea Cliff but the 2nd and 3rd accused persons were arrested at different time and places while 1st accused person was arrested inside his car while driving at the said area I don’t understand why the arresting officer were in such hurry as they did not even gave a chance for the 1st accused person and PW-3 to greet each other at least to create environment suggesting that the two were well known to each other before and watch what would have been follow before they rush to arrest the 1st accused person who by then was still inside his car. It was also established on the evidence on records that this offence committed at Sea Cliff but non among PW-1, PW-2, PW-4, PW-5 , PW-6 and PW-7 testified to have seen the 2nd and 3rd accused person at Sea Cliff Hotel, save for PW-3 whose evidence I find insufficient and does not in any way corroborated by any other independent evidence. PW-3 told the court that the 1st accused person had a pistol and handcuff which the 1st accused used to threat PW-3 on 29/1/2010 but he did not report that incidence neither on the same date nor on the following date until on 31/1/2010 when he reported that incidence at central police, despite the fact that there is a proof that 1st accused person is legally possessing a pistol and handcuffs which he bought from Mzinga Corporation one cannot easily believe that PW-3 who is an educated person Accountant of Bagamoyo District Council could simply be under arrest of a journalist the 1st accused person and keep quite without reporting to state organ at a right time. Under all these circumstances and the reasons aforesaid I am of the settled view that this count of corrupt transaction c/s 15(1)(a) of the prevention and combating of Corruption Act, 2007 has not been proved beyond reasonable doubt against all accused persons and for that matter I hereby acquit them all for the offence charged. As for the last count of personating as public officers c/s 100(b) and 35 of the Penal Code Cap. 16 R:E 2002, the prosecution side relied on the evidence of PW-3 and the statement tendered as exhibit “P-3”, PW-3 told the court that the 2nd accused person introduced to him as the Deputy Director General of PCCB by the name of Doctor and the 3rd accused person introduced himself as assistant of the Deputy Director General of PCCB by the name of Musa. PW-3, according to his testimony and his statement the persons introduced to him were Doctor and Musa in defence hearing the 2nd and 3rd accused person denied those names, perhaps one may asked himself or herself if the educated person like PW-3 who is an accountant by profession can accept a person introduced to him by a single name of Doctor to be Deputy Director General PCCB and still believe that man to the extent of complying with his orders. I think PW-3 had a duty to ask for identity card of the 2nd and 3rd accused persons before he trusted them. With the evidence on records prosecution side did not produce any evidence to show if the identification parade was conducted and if PW-3 identifies the persons he named Doctor and Musa as the 2nd and 3rd accused persons, no even other independent evidence that the names Doctor and Musa are the nick names of the 2nd and 3rd accused persons. The exhibit “P-I” being the additional statement of the 3rd accused shows that the 2nd and 3rd accused person did introduced themselves to the PW-3 as an employees of TBC to mean they work together with the 1st accused person while on other hand the statement of PW-3 tendered as exhibit “P-3“shows that the 2nd and 3rd accused person did introduced themselves to “PW3” as an employees of PCCB. Exhibit “P-1” being the additional statement of the 3rd accused person and “P-3” which is the statement of PW-3 are not talking of the same story while exhibit “P-1” shows that the 2nd and 3rd accused person were introduced themselves as an employees from TBC to mean that the 2nd accused person being the boss of the 1st accused person, the 3rd accused person was just a driver of the second accused person that means they were all TBC employees. Exhibit “P-3” shows that the 2nd and 3rd accused persons introduced to PW-3 as PCCB employees. This circumstance make a puzzle as to which is which all were exhibits tendered by prosecution side but are just telling the different stories apart from the evidence of PW-3 nothing was tendered as exhibits to support this evidence like identity cards,any documents or any other independent evidence apart from that of PW-3. Under this circumstance I am satisfied that the evidence on records leaves doubts and it is not sufficient and safe to rely on it to convict the 2nd and 3rd accused persons for the offence of personating as public officer c/s 100(b) and 35 of the penal code Cap. 16 R:E 2002 this being the position I hereby acquit them for the offence charged. I have carefully scrutinized the evidence on records, I find that there is a lot of inconstancies and contradiction of the evidence from the prosecution side, like I said earlier I also find that the prosecution has failed to prove their case beyond reasonable doubt for all three counts, therefore all accused person are hereby acquitted accordingly unless they are otherwise legally held. Sgd. Hon. F. L.Moshi – RM 30/11/2011 Delivered in open court this 30th day of November 2011 in presence of the learned Principal State Attorney Bonifance, Mr. Kamala for 1st accused person and Mr. Magafu for the 2nd and 3rd Accused person. Sgd. Hon. F.L. Moshi – RM 30/11/2011 Order: I have taken into consideration that the properties of the 1st accused person which were tendered as exhibit “P-4”, P-6” and “P-7” being receipts for buying handcuff, spectacles handcuffs and a firearm make pistol being the properties legally possessed by the 1st accused person the same should be restored to the custody of the first accused person immediately. It is so ordered. Sgd. Hon. F.L. Moshi – RM 30/11/2011 Right of appeal is fully explained to the aggrieved party. Hon. F.L. Moshi – RM 30/11/2011 Chanzo:www.katabazihappy.blogspot.com

ALIYEMJERUHI DK.ULIMBOKA KORTINI

Na Happiness Katabazi MTU mmoja ambaye ni raia wa Kenya,Joshua Mulundi(21) jana alasiri alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkaiz Kisutu Dar es Salaam, akikabiliwa na makosa ya kumteka na kutaka kumuua Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari, Dk.Steven Ulimboka. Wakili wa serikali Ladslaus Komanya mbele ya Hakimu Agnes Mchome, alidai kuwa Mulundi ambaye makazi yake Murang'a nchini Kenya anadaiwa kuwa Juni 26 mwaka huu, akiwa eneo la Leaders Club alimteka Dk. Ulimboka. Komanya alidai shitaka la pili ni kuwa Juni 26 mwaka huu, akiwa katika eneo la Msitu wa Mwabepande Tegeta, Dar es Salaam kinyume na sheria mshitakiwa huyo alijaribu kumsababishia kifo Dk. Ulimboka. Hakimu Mchome alisema mshtakiwa hatakiwi kujibu chochote kwa sababu mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza shauri hilo, kwani Mahakama Kuu ndiyo yenye mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo. Baada ya kusomewa mashtaka hayo Mulundi alidai kuwa kosa aliloshtakiwa nayo siyo sahihi. Hata hivyo Hakimu Mchome alimwambia kuwa shauri hilo linasikilizwa Mahakama Kuu na siyo mahakamani hapo. Kesi imehairishwa hadi Agosti 5 mwaka huu itakapokuja kwaajili ya kutajwa na mshitakiwa amerejeshwa rumande. Juni 27 mwaka huu, Dk.Ulimboka alionkitwa na msamalia mwema akiwa mtu katika msitu huo wa Mwabepande akiwa amejeruhiwa vibaya na kisha akafikishwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akiwa na maumivu makali na kuanza kutibiwa lakini hata hivyo siku chache baadaye madaktari waliokuwa wakimtibu walisema wameshindwa kumtibia katika hospitali hiyo kwa sababu hakuna vifaa, hivyo wakamsafirisha kwenye nchini afrika Kusini ambako hadi sasa anaendelea na matibabu. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Julai 14 mwaka 2012.

KESI YA KUPINGA NDOA YA DK.SLAA YAANZA KUNOGA

Na Happiness Katabazi MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam,imemtaka Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Dk.Willbrod Slaa na mchumba wake Josephine Mushumbusi ambao ni wadaiwa katika kesi ya kupinga wasifunge ndoa Julai 21 , wawasilishe utetezi wao kwa njia ya maandishi Julai 30 mwaka huu. Hivi karibuni mke wa Dk.Slaa, Rose Kamili nee Sukum anayetetewa na wakili wa kujitegemea Joseph Thadayo alifungua kesi hiyo ya madai ya ndoa Na.4/2012 dhidi ya wadaiwa hao akiomba mahakama hiyo itoe amri ya kuzuia wadaiwa hao wasifunge ndoa inayokusudiwa kufungwa Julai 21 mwaka hu,kwasababu yeye bado ni mke halali wa Dk.Slaa na jana kesi hiyo ilikuja kwaajili ya kutajwa. Amri hiyo ilitolewa jana na Jaji Laurance Kaduri ambapo alisema kesi hiyo jana ilikuja kwaajili ya kutajwa na kwamba anawataka wadaiwa wawasilishe utetezi wao kwa njia ya maandishi Julai 30 na mlalamikaji awasilishe hoja zake kama inaona inafaa Agosti 7 na kwamba Agosti 14 mwaka huu, kesi hiyo itakuja kwaajili ya kuanza kusikilizwa.Hata hivyo mlalamikaji wala waidaiwa ambao wanatetewa na wakili wa kujitegemea Mutakyamilwa Philemoni hawakuwepo mahakamani. Kwa mujibu wa hati ya madai ya kesi hiyo ya masuala ya ndoa,. Rose anaiomba mahakama isikubali shauri hilo lipelekwe kwenye Bodi ya Maridhiano ya Masuala ya Ndoa ya kwaajili ya kupatanishwa. Dai la pili, Rose anaiomba mahakama itanganze yeye na Dk.Slaa bado ni wanandoa. Dai la tatu anaiomba mahakama itamke kuwa ndoa baina yake na Dk.Slaa bado halali kisheria na kwamba ndoa nyingine itakayofungwa kinyume na sasa ndoa hiyo itakuwa ni batili. Katika dai lake nne, mlalamikaji ambaye ni Mbunge wa Viti Maalum(Chadema) huyo anadai mdaiwa wa pili(Josephine) alimshawishi mumewe(Dk.Slaa) kuivuruga ndoa yake na mumewe ambaye ni mdaiwa wa kwanza. “Pia nia ya wadaiwa hao wawili ya kutaka kufunga waliyopanga ifungwe Julai 21 mwaka huu katika eneo lolote lile,ndoa hiyo ihesabike kuwa ni batili. Aidha anaiomba mahakama iwaamuru wadaiwa wamlipe fidia ya shilingi 50,000,000 kama gharama za matunzo ya watoto watoto wawili ambao Emiliana Slaa na Linus Slaa aliyezaliwa mwaka 1987 na kwamba walianza kuishi pamoja na Dk.Slaa kama mume na mke, ambao amekuwa akiwahudumia kwa tangu mwaka 2009 baada ya mume wake kumkimbia. Pia anaiomba mahakama imwamuru mdaiwa wa pili(Josephine) amlipe fidia ya shilingi 500,000,000 kwasababu alimsababishia usumbufu mkubwa na kumharibia ndoa yake na kuongeza kwa kuimba mahakama hiyo impatie nafuu nyingine ambazo itaona inafaa Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Ijumaa, Julai 13 mwaka 2012

NDOA YA DK.SLAA YAPINGWA KORTINI

Na Happiness Katabazi ALIYEKUWA mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Rose Kamili Slaa nee Sukum amefungua kesi ya madai kati ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, akiomba mahakama hiyo imzuie mumewe Dk.Willibrod Slaa asifunge ndoa na mchumba wake Josephine Mushumbusi. Kwa mujibu wa hati ya madai ya kesi hiyo ya masuala ya ndoa iliyopewa na Na.4/2012 ambayo gazeti hili inayo nakala yake ambayo tayari imepangwa kusikilizwa na Jaji Laurence Kaduri ilifunguliwa mahakamani hapo hivi karibuni na wakali wa mlalamikaji Joseph Thadayo dhidi ya Dk.Slaa na mchumba wa Dk.Slaa, Josephine Mushumbusi. Rose anaiomba mahakama isikubali shauri hilo lipelekwe kwenye Bodi ya Maridhiano ya Masuala ya Ndoa ya kwaajili ya kupatanishwa. Dai la pili, Rose anaiomba mahakama itanganze yeye na Dk.Slaa bado ni wanandoa.Dai la tatu anaiomba mahakama itamke kuwa ndoa baina yake na Dk.Slaa bado halali kisheria na kwamba ndoa nyingine itakayofungwa kinyume na sasa ndoa hiyo itakuwa ni batili. Katika dai lake nne, mlalamikaji ambaye ni Mbunge wa Viti Maalum(Chadema) huyo anadai mdaiwa wa pili(Josephine) alimshawishi mumewe(Dk.Slaa) kuivuruga ndoa yake na mumewe ambaye ni mdaiwa wa kwanza. “Pia nia ya wadaiwa hao wawili ya kutaka kufunga waliyopanga ifungwe Julai 21 mwaka huu katika eneo lolote lile,ndoa hiyo ihesabike kuwa ni batili. Aidha anaiomba mahakama iwaamuru wadaiwa wamlipe fidia ya shilingi 50,000,000 kama gharama za matunzo ya watoto watoto wawili ambao Emiliana Slaa na Linus Slaa aliyezaliwa mwaka 1987 na kwamba walianza kuishi pamoja na Dk.Slaa kama mume na mke, ambao amekuwa akiwahudumia kwa tangu mwaka 2009 baada ya mume wake kumkimbia. Pia anaiomba mahakama imwamuru mdaiwa wa pili(Josephine) amlipe fidia ya shilingi 500,000,000 kwasababu alimsababishia usumbufu mkubwa na kumharibia ndoa yake na kuongeza kwa kuimba mahakama hiyo impatie nafuu nyingine ambazo itaona inafaa. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Julai 12 mwaka 2012.

NDOA YA DK.SLAA,JOSEPHINE YAPINGWA KORTINI

Na Happiness Katabazi ALIYEKUWA mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Rose Kamili Slaa nee Sukum amefungua kesi ya madai kati ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, akiomba mahakama hiyo imzuie mumewe Dk.Willibrod Slaa asifunge ndoa na mchumba wake Josephine Mushumbusi. Kwa mujibu wa hati ya madai ya kesi hiyo ya masuala ya ndoa iliyopewa na Na.4/2012 ambayo gazeti hili inayo nakala yake ambayo tayari imepangwa kusikilizwa na Jaji Laurence Kaduri ilifunguliwa mahakamani hapo hivi karibuni na wakali wa mlalamikaji Joseph Thadayo dhidi ya Dk.Slaa na mchumba wa Dk.Slaa, Josephine Mushumbusi. Rose anaiomba mahakama isikubali shauri hilo lipelekwe kwenye Bodi ya Maridhiano ya Masuala ya Ndoa ya kwaajili ya kupatanishwa. Dai la pili, Rose anaiomba mahakama itanganze yeye na Dk.Slaa bado ni wanandoa.Dai la tatu anaiomba mahakama itamke kuwa ndoa baina yake na Dk.Slaa bado halali kisheria na kwamba ndoa nyingine itakayofungwa kinyume na sasa ndoa hiyo itakuwa ni batili. Katika dai lake nne, mlalamikaji ambaye ni Mbunge wa Viti Maalum(Chadema) huyo anadai mdaiwa wa pili(Josephine) alimshawishi mumewe(Dk.Slaa) kuivuruga ndoa yake na mumewe ambaye ni mdaiwa wa kwanza. “Pia nia ya wadaiwa hao wawili ya kutaka kufunga waliyopanga ifungwe Julai 21 mwaka huu katika eneo lolote lile,ndoa hiyo ihesabike kuwa ni batili. Aidha anaiomba mahakama iwaamuru wadaiwa wamlipe fidia ya shilingi 50,000,000 kama gharama za matunzo ya watoto watoto wawili ambao Emiliana Slaa na Linus Slaa aliyezaliwa mwaka 1987 na kwamba walianza kuishi pamoja na Dk.Slaa kama mume na mke, ambao amekuwa akiwahudumia kwa tangu mwaka 2009 baada ya mume wake kumkimbia. Pia anaiomba mahakama imwamuru mdaiwa wa pili(Josephine) amlipe fidia ya shilingi 500,000,000 kwasababu alimsababishia usumbufu mkubwa na kumharibia ndoa yake na kuongeza kwa kuimba mahakama hiyo impatie nafuu nyingine ambazo itaona inafaa. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Julai 12 mwaka 2012.

HUKUMU YA MAHALU YAWEKWA KIPORO

Na Happiness Katabazi MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, jana ilishindwa kutoa hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi na kuisababishia serikali hasara ya Euro milioni mbili, inayomkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu na Grace Martin kwasababu hakimu anayesikiliza kesi hiyo kuwa na majukumu mengi. Hakimu Mkazi Alocye Katemana alisema kesi hiyo ilikuja jana kwaajili ya kutolewa hukumu na Hakimu Mfawidhi Ilvin Mugeta lakini hakimu Mugeta amemweleza kuwa na majukumu mengine ya kimahakama hivyo hataweza kuisoma hukumu hiyo jana . Hakimu Katemana alisema kwa sababu hiyo Hakimu Mugeta amemweleza kuwa aiarishe kesi hiyo hadi Agosti 9 mwaka huu, itakapokuja kwaajili ya Hakimu Mugeta kusoma hukumu ya kesi hiyo. Januari 22 mwaka 2007 kesi hiyo ilifunguliwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza na Wakili wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Ben Lincoln, Ponsia Lukosi na Vicent Haule walidai kuwa washitakiwa hao wanakabiliwa na makosa sita ambayo ni kosa la kula njama, wizi wa Euro milioni mbili ,kugushi vocha za manunuzi ya jengo la Ubalozi wa Tanzania nchini Italia,kutumia risiti za manunuzi ya jengo hilo kuidanganya serikali na kuisababishia serikali hasara ya Euro milioni mbili. Ili kuithibisha kesi yao,upande wa Jamhuri ilileta jumla ya mashahidi saba na upande wa utetezi ulileta mashahidi wa tatu ambao ni Mahalu,Rais Mstaafu Benjamin Mkapa na Grace Martin. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi,Julai 12 mwaka 2012.

RAIS WA MADAKTARI AFIKISHWA MAHAKAMANI

Na Happiness Katabazi RAIS wa Chama cha Madaktari nchini(MALT), Dk.Namala Mkopi jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam,chini ya ulinzi mkali wa polisi akikabiliwa na makosa mawili likiwemo kosa la kudharau amri halali ya Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi. Wakili wa serikali Tumaini Kweka na Lasdiraus Komanya mbele ya Hakimu Mkazi Faisal Kahamba alidai kuwa mshitakiwa ambaye ni Daktari wa Hospitali ya Kijitonyama alidai anakabiliwa na makosa mawili. Wakili Kweka alidai kuwa shitaka la kwanza ni la kudharau amri ya mahakama kinyume na kifungu cha 124 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya mwaka 2002. Alidai kuwa kati ya Juni 26 na 28 mwaka huu,Dk.Mkopi akiwa ni Rais wa chama cha Madaktari alidharau amri halali ya Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi ya Juni 26 mwaka huu, ambayo ilimtaka mshitakiwa huyo kwenda kwenye vyombo vya habari kuwatangazia wanachama wa chama hicho wasitishe mgomo kwani mgomo ule waliokuwa wakitaka kuufanya ni batili kama ambayo mahakama hiyo ya Divisheni ya Kazi Juni 22 mwaka huu, ilitoa amri kama hiyo ya kuubatilisha mgomo huo, lakini mshitakiwa huyo hakufanya hivyo. Wakili Kweka alilitaja kosa la pili kuwa ni kuwashawishi madaktari wagome kinyume na kifungu 390 na 35 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya mwaka 2002, kuwa Juni 27 mwaka huu, mshitakiwa huyo akiwa rais wa chama hicho aliwashawishi madaktari wasitekeleze amri hiyo ya Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi ya Juni 22 mwaka huu,na matokeo yake madaktari hao wakagoma. Mshitakiwa alikana mashitaka hayo na Hakimu Kahamba alisema ili mshitakiwa apate dhamana ni lazima awe na wadhamini wawili wanaotambulika na serikali ambao watasaini bondi ya Shilingi laki tano kila mmoja. Hata hivyo Wakili wa serikali Kweka aliomba mahakama impatie dhamana mshitakiwa chini ya kifungu cha 148 (c)(6) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ya mwaka 2002, ambacho kinamtaka mshitakiwa ili apate dhamana ni lazima asalimishe hati ya kusafiria mahakama, asitoke nje ya mkoa bila ruhusa ya mahakama. Lakini Hakimu Kahamba alisema hicho kifungu hicho kilishabatilishwa na Mahakama Kuu na kwamba yeye atatoa masharti ya dhamana kwa kutumia kifungu cha 148(c) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai , kwani kifungu hicho kinaipa mamlaka ya kutoa masharti ya dhamana kwa mshitakiwa kadri inavyoona inafaa na baada ya kusema hayo aliarisha kesi hiyo kwa dakika kumi na mshitakiwa huyo akapelekwa kuifadhiwa katika mahabusu ya mahakamani hapo. Ilipofika saa 6:50 mchana mshitakiwa huyo aliletwa ndani ya chumba cha mahakama na hakimu Kahamba akasema maneno yafuatayo; “ Hatuko hapa kwaajili ya kukomoana,tupo hapa kwaajili ya kutenda haki hivyo nampatia mshitakiwa dhamana kwa kutumia kifungu cha 148(c) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, na ambaye anaona hajalidhika na uamuzi wake aende mahakama ya juu akakate rufaa”alisema Hakimu Kahamba. Mshitakiwa huyo alitimiza masharti hayo ya dhamana na Hakimu huyo aliairisha kesi hiyo Agosti 6 mwaka huu, itakapokuja kwaajili ya kutajwa. Jana eneo la mahakama hiyo lilikuwa limefurika madaktari wenzake na ndugu na jamaa wa Dk.Mkopi waliofikisha kumwona mshitakiwa huyo ambaye aliletewa na askari polisi chini ya ulinzi mkali. Itakumbukwa kuwa wiki iliyopita baadhi ya madaktari waligoma kufanyakazi kwa madai ya kuwa wanafanyakazi katika mazingira magumu na kwamba wanaomba masulufi yao yaongezwe. Wakati huo huo Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imetoa taarifa kwa madaktari walio kwenye mafunzo kwa vitendo(Interns) imesema imepokea malalamiko kuwa kati ya tarehe 23 juni, 2012 hadi tarehe 29 juni, 2012, Madaktari walio katika mafunzo kwa vitendo 372 kati ya 763 katika hospitali mbalimbali nchini, waligoma kutoa huduma kwa wagonjwa ikiwa ni wajibu wao kama madaktari. Kwa mujibu wa taarifa ya wizara hiyo kwa vyombo vya habari ambayo imesainiwana Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Regina Kikuli Kitendo hicho sio tu kilihatarisha usalama wa wagonjwa waliohitaji huduma za matibabu katika hospitali hizo, bali kilikuwa ni ukiukwaji wa maadili ya taaluma. Kikuli alisema madaktari hao waliogoma walirejeshwa Wizarani kwa barua kutoka kwenye mamlaka za hospitali walikokuwa wakifanyia mafunzo kwa vitendo. Alisema kwa kuwa Wizara ndio yenye dhamana ya usimamizi wa huduma za afya nchini, na kwa kuwa madaktari hao wamesajiliwa na Baraza la Madaktari Tanganyika, hivyo Wizara imewasilisha malalamiko haya huko ili Baraza liwachunguze na kuamua hatma yao kitaaluma. “Hivi sasa madaktari hao hawako maeneo yao ya kazi, na suala hili limepelekwa Baraza la Madaktari kwa uchunguzi kuhusu kitendo walichokifanya, hivyo Wizara inasitisha posho zao kuanzia Tarehe 1 Julai, 2012 hadi hapo itakapopata taarifa ya uchunguzi wa Baraza la Madaktari…madaktari wengine waliogoma, taratibu za kiutumishi zitachukuliwa na mamlaka ya ajira zao kwa mujibu wa sheria na taratibu husika”alisema Kikuli. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Julai 11 mwaka 2012.

HUKUMU YA BALOZI MAHALU LEO

Na Happiness Katabazi HAKIMU Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, Ilvin Mugeta leo anatarajia kuketi kwenye kiti cha enzi na kutoa hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi Na.1/2007 inayomkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia,Profesa Costa Mahalu na aliyekuwa Meneja Utawala na Fedha wa ubalozi huo, Grace Martin. Hukumu hiyo ambayo inasubuliwa kwa shauku kubwa na watu wa kada mbalimbali wakiwemo wasomi wa sheria ,waadhili wa vyuo vikuu,na wanadiplomasia mbalimbali , inatokana na amri iliyotolewa na Hakimu Mugeta Juni 16 mwaka huu, ambapo alizitaka pande mbili katika kesi hiyo Juni 11 mwaka huu, kuwasilisha kwa maandishi maombi yao kuwana washitakiwa wana hatia au la na pande zote zilitekeleza amri hiyo na akaipanga tarehe ya leo kuwa ndiyo siku atakayotoa hukumu ya kesi hiyo ambayo imedumu mahakamani hapo kwa miaka saba sasa ambapo ilifunguliwa kwa mara ya kwanza mahakamani hapo Januari 22 mwaka 2007. Awali Wakili wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Ben Lincoln, Ponsia Lukosi na Vicent Haule walidai kuwa washitakiwa hao wanakabiliwa na makosa sita ambayo ni kosa la kula njama, wizi wa Euro milioni mbili ,kugushi vocha za manunuzi ya jengo la Ubalozi wa Tanzania nchini Italia,kutumia risiti za manunuzi ya jengo hilo kuidanganya serikali na kuisababishia serikali hasara ya Euro milioni mbili. Ili kuithibisha kesi yao,upande wa Jamhuri ilileta jumla ya mashahidi saba ambao ni aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi wa serikali ya awamu ya tatu,Martin Lumbanga, Stewart Migwano,Marco Papi,Kaptaini Abubakari Ibrahim,Mkongoti,Kyando toka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa na nyaraka mbalimbali. Wakati upande wa utetezi nao ulileta mashahidi wa tatu ambao ni Balozi Mahalu, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa na Grace Martin ambao wanatetewa na mawakili wa kujitegemea Mabere Marando, Alex Mgongolwa, Beatus Malima na Cuthbet Tenga na kuwasilisha nyaraka mbalimbali za serikali. Mei 8 mwaka huu, upande wa utetezi ulifunga ushahidi wake baada ya Grace kumaliza kujitetea. Mei 7 mwaka huu,Mahalu ambaye pia ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu kipya cha Bagamoyo alimaliza kujitetea na siku hiyo ndiyo Rais Mkapa aliandika historia mpya nchini kwa upande wa marais ambapo alifika mahakamani hapo na kutoa ushahidi wake katika kesi hiyo. Julai 16 mwaka 2009, Jaji Sivangilwa Mwangesi ambaye ndiye alikuwa akiisilikiza kesi hiyo tangu ilipofunguliwa mwaka 2007 alitoa uamuzi wake ambapo aliwaona washitakiwa hao wana kesi ya kujibu. Machi 25 mwaka 2011,washitakiwa hao kupitiwa wakili wao Mabere Marando waliwasilisha ombi la kumwomba Jaji Mwangesi ajitoe kusikiliza kesi hiyo kwasababu hawana imani naye kwasababu amekuwa akikiuka wazi wazi sheria kwa malengo anayoyajua yeye. Machi 28 mwaka 2011, Jaji Mwangesi alitangaza kujitoa kusikiliza kesi hiyo na saa chache baadaye ya siku hiyo Hakimu Mugeta aliingia mahakamani hapo akiwa na jalada la kesi hiyo na kusema yeye ndiyo atakayeendelea kusikiliza kesi hiyo. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Julai 11 mwaka 2012.

FAHAMU FAIDA,CHANGAMOTO ZINAZOKABILI BALOZI ZETU UGENINI

Na Happiness Katabazi,aliyekuwa Brazil UBALOZI wa uwakilishi wa Umoja wa Mataifa New York, Marekani; Tanzania ni miongoni mwa ofisi za balozi kongwe za Afrika na imeweza kuiletea sifa na mafanikio makubwa nchi yetu ikiwemo kuitangaza Tanzania katika jumuiya ya kimataifa. Mwandishi wa makala hii ambaye alikuwa nchini Brazil kuhudhuria mkutano wa Rio+20 uliofanyika Juni 20-22 mwaka huu katika Jiji la Rio de Janeiro ambao zaidi ya wakuu wa nchi 140 wameudhuria mkutano ambao ulifunguliwa na Rais wa Brazil, Dilima Roussef na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon na kwa upande wa Tanzania iliwakilishwa na Makamu wa Rais Dk. Mohamed Garib Bilal. Wengine ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia masuala ya mazingira, Dk. Tereza Huvisa, aliye ongozana na Mshauri Mwandamizi wa Rais Jakaya Kikwete wa masuala ya diplomasia, Balozi Liberata Mulamula, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais anayeshughulikia Mazingira Serikali ya Mapinduzi Zanzibar , Fatma Abdulhabib Fereji na Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Nje, Mahadhi Juma Maalim na maofisa wengine waandamizi wa serikali. Aliweza kufanya mahojiano ya ana kwa ana yaliyofanyika katika ofisi za Kituo cha Rio(Rio Centro) ambapo Tanzania ina ofisi zake hapo na Kaimu Balozi wa Uwakilishi wa Tanzania umoja wa Mataifa, New York, Dk. Justin Seruhere na Ofisa wa Mambo ya Nje, Mkuu wa ubalozi huo, Modesti Mero ambapo kwa upande wa Dk. Seruhere amelezea changamoto mbalimbali zinazoikabili ofisi hiyo ya ubalozi na faida ambayo nchi inapata kutokana na Tanzania kuwa na ofisi za ubalozi mjini Newyork na kuelezea muundo wa utendaji kazi wa ofisi hiyo. Kwa upande wa Mero yeye ameelezea jinsi ofisi ya Ubalozi wa Uwakilishi wa Umoja wa Mataifa New York, ilivyoshikiri kikamilifu na Ofisi ya Makamu wa Rais kuandaa ushiriki wa Tanzania katika mkutano wa Rio +20. Yafuatayo ni mahojiano baina ya mwandishi wa makala hii na Kaimu Balozi Dk. Seruhere ambaye pia ni Mwanadiplomasia Mkuu. Swali:Tueleze shughuli zinazofanywa na ofisi ya Ubalozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, New York, Marekani? Jibu: Ofisi hiyo inafanya shughuli za kuiwakilisha Tanzania katika Umoja wa Mataifa. Uwakilishi huu tunaufanya kwa kutangaza jina la Tanzania katika UN. Shughuli zote zinapofanyika Tanzania na taasisi zake na sekta binafsi kwa Umoja wa Mataifa na kwa taasisi na makampuni ya kigeni yanayokuja kuwekeza nchini kwetu. Napenda ieleweke wazi kuwa shughuli za Umoja wa Mataifa zinafanyika katika kamati sita. Kamati ya kwanza inashugulikia na masuala ya upokonyaji wa silaha ili kusaidia Umoja wa Mataifa kusimamia amani , usalama duniani. Kamati ya pili ni ile inayoshughulikia masuala ya ushirikiano wa kimataifa na fedha na uchumi. Kamati ya tatu inashughulika na haki za binadamu na masuala mtambuka. Kamati ya nne ni kamati inayokomesha ukoloni duniani. Kwa hivi sasa tuna nchi 16 hazijajitawala na nchi moja wapo ambayo haijajitawala barani Afrika ni Sahara Magharibi. Kamati ya tano ni utawala na bajeti na kamati ya sita ni ile inayoshughulika na masuala ya sheria na mipaka ya bahari. Katika katika kila kamati hizo ina afisa anayeshughulikia kamati yake kila siku. Swali: Ofisi yenu ya ubalozi New York inakabiliwa na changamoto zipi? Jibu: Ofisi inakabiliwa na changamoto ya uhaba wa rasilimali watu na ufinyu wa bajeti wa kuendeshea shughuli za ofisi hiyo. Ila tunachukua hatua za kukabiliana na changamoto hizo mbili kwa kununua jengo la ubalozi wetu New york kwani Oktoba mwaka jana serikali ilinunua jengo la ubalozi kwa thamani ya dola za Marekani milioni 24.5 lenye urefu wa ghorofa sita ambalo lipo Mtaa wa 53 Na. 307E, ambalo ghorofa mbili zitatumika kama ofisi za ubalozi huo na ghorofa zitakazokuwa zimesalia zitatumika kama kitega uchumi kwa ajili ya kupangisha wapangaji. Hata hivyo Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa chini ya Waziri Bernard Membe inachukua hatua ya kukarabati hizo ghorofa mbili, ili ofisi za ubalozi wetu ziweze kuhamia katika ghorofa hizo mbili na ukarabati wa ghorofa hizo unatarajiwa kukamilika ndani ya mwaka mmoja baada ya mkandarasi kupewa kazi. Swali: Ni msaada gani ubalozi unaiomba Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa uwasaidie? Jibu: Ofisi yetu inaiomba wizara hiyo ituongezee rasilimali watu, ili waweze kuja kutuongezea nguvu katika kazi mbalimbali kwa sababu uwakilishi wa Tanzania unaushawishi mkubwa UN kuliko baadhi ya nchi nyingi na mashirika ya UN yanapenda kushirikisha ya Tanzania katika kupata maoni na miongozo kuhusu masuala mbalimbali ya kimataifa katika nyanja ya siasa, uchumi, amani na usalama. Swali: Tanzania inafaidika vipi kwa kuwa na ofisi ya Ubalozi wa Ushiriki pale New York? Jibu: Faida ya kwanza ni kuisaidia UN kutekeleza majukumu yake likiwemo jukumu la kusaidia Umoja wa Mataifa kutekeleza jukumu lake na kuwasimamia amani,usalama na maendeleo duniani kwa mujibu wa Katiba ya UN ya mwaka 1945. Faida ya pili ni kutoa ushawishi kwa nchi zilizoendelea na nchi za Kiafrika. Faida ya tatu, ni kuendeleza diplomasia ya kiuchumi kwa kushawishi wawekezaji na watalii kuja Tanzania kuwekeza na watalii wa nje kuja ndani kuleta mapato. Faida ya nne ni kusimamia uendelezaji wa sera ya Tanzania ya uhusiano wa kimataifa. Swali: Unauzungumziaje mchango wa ubalozi wetu mjini New York kimataifa? Jibu: Ubalozi wa New York umeweka ushawishi mkubwa duniani toka tumepata uhuru . Kwa hiyo kila ofisa wetu anayekuja kufanyakazi hapa anatakiwa adumishe heshima hiyo. Kwa sababu Tanzania imeongoza kushawishi jumuiya za kimataifa katika masuala ya maendeleo na masuala ya amani duniani na pia imeshiriki kikamilifu kuziletea uhuru baadhi ya nchi za Afrika ikiwemo Msumbiji, Zimbambwe na nyingine nyingi. Serikali inaendelea kuhakikisha kituo cha New York kinadumisha heshima hiyo. Kwa upande wake Ofisa Mambo ya Nje Mkuu Ubalozi Uwakilishi New York Tanzania, Modest Mero, ambaye anazungumzia kuhusu ni jinsi gani ofisi ya ubalozi ilivyoshirikiana kwa ukaribu na Ofisi ya Makamu wa Rais, katika ushiriki wa nchi katika mkutano wa Rio+20 uliomalizika Ijumaa iliyopita nchini Brazil. Mero ambaye pia ni mshiriki katika mkutano wa Rio +20 kwa upande wa Tanzania anaizungumzia Ajenda ya 21 iliyoazimiwa na mkutano wa kwanza wa Rio uliofanyika mwaka 1992 ambapo ilimalizika kwa kutoa maazimio kadhaa likiwamo azimio la ajenda ya 21. Ajenda ya 21 ni mpango wa utekelezaji wa mpango wa mataifa kuhusu utekelezaji wa UN wa maendeleo endelevu na ulikuwa ni matokeo ya mkutano wa kwanza wa kimataifa kuhusu Mazingira na Maendeleo uliofanyika Rio de Janeiro mwaka 1992. Katika mkutano huu nchi 178 ziliafiki na kuamua kwamba yatokanayo ndiyo yalikuwa dira katika shughuli za mazingira na maendeleo. Baadaye, Mkutano wa Maendeleo Endelevu (World Summit of Sustainable Development). Mkutano huo ulifanyika kwa mara ya pili mwaka 2002 jijini Johannesburg mwaka 2002. Mkutano huo wa Johannesburg uliitishwa kujadili maendeleo endelevu baada ya mkutano wa kwanza wa Rio uliofanyika 1992. Matokeo ya mkutano wa Johannesburg ni kuanzisha mpango wa utekelezaji wa maamuzi ya mkutano wa Rio ujulikanao kama (Johannesburg Plan of Implementation). Lakini mwaka 2010, Umoja wa Mataifa uliamua kuitisha mkutano mwingine wa Rio kuhusu maendeleo endelevu ili kutathmini hatima ya dunia kutokana na mabadiliko makubwa ya kiuchumi, kijamii na mazingira, ili kuweza kuweka mpango wa muda mrefu wa maendeleo endelevu. Nchi ya Brazil ndiyo ikaiomba jumuiya ya UN mkutano wa Rio+20 ufanyike nchini kwakwe katika jiji la Rio de Janeiro na uitwe Rio+20, ambapo tafsiri yake ni mkutano uliofanyika baada ya mkutano wa kwanza kufanyika mwaka 1992. Kwa hiyo mkutano wa Rio+20 uliomalizika Juni 22 mwaka huu ni jina lililotokana na mkutano wa kwanza wa Rio. Swali: Maandalizi ya mkutano wa Rio+20 yalianza lini na malengo ya mkutano huo ni nini? Jibu: Maandalizi yalianza tangu mwaka 2010 na yakakamilika Juni 16 mwaka huu. Maandalizi hayo kwa ujumla wa nchi zote yalishirikisha nchi wanachama wa UN, NGO’S, wafanyabiashara, serikali za mitaa. Lengo zima ni kuzungumzia maendeleo endelevu yanayozingatia uondoshwaji wa umaskini na utunzaji wa mazingira. Tanzania katika mkutano huu ikiwakilishwa na Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, Matokeo ya mkutano wa Rio+20 yamekuwa ni makubaliano ya mataifa ya kuona nama bora ya kutunza mazingira, uchumi na jamii kwa kuzingatia uondoshaji wa umaskini. Kumekuwa na majadiliano ya masuala mbalimbali yakiwemo malengo ya ukamilishaji wa malengo ya Milenia, kilimo, makazi, mazingira, uchimbaji wa madini unaozingatia mazingira,uchumi ili kuhakikisha dunia isipoteze rasilimali za kimazingira zisiharibiwe.. Nchi zinazoendelea zimejikita zaidi katika kuongelea nishati, vyakula ,utalii, usafirishaji, makazi, afya endelevu na ukuaji wa jamii na masuala ya jamii na masuala ya bahari na uchumi wa kibluu ambao unazingatia namna bora ya matumizi sahihi ya uvunaji wa rasilimali sahihi na endelevu baharini. Swali: Matokeo ya mkutano wa Rio +20 nini ? Jibu: Ni muendelezo wa makubaliano ya mkutano wa kwanza wa Rio ili kuzingatia mazingira ya sasa ya kiuchumi, mazingira na kijamii kama ilivyokubalika katika ajenda Na. 21 ya mkutano wa kwanza wa Rio uliofanyika mwaka 1992. Matokeo haya ya Rio +20 yataisaidia serikali ya Tanzania kuongeza nguvu ya utekelezaji katika taasisi zake na vyombo vyake. Vile vile matokeo ya mkutano huo wa kihistoria ambao ulihudhuliwa na wakuu wa nchi zaidi 135 yatasaidia wafanyabiashara kutumia mbinu bora ya uzalishaji wa bidhaa, kilimo, madini na shughuli zote za kibiashara kwa kuzungatia utunzaji wa mazingira. 0716 774494 www.katabazihappy.blogspot.com Chanzo:Gazeti la Tanzaia Daima la Alhamisi, Julai 5 mwaka 2012.

UNFPA YAWAFUNDA WANAHABARI

Na Happiness Katabazi SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA), limewaasa waandishi wa habari nchini kuandika na kuchapisha kwa wingi habari zinazohusu afya ya uzazi wa mpango na idadi ya watu ili kujenga jamii iliyo na elimu ya afya ya uzazi wa mpango. Hayo yalisemwa jana na mwakilishi msaidizi wa UNFPA-Tanzania, Dk. Rutasha Dadi wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa waandishi wa habari ya afya ya uzazi wa mpango na siku ya idadi ya watu duniani ambayo hufanyika Julai 11 kila mwaka, ambapo kwa mwaka huu kitaifa itaadhimishwa mkoani Morogoro. Dk. Dadi alisema faida ya taifa kuwa na watu wanaopanga uzazi ni kubwa kwani endapo watakuwa wanapanga itawaepusha kupata mimba zisizotarajiwa na maradhi ya kuambukiza, ikiwamo ukimwi, vifo vya mama wajawazito na watoto. “Mwisho wa siku taifa na dunia kwa ujumla litajikuta likipoteza nguvu kazi yake kwa kukosa elimu na huduma ya afya ya uzazi wa mpango,” alisema Dk. Dadi. Aliongeza kuwa Tanzania ni nchi ambayo imeridhia watu wake watumie huduma za mpango, kwa kiasi kikubwa watu hao wamekuwa wakitumia huduma hiyo licha ya kwamba bado kuna changamoto katika eneo hilo na kuongeza kuwa vyombo vya habari vinatakiwa vishiriki kikamilifu kuuelimisha umma kuhusu umuhimu wa afya ya uzazi wa mpango. Alizitaja changamoto hizo kuwa ni imani za kidini, uelewa finyu wa baadhi ya wananchi kuhusu elimu hiyo, hali inayosababisha baadhi ya watu kupoteza maisha. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne Julai 5 mwaka 2012

TUMECHOSHWA NA UKATILI WA MADAKTARI

Na Happiness Katabazi JANUARI 30 mwaka huu, gazeti hili lilichapisha makala niliyokuwa nimeiandika mimi iliyokuwa na kichwa cha habari kisemacho ‘Ni mgomo wa madaktari kweli au? Walivyogoma mara ya pili ulioanza Machi 7 mwaka huu, niliandika makala ndefu iliyokuwa na kichwa cha habari kisemacho ‘Madaktari waungwana hawasifiwi ushenzi’.Haikuchapishwa na gazeti hili kwasababu ambazo sitazitaja adharani ila niliisambaza kwenye mitandao ya kijamii. Na ndani ya makala hizo mengi niliyokuwa nimeyabashiri ndiyo sasa yameanza kujitokeza na tunayashudia.Lakini leo tena naandika makala ya tatu kuhusu mgomo huu wa tatu ulioanza wiki iliyopita naninasisitiza tena mgomo huo ni batili na umedharau amri ya Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi, ambayo wiki iliyopita ilitoa amri ya kutangaza mgomo huo kuwa ni haramu lakini cha kushangaza madaktari wetu ambao ni wasomi ndiyo wamekuwa mstari wa mbele kukaidi amri hiyo halali ya mahakama na mhimili wa serikali kisheria ndiyo unatakiwa uhakikishe amri hiyo na nyingine za mahakama zinatekelezwa kwa vitendo na sivinginevyo umeshindwa kusaidia utekelezaji wa amri hiyo kwa kuwakamata madaktari hao waliokaidi amri ya mahakama na kuwafikisha mahakamani ili wajibu mashitaka ya ni kwanini wamekaidi amri ya mahakama. Matokeo ya kushindwa kutekeleza amri hiyo ya mahakama ndiyo sasa kunasababisha maskini wenzetu ambao ni wagonjwa wanashindwa kutibiwa na wengine kudaiwa kupoteza maisha kwasababu ya madaktari hao ambao kwa makusudi wameamua kukaidi amri ya mahakama na serikali inaendelea kuwachekea. Ibara ya 13 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 inasema “ Watu wote ni sawa mbele ya sheria,na wanayo haki ,bila ya ubaguzi wowote,kulindwa na kupata haki sawa mbele ya sheria’. Sasa kwa Ibara hiyo ya Katiba inaanza kuonekana sasa baadhi ya madaktari waliogoma wapo juu ya sheria kwani wanakataa kutekeleza amri ya mahakama na serikali inawaacha watu hao waendelee kudharau amri hiyo wakati siku zote inafahamika kuwa nchi yetu inaongozwa na misingi ya sheria. Lakini ni serikali hii kupitia jeshi la polisi ndiyo imekuwa ikiakikisha amri mbalimbali zinazotolewa na mahakama zinatekelezwa kikamilifu lakini cha kushangaza serikali hii inashindwa kuwafikisha mahakamani madaktari hao wanaoikaidi amri hiyo jambo ambalo hivi sasa limeanza kutafsiriwa kuwa kada ya madaktari wapo juu ya sheria. Nikiachana na hilo nivigeukie vyombo vyetu vya habari kuhusu ushiriki wao katika mgomo huu wa madaktari,kwa namna moja au nyingine vyombo vingi vya habari vimekuwa vikitoa nafasi kubwa kwa madaktari wanaogoma na kuinyima serikali na jamii inayopinga mgomo huo kusikika kupitia vyombo vya habari na baadhi ya wanahabari wakiwa ndani na nje ya vyombo vya habari wamekuwa wakisikika wakikerwa na tabia hiyo ya madaktari ila wanaogopa kuandika makala na habari za kuwakosoa madaktari kwasababu ya kuhofia eti siku wakiugua na kwenda hospitalini huko wanaweza kujikuta wakichomwa sindano za sumu na madaktari hao. Hali iliyosababisha wananchi wengi katika mgomo wa kwanza na wa pili kuona madaktari wapo sahii na mgomo huu wa tatu kadri siku zinavyozidi kusonga mbele wananchi na baadhi waandishi wa chache wameanza kutowaunga mkono hadi kufikia kuwapachika majina mabaya madaktari hao kuwa wana roho za kikatili zaidi ya wa kikundi cha ‘Boko Haram’. Hii ni changamoto kwa sisi vyombo vya habari tujitazame upya na tuifanyie kazi. Hakuna ubishi kwamba madaktari wanadai maslahi yao na serikali katika mgomo wa pili uliyatimiza baadhi ya madai na ukaidi kuendelea kuyafanyia kazi madai yaliyosalia na hakuna ubishi kwamba wanafanyakazi katika mazingira magumu na pia nao wagonjwa nao wakati mwingine hawapatiwi tiba za uhakika kutoka kwa madaktari. Lakini cha kushangaza madaktari hawa wameonekana ni watu walafi na wabinafsi wanaotaka masulufi manono wapewe wao tu na kada nyingine zisipate,wameonekana kukosa subira,hawana imani na serikali yao ambayo ndiyo mwajiri wao na ndiyo anayewalipa mishahara na wengine walisomeshwa na serikali hiyo. Kwa mtindo huu ni wazi kabisa hawa wanaonekana hawana dhamila ya dhati ya kuitumikia serikali kwa moyo wa uzalendo kwani wamedhiirisha wazi kuwa muhimu kwao ni fedha kuliko kuokoa maisha na kutibia wagonjwa ambao ndiyo hasa wanasababisha wao wapate mshahara,wasome.Hivi bila wagonjwa nyie madaktari mngekuwa na hiyo ajira ya udaktari? Ni madaktari hawa hawa akiwemo huyo Dk.Steven Ulimboka wamekuwa wakiutangazia umma kuwa pale hospitali ya Muhimbili hakuna dawa wala vifaa, sasa mbona tumeshuhudia yeye Ulimboka ambaye amepigwa na watu wasiyojulikana akifikishwa hospitalini hapo na kulakiwa madaktari wenzake wakaanza kumtibia na jinsi gani walivyomakatili wakagoma kuwatibia wananchi wenzetu siku hiyo wakamkimbilia kumtibu Ulimboka kwa dawa na vifaa ambavyo vimenunuliwa kwa kodi zetu. Ni madaktari hawa hawa wanaojigamba kuwa wao ni madaktari bingwa sasa mbona wameshindwa kumtibia mwenzao hadi wamempeleka nje ya nchi akatibiwe? Tumesikia madaktari hawa ambao kila kukicha wanadai mishahara wanayolipwa ni midogo na mazingira ya kazi ni mabovu, tuwaulize hayo mamilioni waliyochanga ghafla ya kumsafirisha mwenzao wameyapata wapi? Kama wanauzalendo kweli wa Taifa hili ni kwanini hizo fedha walizozichangisha wangezitumia kununulia vifaa na kuviweka pale Muhimbili ili vije kumtibia mwenzao na watanzania wengine? Imeelezwa kuwa safari ya Ulimboka kwenda nje imegubikwa na usiri mkubwa,hivi kama siyo upuuzi ni kitu gani?Mnaficha nini na mnamficha nani kwamba Ulimboka ameenda kutibiwa nchi gani? Hivi leo hii mtu anaweza kwenda nje ya nchi bila kukata tiketi ya ndege,visa ambazo zitaonyesha anakwenda nchi gani? Kama mnaisi serikali ndiyo imemfanyia unyama ule na mkaamua kumuondoa kwa siri pale Muhimbili, hivi kwa akili zenu mnafikiri huko mlikopo mpeleka kutibiwa ndiyon serikali ya Tanzania haipo? Na kama mnafahamu serikali ndiyo imemtendea unyama huo pelekeni ushahidi mahakamani au pelekeni ombi mahakamani na kutaka muendeshe kesi binafsi(Private Prosecution). Hivi kama sio uhuni na ukatili tunafanyiwa na hawa baadhi ya madaktari wa serikali ambao mishahara yao inatokana na kodi zetu nini na wakati huu wanagoma bado wanaendelea kupewa mishahara? Na mbaya zaidi wananchi wanashindwa kuwachachamalia hawa madaktari lakini ingetokea vyama vya siasa vimeitisha maandano ya kupinga mfumuko wa bei,malipo ya Dowans ni sisi wananchi tungejitokeza kuundamana tena hata kama hayo maandamano ni haramu lakini hili la madaktari kuendesha mgomo haramu ambao wananchi wenzetu wanaumia na kupoteza maisha wala hatuonekani kabisa kulichukulia uzito wa aina yake.Sisi ni watu wa ajabu sana.Tumekuwa na kasumba ya kushabia mambo yasiyo na msingi ila mambo ya msingi ambayo yanatuhusu moja kwa moja hatuyatilii maanani. Rai yangu kwa madaktari wanaogoma, kama wanaona serikali haiwalipi vizuri siwaache hiyo kazi wakatafute kazi sehemu nyingine ambapo watalipwa mishahara minono?Kwanini muundelee kumng’ang’ania bwana(serikali) ambayo kwa akili zenu mnaona haiwajali na haiwapendi? Tanzania bado ina ardhi kubwa ambayo imegunduliwa kuwa ina madini, simuende basi kwenye ardhi hizo mkachimbe madini ili muwe na mahela mengi kama mnavyotaka kuliko kung’ang’ania kazi serikali ambayo nyie mnadai hamlipwi vizuri?Kwani mmekatazwa. Maana ninachokiona mimi hivi sasa hawa wanaogoma ni watu ambao kwa akili zao timamu wameamua kukiuka viapo vyao, wameichoka kazi ya kuwatibu wa gonjwa kwa kisingizio cha kudai maslahi manono,daktari mwenzao Ulimboka kafanyiwa ukatili.Sasa kama kafanyiwa ukatili na watu wasiyojulikana ni kwanini sasa mgomee amri ya mahakama,agizo la serikali la kuwataka mrejee kazini na mgome kuwatibu wagonjwa?Kwani ndiyo waliomfanyia ukatili huo? Mkae mkijua hizo roho za wananchi wenzetu zinazopotea kwaajili ya mgomo wenu ipo siku mtadaiwa na mungu na mathara yake mtayapata hapa hapa duniani kwani mungu amewapa vipawa mje mvitumie duniani kwaajili ya kuwahudumia watu wake,sasa nyie mnapingana na agizo la mungu na maadili ya taaluma yenu, minaamini ipo siku mungu atawaadhibu na msije kulia na mtu. Mwisho ni malizie kwa kuwataka wanaharakati na wale vyama vya siasa akiwemo Kada ya Chadema, Godbles Lema ambao wametoa matamko ya kulaani kitendo alichofanyiwa Ulimboka na Lema akasema akifa Ulimboka atalala barabarani, nawataka wageuze upande wa pili wa shilingi na waone kuwa kuna mamia ya wagonjwa wanakosa huduma na kupoteza maisha yao kwaajili ya mgomo huo haramu,mbona makundi hayo hatusikii yakitoa tamko ya kuwasema wananchi hao na kulaani mgomo huo haramu wa kisheria ambao mahakama ilisema mgomo huo ni batili?. Wewe Lema unayesema utalala barabarani Ulimboka akifa, tumuulize huyu Lema ni kwanini alishindwa kulala barabarani siku ile Jaji Gabriel Rwakibalila wa Mahakama Kuu Kanda ua Arusha alipotoa hukumu dhidi yake ambapo alimvua ubunge na kumfungia kugombea ubunge baada ya kumtia hatiani kwa makosa ya kutoa lugha chafu? Maana hukumu hiyo ndiyo imemfanya Lema hivi sasa awe kaka sisi tusiowabunge kwani analifuatilia bunge kupitia redio na televisheni, hapati tena posho na mshahara na hapewi heshima na stahili za kibunge tena,sasa tumuulize sasa alishindwa kulala barabarani kwa hukumu hiyo iliyokuwa ikumuhusu na imemwathiri yeye binafsi ndiyo leo hii atakuwa na ujasiri wa kufanya hivyo kwa Ulimboka ambaye hawana hata undugu? Nimalizie kwa kuwataadhalisha madaktari wetu kuwa huo mgomo haramu wanaoufanya ipo siku watakuja kutokea baadhi ya ndugu wa wagonjwa watakaofika mahospitalini hapo halafu mkatae kuwapa huduma watajiuliza maswali yafuatayo; Hivi hospitali hizo ni za serikali?Dawa na vifaa vya mahospitalini humo sizimenunuliwa kwa kodi za wananchi?Madaktari siwamesomeshwa kwa kodi za wananchi? Wakimaliza kujiuliza maswali hayo watamalizia kwa kuwadhuru na wala msije kulia na mtu kwani sikila mtu anaweza kuvumilia huo uhuni na ukatili mnaotufanyia. Mungu ibariki Tanzania,Mungu Ibariki Afrika 0716 774494 www.katabazihappy.blogspot.com Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Julai 3 mwaka 2012.

VIGOGO SUMA -JKT KORTINI

Na Happiness Katabazi MKURUGENZI wa Shirika Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) Kanali Ayoub Mwakang’ata na maofisa wenzake sita wa jeshi hilo jana walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka saba ya kula njama na matumizi mabaya ya madaraka. Mbali na Kanali Mwakang’ta washitakiwa wengine ni Luteni kanali Mkohi Kichogo,Luteni Kanali Paul Mayavi,Meja Peter Lushika,Sajenti John lazier,Meja Yohana Nyichi na Mkurugenzi wa Miradi ya Matrekta wa SUMA JKT-Luteni Kanali Felex Samillan. Mawakili toka ofisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa(TAKUKURU), Dominsian Kessy na Ben Lincoln walidai mbele ya Hakimu Mkazi Alocye Katemana na kuwa kosa la kwanza ni la matumizi mabaya ya madaraka kinyume na kifungu cha 31 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya mwaka 2007, inayowakabili washitakiwa wote. Wakili Kessy alidai kuwa Machi 5 mwaka 2009 katika chumba cha mikutano cha ofisi ya SUMA JKT Dar es salaam,wakiwa ni wajumbe wa bodi na Bodi ya Tenda ya SUMA JKT kwa makusudi walitumia madaraka yao vibaya kwa kutoa maamuzi ya bodi hiyo ambayo yaliyoonyesha yametolewa na TAKOPA kwa madhumuni ya kununua magari na vifaa vya ujenzi bila kupata idhini ya kutoka Bodi ya ya Wakurugenzi ya TAKOPA. Wakili Kessy alidai kosa la pili pia ni la matumuzi mabaya ya madaraka ambalo linawakabiliwa washitakiwa wote kuwa Machi 12 mwaka 2012 ,washitakiwa hao wakiwa ni wajumbe wa bodi ya Tenda ya SUMA JKT walitumia madaraka yao vibaya kwa kupitishia maazimio ya kununuliwa kwa magari na vifaa vya ujenzi ambavyo vilikuwa vimeishatumika kinyume na kifungu cha 58( 3) cha Sheria ya Mamunuzi ya Umma ya mwaka 2005. Aidha alidai shitaka la tatu ni la matumizi mabaya ya madaraka linalomkabili mshitakiwa wa pili na wa saba( Kichogo, Samillan) ambapo Machi 16 mwaka 2009 wakiwa wajumbe wa bodi ya Tenda ya SUMA JKT waliamisha Sh 2,744,432,545 kupitia hundi Na.000010 kutoka akaunti ya TAKOPA Na.011103031753 kwa SUMA JKT akaunti Na.01110307094 ambazo akaunti hizo zote zipo katika katika Benki ya Taifa ya Biashara(NBC) bila kufuata matakwa ya kifungu cha 156 cha Sheria ya Fedha ya Umma na Kanuni zake ya mwaka 2001. Shitaka la nne alidai linawakabili washitakiwa hao wawili yaani mshitakiwa wa pili na watatu ambalo pia ni la matumuzi mabaya ya madaraka ambalo walilitenda Aprili 3 mwaka 2009,wakiwa wajumbe wa bodi hiyo ambapo waliamisha sh 489,677,879.30 kupitia hundi Na.000011 kutoka TAKOPA akaunti Na.011103031763 kwa akaunti Na. 011103017094 ya SUMA JKT ambazo zote zipo kwenye benki ya NBC bila kufuata kanuni na matakwa ya kifungu cha 156 cha Sheria ya Fedha za Umma ya mwaka 2001. Shitaka la tano ambalo linawakabili tena washitakiwa hao wawili ni matamizi mabaya ya madaraka ambapo Aprili 4 mwaka 2009 wakiwa ni wajumbe wa bodi hiyo waliamisha Sh 269,519,093.60 kupitia hundi Na.000012 kutoka akaunti ya TAKOPA Na.011103031753 kwa SUMA JKT akaunti Na.011103017094 akaunti zote ambazo zipo benki ya NBC bila kuzingatia masharti ya kifungu cha 156 cha Sheria ya Fedha za umma na kanuni zake ya mwaka 2001. Wakili Kessy alidai shitaka la sita linawakabili washitakiwa hao wawili tena ambapo nilamatumizi mabaya ya madaraka ambapo Mei 4 mwaka 2009 wakiwa ni wajumbe wa bodi hiyo,waliamisha shilingi 350,000,000,000 kupitia hundi Na.000015 kutoka akaunti ya TAKOPA Na.011103031753 kwa SUMA JKT akaunti Na. 011103017094 bila kufuata matakwa ya kifungu hicho cha sheria ya Fedha za umma. Hata hivyo alidai shitaka la saba ni linawakabili washitakiwa wote ambalo ni la kula njama kinyume na kifungu cha 32 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya mwaka 2007, ambapo kuwa kati ya Machi na Mei mwaka 2009 wakiwa wajumbe wa bodi hiyo jijini Dar es Salaam, walikula njama na kuamisha mradi kutoka akaunti ya TAKOPA Na. 011103017094 ambazo akaunti hiyo ipo NBC bila kufuata matakwa ya kifungu cha 156 cha Sheria ya Fedha ya umma na kanuni zake ya mwaka 2001 na kuongeza kuwa upelelezi wa shauri hilo umekamilika. Hata hivyo washitakiwa wote walikana mashitaka hayo na Hakimu Katema alisema ili wapate dhamana ni lazima kila mshitakiwa awe na wadhamini wawili wa kuaminika ambao watasaini bondi ya shilingi milioni 25 kila mmoja, na washitakiwa hao walitimiza masharti hayo na wakapata dhamana, na akaiarisha kesi hiyo hadi Agosti Mosi huu, itakapokuja kwaajili ya kutajwa Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Julai 3 mwaka 2012.