BABU SEYA,PAPII KOCHA WANG'ANG'ANIWA TENA

Na Happiness Katabazi MAHAKAMA ya Rufani nchini Dar es Salaam, imelikataa ombi la kufanya marejeo liliowasilishwa mahakamani hapo na MWANAMUKIZI wa muziki wa dansi nchini Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanae Papi Kocha Mtoto wa Mfalme,ambapo waliomba mahakama hiyo ifanyie marejeo hukumu yake iliyoitoa Februali 2010 ambayo iliyowahukumu kifungo cha maisha warufani hao kwasababu ina dosari za kisheria. Oktoba 30 Mwaka huu, jopo Hilo la majaji watatu walisikikiza ombi Hilo lililowaomba wafanye Marejeo ya hukumu waliyoitoa Februari Mwaka 2010ambapo wanatetewa na Wakili wa kujitegemea Mabere Marando. Uamuzi huo ambao ilisababisha watu kumwaga Machozi Katika Viwanja Vya Mahakama hiyo na wananchi Wengi kukukutana Kwenye Makundi Makundi na Kudai Kuwa Kesi hiyo Inamkono wa Kigogo mmoja serikali ndiyo mAana Mahakama inashindwa kutoa uamuzi wa kuwaachiria HURU ilisomwa na Msajili wa Mahakama ya RUFAA ,Zahara Maruma kwa Niaba ya jopo la majaji watatu Natharia Kimaro,mbarouk mbarouk na Saluma massati. Akisisoma uamuzi huo Maruma Alisema Mahakama ilikuwa na mamlaka ya kusikiliza ombi Hilo la Marejeo na kwamba limebaini Kuwa Hakuna makosa yoyote yaliyofanywa na majaji Hao wakati walipotoa hukumu ya kifungo Cha Maisha kwa Babu SEYA na Papii Kocha Februali 2010 Kama ilivyodaiwa na Wakili Marando Katika ombi lake la Kuomba Mahakama Ifanye Marejeo Katika hukumu Yao. JAJI Kimaro Alisema jopo lake Linafahamu Fika Kuwa Babu SEYA na mwanae kupatia Wakili wao Marando walipokayaga RUFAA, jopo lake liliwatia fursa ya kusikiliza pande zote yaani upande wao na upande wa waombaji RUFAA na warufaniwa ambao ni upand wa jamhuri na kwamba hoja zote zilizowawasilishwa na Wakili Marando Katika usikilizwaji wa OMB Hilo la Marejeo zilikwishwa sikiliza na kuamriwa Katika usikilizwaji wa RUFAA na Nakala ya RUFAA hiyo ni ushahidi tosha unaonyesha hoja zilizowasilishwa na Marando Katika usikilizwaji wa ombi la Marejeo aliziwasilisha Katika usikilizwaji wa RUFAA na jopo Hilo likaziamua. " kwa Kauli Moja Mahakama hiyo inatupilia Mbali ombi la kuomba Ifanyie Marejeo RUFAA yake iliyotoa Februali 2010 liliwasilishwa Mbele yake na Babu SEYA na Papii Kocha kwasababu halina mantiki kisheria"Alisema JAJI Kimaro. Baada ya kumalizia kusomwa kwa uamuzi huo huzuni na vilio vilitawala hukumu babu SEYA na Papii wakionekana kunyongonyea. mwanamuziki Jose Mara aliwaeleza waandishi wa Habari nje ya Mahakama Kuwa wanamnamuachia MUNgu na ameipokea kwa masikitiko ki mkubwa hukumu hiyo ila Ana heshimiwa mwanamuziki hayo ya Mahakama Huku akitokwa na Machozi. Oktoba 30 mwaka huu, Wakili Marando wakati akiwasilisha hoja sake alidai kwa mujibu wa kanuni ya 66 ya Mahakama ya Rufaa ya mwaka 2009 inatoa mamlaka kwa mahakama ya rufaa kufanya mapitio ya hukumu inazozitoa hivyo wateja wake wamewasilisha ombi hilo la mapitio kwasababu wanaamini mahakama yake ilikosea wazi wazi kisheria katika hukumu yake ya Februali 2010 na kwa mujibu wa kanuni hiyo inatoa mamlaka kwa mahakama hiyo kufanya mapitio ya hukumu yake. Wakili Marando alieleza kuwa ombi lake amelileta chini ya kifungu cha 3 aya A ya Kanuni ya Mahakama ya Rufaa ya mwaka 2009 , ikisomwa pamoja na Ibara 13 (3) (6)(a) ya Katiba ya nchi, litaja moja ya utelezi wa wazi wazi wa kisheria uliofanywa na mahakama hiyo, ni kwamba katika hukumu hiyo kuna baadhi ya aya inasomeka kuwa majaji hao walikubaliana na hoja yake iliyodai kuwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, wakati inasikiliza kesi hiyo, ilikosoea kufuata utaratibu wa kurekodi ushahidi wa watoto waliokuja kutoa ushahidi katika kesi hiyo na kwamba mahakama ya rufaa ikasema licha ya taratibu za kurekodi ushahidi wa watoto kukiukwa, mahakama yake iliona kuna ushahidi unaounga mkono na kwamba mahakama ya rufaa ilitumia ushahidi wa kuunga mkono ndiyo walioutumia kuwatia hatiani waomba rufaa kwa adhabu ya kifungo cha maisha “waheshimiwa majaji kwasababu jopo lenu katika hukumu yake lilikiri wazi wazi kuwa mahakama ya kisutu ilikosoea kurekodi ushahidi wa watoto wa dogo ambao walidai walitendewa vibaya na waomba rufaa(Nguza na Papii), na sheria za nchi zipo wazi kabisa zina sema endapo mahakama itabaini kuwa mahakama ya chini ilikiuka taratibu za kurekodi ushahidi wa watoto wa dogo, basi ushahidi ule wa watoto wa dogo uliotumika katika mahakama ya chini kuwatia hatiani washitakiwa, ushahidi huo wa watoto unafutwa na waomba rufaa au washitakiwa wanaachiriwa na pia maamuzi ya kesi mbalimbali yaliyokwisha kutolewa na mahakama hii; “Nafahamu ni kazi ngumu sana kuwashawishi nyie majaji kubadili uamuzi wenu mlioutoa katika hukumu ya Februali 2010 ambapo mliwatia hatiani wateja wangu, ila kwa uterezi huo wa kisheria niliouanisha unaonyesha katika hukumu yenu mlikubaliana na hoja yangu kuwa Mahakama ya Kisutu ilikosea kurekodi ushahidi watoto wadogo ,naamini mtatumia busara zenu na kufuata sheria inayosema wazi wazi kuwa endapo utaratibu wa kurekodi ushahidi wa mtoto utakiukwa basi ushahidi huo utafutwa na wateja wangu wataachiliwa huru, basi leo naiomba mahakama hii iwaachirie huru wateja wangu’ alidai Marando. Kwa upande wao mawakili wa upande wa mjibu maombi (DPP),Angaza Mwipopo,Jackson Mlati, Imaculata Banzi na Joseph Pande waliomba mahakama hiyo itupilie mbali ombi hilo kwasababu sababu zote alizozitoa jana ni sababu ambazo alizitoa wakati wa usikilizwaji wa rufaa na ziliamliwa katika hukumu iliyotolewa na mahakama hiyo Februali mwaka 2010. Jackson alidai kama Marando anaona hukumu ya mwaka 2010 ilikuwa na dosari , basi angeomba mahakama hiyo impangie jopo la majaji watano wa kusikiliza ombi na siyo ombi lake kuja kusikilizwa na jopo la maji watatu wale wale waliotoa hukumu ile ambayo Marando anadai ina dosari. “Hoja za Marando ni za kirufaa, na hoja zake zote anazotaka kuonyesha hukumu ya mahakama hii ina dosari zilishaamriwa na mahakama hii wakati ikisiliza rufaa ya wateja wake mwaka 2010 na tunamtaka Marando aelewe kuwa hakuna maamuzi yasiyonamwisho hivyo sisi tunaomba ombi la Marando linalotaka mahakama hii ifanyiwe mapitio hukumu yake halina msingi”alidai wakili Jackson. Aliyekuwa Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Addy Lyamuya, mwaka 2004 aliyekuwa jaji wa Mahakama Kuu Thomas Mihayo liliwatia hatiani waombaji na kuwafunga kifungo Cha Maisha lakini jopo hilo la majaji wa tatu linaloundwa na Jaji Kimaro ,Massati na Mbarouk liliwatia hatiani Nguza Vicking na Papii kocha na kuwaachiria huru wanae wawili kwa makosa ya kuwabaka watoto wadogo na likawahukumu kifungo cha maisha gerezani. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Ijumaa, Novemba 22 Mwaka 2013

10 KIZIMBANI KWA KUMUUA DK.SENGONDO MVUNGI

Na Happiness Katabazi HATIMAYE watu Kumi wanaodaiwa kumuua Mjumbe wa Tume ya mabadiliko ya Katiba, Sengondo Mvungi Jana walifikishwa Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es salaam, wakikabiliwa na kosa Moja tu la kumuua Dk.Mvungi kwa kukusudia. Wakili wa serikali Aida Lusumo Mbele ya Hakimu Mkazi Sundi Fimbo aliwataja washitakiwa Hao Kuwa ni chibago Magoze (32),John Kanjunju(29),John Mayunja,Longishu Losingo(29),''Masunga Makunza,Paulo Dondondo(30),mkanda Mlewa(40),zakaria msese(33),msungwa Matonya(30) na Ahmed kilebu(30). Wakili Lusumo alidai wanashitakiwa kwa kosa la Kua kwa kukusudia kinyume na kifungo Cha 196 Cha Sheria ya kanuni a adhabu ya Mwaka 2002 , Kuwa Novemba 11 Mwaka 2013 huko eneo la msakuzi kino done Dar es salaam, wote kwa pamoja walimuua Dk.Mvungi ambaye alikuwa ni mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo Dar es salaam na kwamba upelelezi bado haujakamilika. Hakimu Fimbo aliwataka washitakiwa Hao wasiyonaidai chochote kwasababu Mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza Kesi hiyo hivyo akaamuru washitakiwa wapelekwe gerezani. Washitakiwa walifikishwa chini ya Ulinzi MKALI wa wanausalama AMBAPO walipandishwa Kwenye Gari aina ya Landcruser yenye namba za usajili Kx 06EFD na walisikikiza na Gari aina ya NOah yenye namba za usajili T 539 CCB AMBAlo LILikikuwa likiongoza msafara huo. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi ,Novemba 23 Mwaka 2013

BABU SEYA,PIPII WANG'ANG'ANIWA TENA

Na Happiness Katabazi MAHAKAMA ya Rufani nchini Dar es Salaam, imelikataa ombi la kufanya marejeo liliowasilishwa mahakamani hapo na MWANAMUKIZI wa muziki wa dansi nchini Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanae Papi Kocha Mtoto wa Mfalme,ambapo waliomba mahakama hiyo ifanyie marejeo hukumu yake iliyoitoa Februali 2010 ambayo iliyowahukumu kifungo cha maisha warufani hao kwasababu ina dosari za kisheria. Oktoba 30 Mwaka huu, jopo Hilo la majaji watatu walisikikiza ombi Hilo lililowaomba wafanye Marejeo ya hukumu waliyoitoa Februari Mwaka 2010ambapo wanatetewa na Wakili wa kujitegemea Mabere Marando. Uamuzi huo ambao ilisababisha watu kumwaga Machozi Katika Viwanja Vya Mahakama hiyo na wananchi Wengi kukukutana Kwenye Makundi Makundi na Kudai Kuwa Kesi hiyo Inamkono wa Kigogo mmoja serikali ndiyo mAana Mahakama inashindwa kutoa uamuzi wa kuwaachiria HURU ilisomwa na Msajili wa Mahakama ya RUFAA ,Zahara Maruma kwa Niaba ya jopo la majaji watatu Natharia Kimaro,mbarouk mbarouk na Saluma massati. Akisisoma uamuzi huo Maruma Alisema Mahakama ilikuwa na mamlaka ya kusikiliza ombi Hilo la Marejeo na kwamba limebaini Kuwa Hakuna makosa yoyote yaliyofanywa na majaji Hao wakati walipotoa hukumu ya kifungo Cha Maisha kwa Babu SEYA na Papii Kocha Februali 2010 Kama ilivyodaiwa na Wakili Marando Katika ombi lake la Kuomba Mahakama Ifanye Marejeo Katika hukumu Yao. JAJI Kimaro Alisema jopo lake Linafahamu Fika Kuwa Babu SEYA na mwanae kupatia Wakili wao Marando walipokayaga RUFAA, jopo lake liliwatia fursa ya kusikiliza pande zote yaani upande wao na upande wa waombaji RUFAA na warufaniwa ambao ni upand wa jamhuri na kwamba hoja zote zilizowawasilishwa na Wakili Marando Katika usikilizwaji wa OMB Hilo la Marejeo zilikwishwa sikiliza na kuamriwa Katika usikilizwaji wa RUFAA na Nakala ya RUFAA hiyo ni ushahidi tosha unaonyesha hoja zilizowasilishwa na Marando Katika usikilizwaji wa ombi la Marejeo aliziwasilisha Katika usikilizwaji wa RUFAA na jopo Hilo likaziamua. " kwa Kauli Moja Mahakama hiyo inatupilia Mbali ombi la kuomba Ifanyie Marejeo RUFAA yake iliyotoa Februali 2010 liliwasilishwa Mbele yake na Babu SEYA na Papii Kocha kwasababu halina mantiki kisheria"Alisema JAJI Kimaro. Baada ya kumalizia kusomwa kwa uamuzi huo huzuni na vilio vilitawala hukumu babu SEYA na Papii wakionekana kunyongonyea. mwanamuziki Jose Mara aliwaeleza waandishi wa Habari nje ya Mahakama Kuwa wanamnamuachia MUNgu na ameipokea kwa masikitiko ki mkubwa hukumu hiyo ila Ana heshimiwa mwanamuziki hayo ya Mahakama Huku akitokwa na Machozi. Oktoba 30 mwaka huu, Wakili Marando wakati akiwasilisha hoja sake alidai kwa mujibu wa kanuni ya 66 ya Mahakama ya Rufaa ya mwaka 2009 inatoa mamlaka kwa mahakama ya rufaa kufanya mapitio ya hukumu inazozitoa hivyo wateja wake wamewasilisha ombi hilo la mapitio kwasababu wanaamini mahakama yake ilikosea wazi wazi kisheria katika hukumu yake ya Februali 2010 na kwa mujibu wa kanuni hiyo inatoa mamlaka kwa mahakama hiyo kufanya mapitio ya hukumu yake. Wakili Marando alieleza kuwa ombi lake amelileta chini ya kifungu cha 3 aya A ya Kanuni ya Mahakama ya Rufaa ya mwaka 2009 , ikisomwa pamoja na Ibara 13 (3) (6)(a) ya Katiba ya nchi, litaja moja ya utelezi wa wazi wazi wa kisheria uliofanywa na mahakama hiyo, ni kwamba katika hukumu hiyo kuna baadhi ya aya inasomeka kuwa majaji hao walikubaliana na hoja yake iliyodai kuwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, wakati inasikiliza kesi hiyo, ilikosoea kufuata utaratibu wa kurekodi ushahidi wa watoto waliokuja kutoa ushahidi katika kesi hiyo na kwamba mahakama ya rufaa ikasema licha ya taratibu za kurekodi ushahidi wa watoto kukiukwa, mahakama yake iliona kuna ushahidi unaounga mkono na kwamba mahakama ya rufaa ilitumia ushahidi wa kuunga mkono ndiyo walioutumia kuwatia hatiani waomba rufaa kwa adhabu ya kifungo cha maisha “waheshimiwa majaji kwasababu jopo lenu katika hukumu yake lilikiri wazi wazi kuwa mahakama ya kisutu ilikosoea kurekodi ushahidi wa watoto wa dogo ambao walidai walitendewa vibaya na waomba rufaa(Nguza na Papii), na sheria za nchi zipo wazi kabisa zina sema endapo mahakama itabaini kuwa mahakama ya chini ilikiuka taratibu za kurekodi ushahidi wa watoto wa dogo, basi ushahidi ule wa watoto wa dogo uliotumika katika mahakama ya chini kuwatia hatiani washitakiwa, ushahidi huo wa watoto unafutwa na waomba rufaa au washitakiwa wanaachiriwa na pia maamuzi ya kesi mbalimbali yaliyokwisha kutolewa na mahakama hii; “Nafahamu ni kazi ngumu sana kuwashawishi nyie majaji kubadili uamuzi wenu mlioutoa katika hukumu ya Februali 2010 ambapo mliwatia hatiani wateja wangu, ila kwa uterezi huo wa kisheria niliouanisha unaonyesha katika hukumu yenu mlikubaliana na hoja yangu kuwa Mahakama ya Kisutu ilikosea kurekodi ushahidi watoto wadogo ,naamini mtatumia busara zenu na kufuata sheria inayosema wazi wazi kuwa endapo utaratibu wa kurekodi ushahidi wa mtoto utakiukwa basi ushahidi huo utafutwa na wateja wangu wataachiliwa huru, basi leo naiomba mahakama hii iwaachirie huru wateja wangu’ alidai Marando. Kwa upande wao mawakili wa upande wa mjibu maombi (DPP),Angaza Mwipopo,Jackson Mlati, Imaculata Banzi na Joseph Pande waliomba mahakama hiyo itupilie mbali ombi hilo kwasababu sababu zote alizozitoa jana ni sababu ambazo alizitoa wakati wa usikilizwaji wa rufaa na ziliamliwa katika hukumu iliyotolewa na mahakama hiyo Februali mwaka 2010. Jackson alidai kama Marando anaona hukumu ya mwaka 2010 ilikuwa na dosari , basi angeomba mahakama hiyo impangie jopo la majaji watano wa kusikiliza ombi na siyo ombi lake kuja kusikilizwa na jopo la maji watatu wale wale waliotoa hukumu ile ambayo Marando anadai ina dosari. “Hoja za Marando ni za kirufaa, na hoja zake zote anazotaka kuonyesha hukumu ya mahakama hii ina dosari zilishaamriwa na mahakama hii wakati ikisiliza rufaa ya wateja wake mwaka 2010 na tunamtaka Marando aelewe kuwa hakuna maamuzi yasiyonamwisho hivyo sisi tunaomba ombi la Marando linalotaka mahakama hii ifanyiwe mapitio hukumu yake halina msingi”alidai wakili Jackson. Aliyekuwa Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Addy Lyamuya, mwaka 2004 aliyekuwa jaji wa Mahakama Kuu Thomas Mihayo liliwatia hatiani waombaji na kuwafunga kifungo Cha Maisha lakini jopo hilo la majaji wa tatu linaloundwa na Jaji Kimaro ,Massati na Mbarouk liliwatia hatiani Nguza Vicking na Papii kocha na kuwaachiria huru wanae wawili kwa makosa ya kuwabaka watoto wadogo na likawahukumu kifungo cha maisha gerezani. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Ijumaa, Novemba 22 Mwaka 2013

BABU SEYA KUACHILIWA HURU LEO?

Na Happiness Katabazi MAHAKAMA ya Rufani nchini Dar es Salaam, leo inatarajia kutoa uamuzi wake wa ama kulikubali au kulikataa ombi la marejeo liliowasilishwa mahakamani hapo na MWANAMUKIZI wa muziki wa dansi nchini Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanae Papi Kocha Mtoto wa Mfalme,ambapo waliomba mahakama hiyo ifanyie marejeo hukumu yake iliyoitoa Februali 2010 ambayo iliyowahukumu kifungo cha maisha warufani hao kwasababu ina dosari za kisheria. Kwa mujibu wa hati ya wito wa kuitwa mahakamani iliyotolewa kwa mawakili wa pande zote mbili, mahakama imemtaka Nguza Vicking na Papii kocha na mawakili wa pande zote kufika leo mahakamani hapo bila kukosa ili waje wapokee uamuzi wa maombi hayo. Oktoba 30 mwaka huu, jopo la majaji watatu wa mahakama hiyo waliokuwa wakiongozwa na jaji Nataria Kimaro, salum Massati ma Mbarouk Mbarouk walisikiliza ombi hilo la Kuomba mahakama hiyo ifanye majeo ya hukumu yake Februali 2010 .Ombi hilo la marejeo Na.5/2010 Ambapo waombaji wanatetewa na Wakili wa kutegemea Mabere Marando. Wakili Marando alidai kwa mujibu wa kanuni ya 66 ya Mahakama ya Rufaa ya mwaka 2009 inatoa mamlaka kwa mahakama ya rufaa kufanya mapitio ya hukumu inazozitoa hivyo wateja wake wamewasilisha ombi hilo la mapitio kwasababu wanaamini mahakama yake ilikosea wazi wazi kisheria katika hukumu yake ya Februali 2010 na kwa mujibu wa kanuni hiyo inatoa mamlaka kwa mahakama hiyo kufanya mapitio ya hukumu yake. Wakili Marando alieleza kuwa ombi lake amelileta chini ya kifungu cha 3 aya A ya Kanuni ya Mahakama ya Rufaa ya mwaka 2009 , ikisomwa pamoja na Ibara 13 (3) (6)(a) ya Katiba ya nchi, litaja moja ya utelezi wa wazi wazi wa kisheria uliofanywa na mahakama hiyo, ni kwamba katika hukumu hiyo kuna baadhi ya aya inasomeka kuwa majaji hao walikubaliana na hoja yake iliyodai kuwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, wakati inasikiliza kesi hiyo, ilikosoea kufuata utaratibu wa kurekodi ushahidi wa watoto waliokuja kutoa ushahidi katika kesi hiyo na kwamba mahakama ya rufaa ikasema licha ya taratibu za kurekodi ushahidi wa watoto kukiukwa, mahakama yake iliona kuna ushahidi unaounga mkono na kwamba mahakama ya rufaa ilitumia ushahidi wa kuunga mkono ndiyo walioutumia kuwatia hatiani waomba rufaa kwa adhabu ya kifungo cha maisha “waheshimiwa majaji kwasababu jopo lenu katika hukumu yake lilikiri wazi wazi kuwa mahakama ya kisutu ilikosoea kurekodi ushahidi wa watoto wa dogo ambao walidai walitendewa vibaya na waomba rufaa(Nguza na Papii), na sheria za nchi zipo wazi kabisa zina sema endapo mahakama itabaini kuwa mahakama ya chini ilikiuka taratibu za kurekodi ushahidi wa watoto wa dogo, basi ushahidi ule wa watoto wa dogo uliotumika katika mahakama ya chini kuwatia hatiani washitakiwa, ushahidi huo wa watoto unafutwa na waomba rufaa au washitakiwa wanaachiriwa na pia maamuzi ya kesi mbalimbali yaliyokwisha kutolewa na mahakama hii; “Nafahamu ni kazi ngumu sana kuwashawishi nyie majaji kubadili uamuzi wenu mlioutoa katika hukumu ya Februali 2010 ambapo mliwatia hatiani wateja wangu, ila kwa uterezi huo wa kisheria niliouanisha unaonyesha katika hukumu yenu mlikubaliana na hoja yangu kuwa Mahakama ya Kisutu ilikosea kurekodi ushahidi watoto wadogo ,naamini mtatumia busara zenu na kufuata sheria inayosema wazi wazi kuwa endapo utaratibu wa kurekodi ushahidi wa mtoto utakiukwa basi ushahidi huo utafutwa na wateja wangu wataachiliwa huru, basi leo naiomba mahakama hii iwaachirie huru wateja wangu’ alidai Marando. Kwa upande wao mawakili wa upande wa mjibu maombi (DPP),Angaza Mwipopo,Jackson Mlati, Imaculata Banzi na Joseph Pande waliomba mahakama hiyo itupilie mbali ombi hilo kwasababu sababu zote alizozitoa jana ni sababu ambazo alizitoa wakati wa usikilizwaji wa rufaa na ziliamliwa katika hukumu iliyotolewa na mahakama hiyo Februali mwaka 2010. Jackson alidai kama Marando anaona hukumu ya mwaka 2010 ilikuwa na dosari , basi angeomba mahakama hiyo impangie jopo la majaji watano wa kusikiliza ombi na siyo ombi lake kuja kusikilizwa na jopo la maji watatu wale wale waliotoa hukumu ile ambayo Marando anadai ina dosari. “Hoja za Marando ni za kirufaa, na hoja zake zote anazotaka kuonyesha hukumu ya mahakama hii ina dosari zilishaamriwa na mahakama hii wakati ikisiliza rufaa ya wateja wake mwaka 2010 na tunamtaka Marando aelewe kuwa hakuna maamuzi yasiyonamwisho hivyo sisi tunaomba ombi la Marando linalotaka mahakama hii ifanyiwe mapitio hukumu yake halina msingi”alidai wakili Jackson. Aliyekuwa Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Addy Lyamuya, aliyekuwa jaji wa Mahakama Kuu Thomas Mihayo liliwatia hatiani waombaji na kuwafunga kifungo Cha Maisha lakini jopo hilo la majaji wa tatu linaloundwa na Jaji Kimaro ,Massati na Mbarouk liliwatia hatiani Nguza Vicking na Papii kocha na kuwaachiria huru wanae wawili kwa makosa ya kuwabaka watoto wadogo na likawahukumu kifungo cha maisha gerezani. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Novemba 21 Mwaka 2013

SINA UKIMWI: KAPUYA

Na Happiness Katabazi MBUNGE wa jumbo la Urambo Magharibi Profesa JUMA Kapuya amekanusha Madai yote yaliyochapishwa na Gazeti hili juzi na kwamba yeye siyo mwathirika wa ugonjwa wa ukimwi. Profesa Kapuya alikanusha Madai hayo kupatia Wakili wake Yasin Membar Jana ofisini kwake kupatia mkutano wake na waandishi wa Habari. Wakili Membar Alisema mteja wake Kapuya amemtuma aje aje aueleze umma kupatia yeye Kuwa kwanza hamfahamu Huyo mtoto anayedaiwa Kuwa Anaumri china ya Miaka 18 Kuwa alimbaka na kumuambukiza ukimwi. pili , Kapuya Amedai Gazeti la Tanzania Daima hakimu la Haki yak ya Msangi hakumsikiliza Kabla ya kuchapisha tuhuma dhidi yake Kwani Kimsingi mwandishi wa Habari yoyote anatakiwa Kabla ya kuchapisha Habari inayomhusu MTu mwingine, basi mwandishi wa Habari analazimika kumtafuta anayetuhumiwa ili naye atoe maelezo yake lakini Tanzanzia Daima limeshindwa juzi kuzingatia kanuni hiyo na Matokeo yake likachapisha Habari hiyo . Wakili Membar Anadai mteja wake Kapuya amemueleze Kuwa Habari ile imemletea madara na Usumbufu mkubwa Katika familia yake, Jamii na kumvunjia heshima yakekuonekana kwasababu hiyo mteja wake amemuelekeza niwapatie siku Saba Gazeti la Tanzania Daima, Mitandao ya kijamii ukiwemo Mtandao wa Jamii Forum, Justina John na Vituko Mtaani ambayo vimechapisha Habari hivyo viombe Radhi kwa uzito ule ule AMA siyo atavishitaki mahakamani. "Kama hawataomba Radhi basi tuta fungua Kesi mbili Moja ni kwaajili ya Gazeti la Tanzania Daima na hiyo Mitandao ya kijamii na Kesi ya pili ni ya kuhusu Huyo mtoto anayedaiwa mteja Wangu Kapuya amembaka na kumuambukiza ukimwi...tunataka Huyo mtoto aje Mahakamani aje athibijishe aliambukizwaje Ukimwi na mteja Wangu maana mteja Wangu kanieleza yeye hamfahamu Huyo mtoto na wala Hana ukimwi" Alisema Wakili Membar. Hata hivyo Wakili Membar Alisema mteja wake anaomba umma uelewe Habari hiyo iliyochapishwa na Gazeti la Tanzania la juzi haiusiani na Chama Cha mapinduzi wala serikali. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Novemba 15 Mwaka 2013

PAPA MSOFE AWEKWA KIPORO

Na Happiness Katabazi UPANDE wa jamhuri katika kesi ya mauaji inayomkabili Mfanyabashara maarufu jijini Dar es Salaam, Abubakar Marijan [50] ‘Papaa Msoffe chuma cha Reli akishiki Kutu, mutu ya Pakee’ na Makongoro Joseph Nyerere, Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu umedai Kuwa jarada la Kesi hiyo Tayari limeshatoka kwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) ,Dk.Eliezer Feleshi Lipo kwa Mkurugenzi wa wa makosa ya jinai. Mwendesha Mashitaka Inspekta wa polisi ,hamisi said aliikumbusha Mahakama Kuwa Kuwa Jana Kesi hiyo ilikuwa kwaajili ya kutajwa na kuangalia maendeleo ya Kesi hiyo. Inspekta hamis alieleza kuwa jarada la Kesi hiyo ambayo lilienda kwa DPP ,na DPP aligundua Lina mapungufu akamwelekeza DCI alifanyie marekebisho na kwamba Tayari DCI ameishalifanyia Kazi na kwamba MUDa wowote litarejeshwa mahakamani hapo kwaajili ya Hatua zaidi. Kwa upande wake Hakimu Hellen liwa aliarisha Kesi hiyo hadi Novemba 27 Mwaka juu, itakokuja kwaajili ya kutajwa na kuamuru washitakiwa wapelekwe gerezani. Novemba 31 Mwaka huu, wa serikali Charles Anindo aliambia aliikumbusha mahakama kuwa kesi hiyo jana ilikuja kwaajili ya mahakama kutoa uamuzi wake wa ama kuwafutia kesi washitakiwa au la , ila upande wa jamhuri umepelekea jarada la kesi hiyo kwa Mwanasheria Mkuu wa serikali kwaajili ya Mwanasheria wa Serikali kutoa maamuzi ya mwisho kuhusiana na kesi hiyo hivyo akaomba kesi hiyo iarishwe. Ombi hilo lilisababisha Hakimu Mkazi Hellen Liwa kusema mahakama yake jana ilikuwa ipo tayari kwaajili ya kutoa uamuzi wake lakini kwakuwa upande wa jamhuri umewasilisha ombi hilo ambalo limeonyesha ni dalili nzuri za maendeleo ya kesi hiyo kwani kila mara kesi hiyo inapotajwa upande wa jamhuri umekuwa ukidai upelelezi haujakamilika, hivyo anaiarisha kesi hiyo hadi Novemba 14 mwaka huu, itakapokuja kwaajili ya kutajwa kwani siku hiyo inawezekana yakapatikana maendeleo mazuri ya kesi hiyo kutoka kwa upande wa jamhuri. Septemba 12 mwaka huu, wakili Kweka aliwasilisha pingamizi lililokuwa linaomba mahakama hiyo ilikatae ombi la wakili wa washitakiwa Malima lilokuwa likiomba mahakama hiyo iwafutie kesi hiyo kwani ni kesi ya muda mrefu na hadi sasa upelelezi bado haujakamilika na ombi hilo liliwasilishwa na wakili wa washitakiwa Daudi Malima. Wakili Kweka alidai kuwa kwanza mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi za mauji ndiyo maana washitakiwa waliposomewa shitaka lao hawakutakiwa kujibu chochote na kwamba ni Mahakama Kuu peke ndiyo yenye mamlaka ya kusikiliza kesi za mauji na kwamba kesi hiyo inayomkabili Msoffe bado hipo katika hatua za awali kabisa na kwamba hata upelelezi bado haujakamilika. Februali 13 mwaka 2013, wakili wa serikali Charles Anindo aliiomba mahakama kuumunganisha Nyerere katika kesi hiyo ambayo awali ilikuwa ikimkabili Msoffe peke yake ambaye alifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Agosti 10 mwaka 2012 ambapo aliwasomea shitaka ambapo aidai kuwa washitakiwa wote kwa pamoja wanadaiwa kumua kwa makusudi Onesphory Kituli, kinyume cha kifungu cha 196 cha Kanuni za Adhabu sura ya 19 kama kilivyorekebishwa mwaka 2002 na kwamba kosa hilo walilitenda Oktoba 11 mwaka 2011, nyumbani kwa marehemu huko Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam na kwamba upelelezi wa shauri hilo bado haujakamilika. Katika Hatua nyingine Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo ,Aloyce Katemana alitupia Mbali Mbali ombi la vigogo wa SUMA JKT wanaokabiliwa na kesi ya matumizi mabaya aya madaraka lilotaka Mahakama hiyo ikatae kupokea maelezo ya onyo waliyochukuliwa wakati wakihojiwa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Kabla hawajafunguliwa Kesi mahakamani hapo kwa maelezo Kuwa PCCB hawakufunja Sheria wakati wakiwavhukia maelezo ya onyo na akaairisha Kesi hiyo hadi Desemba 12 Mwaka huu, AMBAPO mashahidi wa upande wa jamhuri wataendelea kutoa ushahidi wao. Chanzo :Gazeti la Tanzania Daima la Ijumaa, Novemba 15 Mwaka 2013

KIFO CHA DK.SENGONDO MVUNGI KIMENIUMA

Na Happiness Katabazi NOVEMBA 12 mwaka 2013, saa 10 jioni nikiwa darasani katika Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB) nasubiri mwalimu wa somo la Criminal Law aingie kufundisha , mwanafunzi mwenzangu wa sheria ambaye ni Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Marco Mochiwa alinifuata na kuniuliza mbona watoto wa mwalimu wetu Dk.Sengondo Adrian Mvungi yaani Dk.Natujwa na Nakundwa wamekuja kuchukuliwa ghafla na kurudishwa nyumbani. Nilishtuka na kumwambia misijaona na nikamweleza Mochiwa kuwa taarifa hizo alizonipa ni mbaya sana kwangu na licha sina ushahidi nazo natoka darasani naenda ofisi ya walimu ilinikajue ni kwanini wamechukuliwa hivyo kwani saa saba mchana nilionana na Dk.Natujwa chuoni hapo na kuzungumza nae akasema kuwa baba yake hivi sasa anaitaji maombi kila wakati na tuliongea mambo mengi sana ambayo siwezi kuyaandika katika makala hii.Dk.Mvungi umeniuma sana. Wakati nikishuka ngazi ghafla nikapokea simu toka kwa Mwandishi wa Habari wa Gazeti la Mtanzania, Ester Mbusi akinipa pole ya msiba wa ‘mume wangu’ Dk.Mvungi.Niisii kuchanganyikiwa na kushuka ngazi pole pole huku nikienda kwenye ofisi za walimu nikakuta zimefungwa na kwenda kweny ofisi ya Meneja wa chuo,Innocent Mahedi na kumuuliza ni kweli Dk.Mvungi kafariki na nikweli Dk.Natujwa kaondoshwa haraka chuoni hapo? Mahedi alikatalia kata kata na kusema kuwa hana uhakika wa taarifa za kifo hicho , nilimuuliza zaidi ya mara saba huku nikilia na kumuliza iweje kama Dk.Mvungi ni mzima watoto wake wachukuliwe kwa dharula chuoni hapo?Iweje kama taarifa hizo ni za uongo, waandishi wa habari wengi wanipigie simu za kunipa pole zakuondokewa na ‘Rais Mdhurumiwa’? Mahedi alijikausha ila niliwambia ukweli kuwa anafahamu ila ananificha.Kutokana na mazingira hayo nilimpigia simu Dk.Natujwa alipokea na kusema hana ushahidi na hilo ila wanaelekea Mwenge lakini nikasikia pembeni yake kwenye simu analia sana anasema baba yake amefariki. Siyo siri nilijikuta nikilia kwa sauti ya juu kwenye viunga vya chuo na kukaa chini , namshukuru sana mwanafunzi mwenzangu wa sheria ambaye ni mwandishi wa habari wa gazeti la The Citzen,Bernad James ndiye aliyenisubiri nimalize kulia,na kuniinua kwenye mchanga nilipokuwa nimekaa na kunibebea mkoba na kunishika mkono kuelekea kituoni ambapo ni mwendo wa kama dakika 15 tukapanda wote Bajaji nanikamwambia kwakuwa nimeambiwa wakina Dk.Natujwa wamepelekwa Mwenge nyumbani kwa marehemu kaka yake Dk.Mvungi nilianza safari ya kwenda hadi hapo Mwenge vijijini saa 12 jioni na nilipokelewa na wako wapi Dk.Natujwa wakanithibitishia ni kweli Dk.Mvungi amefariki na watoto wake wamepelekwa Kibamba nyumbani kwa Dk.Mvungi alikokuwa akiishi na mke wake Anna na msiba utakuwa Kibamba.Nikapanda kwenye bajaji nalia sana hadi niliporudi nyumbani Sinza saa moja usiku ndipo kidogo nilianza kukubali hali halisi kuwa ni kweli ‘Rais Mdhulumiwa’ amefariki dunia, na kuanza kuandika makala hii. Dk.Mvungi alijeruhiwa usiku wa kuamkia Novemba 3 mwaka huu kwa mapanga kichwani na usoni na kusababisha kupoteza fahamu tangu siku hiyo na Novemba 7 mwaka huu, alitolewa MOI na kusafirishwa kwenda Hospitali ya Milpark nchini Afrika Kusini kwaajili ya matibabu zaidi lakini Novemba 12 mwaka huu, alifariki dunia.Dk.Mvungi umeniuma sana. Dk.Mvungi ‘Rais Mdhurumiwa’ ambaye aliwahi kuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, na hatimaye kufikia nafasi ya kuwa Mkuu wa Kitivo cha Sheria cha Chuo UDSM,ni miongoni mwa waasisi Chuo Kikuu cha Bagamoyo(UB) ambaye kabla ya kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katika na Rais Jakaya Kikwete, alikuwa ndiye Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo. Kabla sijafika mbali napenda kutamka wazi kuwa kifo na ukatili aliofanyiwa na wahuni ‘majini watu’, Dk.Mvungi yaliniumiza sana na yanaendelea kuniumiza sana hasa ukizingatia Dk.Mvungi licha kilikuwa ni chanzo changu cha habari ambaye alikuwa akinipa habari ambazo nyingine nilikuwa naziandika kwenye gazeti na nyingine nilikuwa siziandiki kwenye gazeaati alikuwa ni kama baba yangu wa kunizaa kwani aliniweka karibu mno na familia yake,alikuwa akinishauri mambo mengi likiwemo la kujiendeleza kielimu kwenda kusoma sheria, kifamilia, kazi yangu ya uandishi wa habari hasa ukizingatia Dk.Mvungi aliwahi kuwa mwandishi wa habari wa Magazeti ya Uhuru na Mzalendo licha hakuwai kusomea chuo chochote kozi ya Uandishi wa habari. Sitamsahau Dk.Mvungi katika hili ambapo mwaka 2009 niliomba kujiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kusoma kozi ya Cheti cha Sheria nikakosa nafasi, nilivyokosa nafasi nilimfuata ofisini katika Shule ya Sheria UDSM, na kumueleza hilo ambapo Dk.Mvungi alinitaka nimfuate anakokwenda ili aende akawauleze ni kwanini mimi nimekosa nafasi ya masomo na fomu zangu zilikuwa na dosari gani, tuliingia katika ofisi ya mhadhiri mmoja anaitwa Semu Thomas ambaye alimsikiliza Dk.Mvungi na akamtaka Dk.Mvungi arudi ofisini akakae na kwamba yeye Semu atabeba jukumu hilo na alinipeleka hadi kwa Mkurugenzi wa Kozi ya Cheti cha Sheria Tairo, ambaye alisikiliza na kulitatua tatizo langu na akanitaka nijaze fomu upya, na kweli nilijaza fomu upya na zikagongwa mhuhuri wa uwakili na Dk.Mvungi na hatimaye nikakubaliwa kujiunga na kozi hiyo.Dk.Mvungi umeniuma sana. Ndimara Tigambwage ndiye aliyemuingiza Dk.Mvungi katika fani ya uandishi wa habari kwani Dk.Mvungi alikuwa akinielezaga kuwa hapa duniani kuna watu anaweza kuwapinga adharani kupitia vyombo vya habari na siyo Ndimara Tigambwage au Balozi Costa Ricky Mahalu. Kwani alipokuwa amemaliza elimu ya kidato nne alikuwa akiishi kwa marehe kaka yake Mwenge jijini Dar es Salaam, na wakati huo alikuwa akiandika mashahiri na kuyatuma kwenye gazeti la Mzalendo na kuuza duka.Ndimara ndiye aliyefika nyumbani kwa kaka yake Mvungi , Mwenge na kumshika mkono Dk.Mvungi na kumpeleka katika gazeti la Mzalendo na kuwaomba wahariri wampatie kazi ya uandishi wa habari ambapo alipatiwa kazi na alifanyakazi katika gazeti hilo akiwa na rafiki yake ambaye naye ni mjumbe wa Tume ya Mabadilko ya Katiba, Profesa Paramaganda Kabudi ambaye naye pia hakuwai kusomea uandishi wa habari lakini alikuwa ni mwandishi wa habari na mwisho wa siku Profesa Kabudi na Dk.Mvungi waliamua kwenda Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kusoma sheria na mwisho wa siku walifaulu vizuri uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Ukawapatia ajira ya kuwa waadhiri wa sheria wa chuo hicho hadi miaka ya karibu Dk.Mvungi alipostaafu utumishi wa serikali. Dk.Mvungi pia alikuwa akinieleza kuwa hawezi kumpinga adharani Balozi Mahalu kwani balozi Mahalu akiwa Mkuu wa Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ndiyo aliidhinisha Dk.Mvungi na wenzake waende kuongeza shahada nyingine ya sheria nchini Ujerumani.Nakusema anawaheshimu sana. Kweli maneno yanaumba.Mara zote Dk.Mvungi alikuwa akimweleza mwanae mkubwa ambae ni Mkuu wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Bagamoyo(UB), Dk.Natujwa Mvungi siku akifariki ,mkewe mdogo yaani mimi Happiness Katabazi ambaye mara zote alikuwa akipenda kuniita ‘First Lady’ nitaandika makala ambayo itamuelezea yeye alikuwa ni mtu wa aina gani katika dunia hii na tulikuwa tukicheka Dk.Mvungi akisema hivyo na mimi nikawa ninamwambia ata akifariki ghafla tayari nina picha zake nyingi tulizopiga pamoja kwahiyo sitapata shida ya kutafuta picha zake hizo na kweli limetimia. Tangu nianze kuwa karibu na Dk.Mvungi kama mzee wangu mwaka 2000- 2013 ,pamoja na mambo mengi alikuwa akinieleza kuwa enzi zaDk. Eliuther Kapinga, mwaka 2002. Kapinga aliuawa kikatili kwa kunyongwa shingo na kupigwa nondo kichwani nyumbani kwake, Mbezi Beach. Katika ujana wake Dk.Mvungi alikuwa akinieleza kuwa alikuwa akipenda sana kucheza mchezo wa ngumi na hadi hivi sasa Dk.Mvungi alikuwa akifanya sana mazoezi ya viungo na muongozaji mzuri tu shughuli katika sherehe na misiba. Na hata harusi ya Profesa Kabudi na mkewe ,ni Dk.Mvungi ndiye alikuwa MC wa harusi hiyo. Si hivyo tu hata Chuo Kikuu cha Bagamoyo ambacho kinatarajia kufanya mahafali yake ya kwanza tangu kilipoanzishwa rasmi mwaka 2011, kilikuwa kimepanga Dk.Mvungi ndio awe MC wa mahafali hayo lakini kwa bahati mbaya akakutwa na mkasa huo uliosababisha afariki dunia.Dk.Mvungi ameniuma sana jamani. Itakumbukwa kuwa katika kampeni za uchaguzi mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2005.Dk.Mvungi alikuwa ni miongoni mwa wagombea urais.Itakumbukwa kuwa uchaguzi wa mwaka 2005 ulisogezwa mbele kwasababu aliyekuwa mgombea mwenza wa Chadema, alifariki dunia.Katika raundi ya kwanza ya kampeni, aliyekuwa mhariri wangu wa Gazeti la Mtanzania , Gabriel Athuman alinipanga niongozane na Augustine Mrema (TLP)katika kampeni zake ambapo nilizunguka na Mrema katika mikoa 15 kama mwandishi wa habari wa mgombea urais kwa tiketi ya TLP. Tume ya ya Uchaguzi ikasimamisha kampeni kwaajili ya kifo hicho, ilipokuja awamu ya pili ya kampeni, Mhariri wangu Gabriel Athuman ambaye kwasasa anafanyakazi katika Ofisi ndogo za CCM, Lumumba Dar es Salaam,aliniondoa kwenye timu ya Mrema ambaye naye Mrema na mkewe Rose walikuwa wakiniita mimi ni First Lady wa Mrema, na kunipeleka kujiunga kwenye timu ya mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha NCCR-Mageuzi ambaye ni Dk.Mvungi. Kweli nilikuwa ni mwandishi wa habari wa kike peke yangu katika timu ya waandishi wa habari zaidi watano wanaume na tulifanyakazi yetu vizuri na Dk.Mvungi akawa anajigamba mbele ya Mrema kuwa amemwibia mke yaani mimi enzi hizo nikiitwa ‘First Lady wa Mrema’, na kwamba hivi sasa Happiness ndiye mke wa Dk.Mvungi kwasababu tu mhariri wangu amenipanga mwandishi wa kik kwenye msafara wake na jina hilo la First Lady liliasisiwa na Dk.Mvungi na mkewe Anna katika msafara wake ambao tulizunguka mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar akiomba kura kwa wananchi ili awe rais wa Tanzania. Lakini kura hazikutosha kwa upande wake , kura zilitosha kwa mgombea wa CCM, Rais Jakaya Kikwete ambaye alitangazwa kuwa rais. Dk.Mvungi hakuwa na kinyongo na Rais Kikwete kushinda naninakumbuka baada ya Dk.Mvungi kumaliza kampeni aliathirika sana kiuchumi , sikumtupa nilikuwa naye katika shida na raha kwani nilipokuwa nafika ofisini kwake mimi ndiyo niligeuka kuwa mhudumu , karani mpokeaji wageni wake kwa kipindi hicho chote ninachokuwa ofisini wake. Ilipofika katika kampeni za uchaguzi mkuu wa wa Urais mwaka 2010, Dk.Mvungi hakugombea na mimi nikiwa Mwandishi wa Habari wa Gazeti la Tanzania Daima, aliyekuwa Mgombea Mwenza wa CCM, Dk.Mohammed Gharib Bilal aliiomba ofisi yangu iniruhusu niingie kwenye timu yake ya kuripoti mikutano yake ya kampeni ambapo tulizunguka nae mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar , na nilikuwa mwandishi wa kike peke yangu na wanaume watatu. Kampeni hiyo ya Dk.Bilal ambaye kwa sasa ndiye Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ilisababisha kwa miezi mitatu niwe mbali na Dk.Mvungi hali iliyosababisha Dk.Mvungi kuwa ananipigia simu ya kunitania huku akilalamika kuwa Dk.Bilal ametumia madaraka yake vibaya amempora ‘First Lady wake‘ ‘Happiness), yaani mimi na kwamba anakusudia kumfungulia kesi madai Dk.Bilal kwa kumpora mkewe. Baada ya kampeni za 2010 kumalizika nikarejea mtaani na nikawa naona mara kwa mara na Dk.Mvungi na kumpatia ‘umbeya’ unaondelea mitaani nay eye ananipatia taarifa za hali ya kisiasa nchini na huko mikoani walikokuwa wanazunguka wamepata maoni gani ya wananchi. Lakini ghafla nikamsikia mtu ambaye mimi na Dk.Mvungi tumekuwa tukimuita kwa utani kuwa ni mwizi wa kura za Dk.Mvungi mwaka 2005 na kwamba Dk.Mvungi ndiye alishinda kiti hicho cha urais ila kura zake ziliibwa, yaani Rais Jakaya Kikwete kamteua Dk.Mvungi kuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Sote vijana wake tulifurahia uteuzi huo na kumtakia kila la kheri katika majukumu hayo mapya na mara kwa mara nimekuwa nikienda kumtembelea katika ofisi hizo za Tume. Mara baada ya kuteuliwa tukawa hatuonani mara kwa mara kama zamani kwani alikuwa akizunguka mikoni kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba mpya. Nilikuwa nikimtania kuwa namimi nakusudia kumshitakiwa Rais Kikwete kwasababu amesababisha ndoa yangu na yeye isambaratike kwasababu tangu apewe ofisi eneo la Posta Mpya karibu na Ikulu, sisi watu wa karibu naye tumekuwa hatumuoni mara kwa mara kwani amekuwa amaliza muda mwingi kwenye vikao vya tume na kusafiri mikoani kukusanya maoni.Tunacheka baada ya kutaniana hivyo kishatunaendelea na majadiliano yetu.Dk.Mvungi ameniuma. Kwa wanaomfahamu Dk.Mvungi watakubaliana na mimi kuwa kama Taifa tumepoteza mtu aliyekuwa na mchango mkubwa sana hakika wasomi wa kozi ya sheria na kozi ya Uongozi na Utawala ambao walikuwa wakifundishwa na Dk.Mvungi,wale waliokuwa wakitetewa bure kesi zao mahakamani na Dk.Mvungi watakubaliana namimi kuwa wahuni wale wamemuua kikatiri na kinyama mpenzi wetu ambaye bado tulikuwa tukimuitaji. Baada ya uchaguzi mkuu wa 2006, Dk.Mvungi alikuwa ananiambia ametikisika kiuchumi hivyo ‘First Lady wake nisirubuniwe na mafisadi nikamtelekeza.Na alikuwa akiniambia kuwa nimepata mume mwenye kichwa kikubwa ambacho kina akili na kinafikiri sawa sawa. Alivyorudi kufundisha UDSM kufundisha na nilipokuwa naenda ofisini nakaa nae hadi wakati mwingine saa tano usiku na kisha dereva wake Emma anamrejesha Dk.Mvungi nyumbani kwake Chuo tunamuamsha mke wake Anna anamfungulia mlango na kisha anamwamuru dereva wake anirejeshe nyumbani, nilikuwa nikimshuhudia Dk.Mvungi pamoja na kazi nyingine alikuwa akiniambia anakiunda Chuo Kikuu cha Bagamoyo , kwani anautaalamu huo na kweli alikuwa akiandaa chuo hicho akishirikiana na Balozi Mahalu mimi nikiwa shahidi wa mchakato huo kwani wazo la kuanzishwa chuo hicho ni la Mahalu na Dk.Mvungi na kweli walifanikiwa hadi chuo kikaanza kufanyakazi. Kwa ufupi Dk.Mvungi muda wake mwingi alikuwa akiumalizia kazini, kujisomea, kutoa ushauri wa kisheria kwa vyama vya siasa,wananchi waliokuwa wakiito huduma hiyo na wengine walikuwa hawana fedha za kumlipa alikuwa akiwatetea bure mahakamani,alikuwa ni mtu mwenye fikra za kimageuzi,hakupenda madaraka yeye alikuwa akinieleza kuwa anapenda kuwasaidia watu kupanga mikakati safi ili watu hao waweze kupata madaraka,aliweka mbele maslahi ya wanyonge na hakuwa mtu mwenye kuwa na tamaa ya fedha na siku zote alikuwa akisema yeye hatembei wala kushika fedha,fedha zake kidogo alizokuwa nazo zinashikwa na mkewe Anna. Oktoba 29 mwaka huu,ndiyo ilikuwa ni siku yangu ya mwisho kukutana na kuzungumza kwa zaidi ya saa tatu na Dk.Mvungi ofisini kwake Tume ya Mabadiliko ya Katiba na tulipiga picha za kumbukumbu ya yeye kuwa katika ofisi hiyo mpya, nilipomtembelea ambapo nilifuatana na mdogo wangu Michael Machali alisema yeye yupo kwenye Tume hiyo kwaajili ya kukakikisha watanzania wanapata Katiba bora, na kwamba atatumia taaluma yake ya Sheria ya Katiba kuiwezesha Tume ya Jaji Joseph Warioba kufanikiwa na licha anaishi Kibamba ila anafika ofisini hapo saa 12 asubuhi na kuondoka jioni . Kumbe ndiyo ilikuwa ni siku yangu ya mwanzo na mwisho ya kumuona na kumsikia hapa duniani Dk.Mvungi.Dk.Mvungi umeniuma sana. Dk.Mvungi siku hiyo alitueleza na mdogo wangu kuwa siyo kwamba hapendi kuchukua muda mrefu kukaa na familia yake, bali dhamira yake imekuwa ikimtuma kutumia muda mwingi kwenda ofisini kuwatumikia watanzania na mara zote alikuwa akimsifu na kumheshimu Mwalimu Julias Nyerere kuwa Mungu alikuwa amewaletea watanzania kiongozi mwenye maono. Dk.Mvungi umeniuma. Dk.Mvungi hakuwa mtu anayependa makuu licha alikuwa ni mtu aliyependa haki,kuwafundisha watu , ukweli na kusimamia kile anachokiamini bila woga na unafki. Katika miaka ya karibu Dk.Mvungi alikuwa akilalamika taaluma ya habari imekumbwa na mmomonyoko wa maadili hapa nchini, kwani baadhi ya waandishi wa habari na wahariri wao wamekuwa wakiandika habari ambazo azisaidii sana maendeleo ya nchi isipokuwa kuandika habari zinazojadili tuhuma ambazo wakati mwingine ni za uzushi tu kuhusu ufisadi wa kiongozi fulani na kwamba hivi sasa baadhi ya waandishi wa habari za ufisadi wamezigeuza kama ndiyo dini yao na mara zote akawa ananiasa na kunifundisha jinsi ya kujiingiza kwenye uandishi wa aina hiyo. Nafahamu kuna wanasiasa na mawakili leo hii watakuwa wanalia na kusaga meno kwasababu ya kifo hiki , kwasababu tulipokuwa wakiitaji kuandikiwa hotuba zao za kisiasa na kufundishwa jinsi ya kujenga hoja katika mijadala mbalimbali , kuwasilisha hoja mahakamani walikuwa wakimfuata Dk.Mvungi hata usiku wa manane na Dk.mvungi alikuwa akiwasaidia na hadi leo wanasiasa hao wamekuwa na majina makubwa sana hapa nchini ila sitawataja majina.Dk.Mvungi umeniuma. Kwa wale waasisi wa mageuzi wa nchi hii ambao hivi sasa ni wazee, hawawezi kumtaja Dk.Mvungi enzi hizo akiwa ni kijana mdogo ambaye alikuwa akishiriki kikamilifu kupitia taaluma yake ya sheria katika kuakisha Tanzania inaiingia katika mfumo wa vyama vingi. Mzee James Maparara, Mabere Marando, Dk.Ringo Tengo na wengine wanajua hilo kipindi kile wanaanzisha Taasisi ya TANLET, pia nimiongoni mwa waasisi waliokisuka Kituo cha Kutetetea Haki za Binadamu(LHCR) na Baraza la Habari Tanzania (MCT) kupitia taaluma yake ya sheria.Dk.Mvungi umeniuma. Nalipongeza jeshi la polisi kwa hatua yake ya kuwakamata watu waliodai kuwa ndiyo waliomsababishia kwa makusudi kifo ‘Rais Mdhurumiwa’.Naomba jeshi la polisi na ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Dk.Eliezer Feleshi kufanya kazi yao ya upelelezi ,kukusanya ushahidi thabidi na kuandaa mashitaka kwa uweledi na kisha kuwafikisha mahakamani kwani endapo watakurupuka katika kuiandaa kesi hiyo ni wazi mwisho wa siku washitakiwa hao watakuja kuachiriwa huru na mahakama. Dk.Mvungi ni mwanasheria wa kwanza kuuwawa kinyama Hapa nchini ni Dk. Eliuther Kapinga, mwaka 2002. Kapinga aliuawa kikatili kwa kupigwa nondo kichwani nyumbani kwake, Mbezi Beach. Lakini mwisho wa siku polisi na ofisi ya DPP walifanyakazi yao vizuri ambayo ilimshawishi Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ,Juxson Mlai kuwahukumu adhabu ya kifo.Nilipata fursa ya kuudhuria kesi hii mwanzo hadi mwisho wake.Ilikuwa ni majozi wakati washitakiwa hao wakijitetea kwani walikuwa wakieleza jinsi walivyoitoa roho ya Kapinga. Mwanasheria mwengine ambaye pia alikuwa Mhadhiri wa sheria Mwandamizi wa UDSM ni Profesa Juani Mwaikusya ,Julai 14 mwaka 2010 naye alifariki kikatiri kwa kupigwa risasi akiingia nyumbani kwake eneo laSalasala, na hatimaye polisi ilifanikiwa kuwakamata watuhumiwa na kesi hiyo ilifunguliwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Nimalizie kwa kusema kuwa Watanzania kama taifa hivi sasa miongoni mwetu wenye roho katiri na ambao mnafikiri mungu haoni ukatiri na madhira mnaowafanyia waja wake,mbadilike. Acheni hiyo tabia kwani mnatuweka roho juu wenzenu na kuanza kuishi kwa wasiwasi .Kubalini kuwa mungu yupo, tena hajazeeka wala kupofuka macho na mungu wa siku hizi ni kijana anatembea na IPAD ameiunganisha na Wireles na anafanya mambo yake kisasa na analipa malipo hapa hapa dunia tena haraka sana, na nyie ipo siku atawaadhibu pamoja na vizazi vyenu.Laiti mngetambua umuhimu wa Dk.Mvungi hapa duniani aliokuwa nao msingethubutu kumtendea unyama ule.Mmemuuzia na kumuua Dk.Mvungi lakini nataka mtambue kuwa mtasababisha watu wengi waliokuwa wakimtegemea kutokana na mchango wa kazi yake waathirike zaidi na wengine waondoe kesi zao mahakamani kwasababu wamekosa wakili wakuwawakilisha mahakamani bure. Nchi hii hivi sasa badala ya watu kuumiza vichwa kubuni mambo ya maendeleo kama kuanzisha viwanda vya kutengeneza magari, ndege,Laptop sisi ndiyo tumekuwa vinara wa kubuni mipango mkakati na endelevu ya kufanyiana vitendo vya kikatili vya kutupia majini kwa bei nafuu, kumwagiana tindikali, kutekana na kujeruhiana kwa mapanga, kuzulia uongo, fitna. Tabia hizi ni mbaya sana na zinatisha kwani wahalifu hawa siku hizi wala hawakusubiri njiani wanakufuata nyumbani wanakufanyia unyama. Mmekatisha kikatiri maisha ya Dk.Mvungi ambaye alikuwa anategemewa na familia yake ikiwa ni pamoja na kuwalipia ada za shule watoto wake, kumtunza mkewe Anna na kuwapa mwongozo wanae.Dk.Mvungi ameniuma. Dk. Mvungi ameacha mke na watoto watano. Alizaliwa Novemba mosi 1952. Mwaka 1994 alitunukiwa Shahada yake ya Udaktari katika fani ya Sheria katika Chuo Kikuu cha Hamburg, Ujerumani. Mwaka 1987 alipata Shahada ya Uzamili ya Sheria katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM); mwaka 1981 alipata Shahada ya Kwanza ya Sheria UDSM. Dk. Mvungi hadi mauti yanamkuta alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Kituo cha Kutetea Haki za Binadamu (LHRC). Mmwaka 1995 hadi 2008 alikuwa Mtetezi na Mtafiti Mkuu wa Sheria na Haki za Binadamu katika Mradi wa Kituo cha Kutetea Haki za Wafugaji. Aliwahi kuwa wakili kutoka LHRC katika kesi ya Kikatiba ya kutetea wananchi wa Kijiji cha Nyamuma. Mwaka 2000 hadi 2003 alikuwa Mkaguzi wa Kitivo cha Sheria katika Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda na mwaka 2003 alishika wadhifa wa kuwa Mkuu wa Kitivo cha Sheria UDSM. Daima Dk.Mvungi nitakukumbuka kwa mambo mengi likiwemo pia vazi lako la suti kwani nitofauti sana na aina ya suti zinazovaliwa na wanaume wengi, ni wanaume wachache sana wanaovaa aina ya mtindo wa suti alizokuwa anavaa Dk.Mvung na aina ya maisha uliyokuwa ukiishi.Vijana wako umetufundisha mengi mazuri tutayafuata na mabaya tuyaacha. 0716 774494 Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Novemba 14 mwaka huu. 0716 774494: www.katabazihappy.blogspot.com

KORTI KUU ,KUMSIKILIZA SHEIKH PONDA NOVEMBA 18







Na Happiness Katabazi
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Novemba 18 mwaka huu, itasikiliza ombi la Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda linayoiomba mahakama hiyo ipitie uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro uliokataa kumfutia kosa la kwanza
Kwa mujibu wa wakili wa Ponda, Juma Nassor alilithibitishia gazeti hili kuwa ni kweli tayari mahakama imeishawapangia tayari hiyo ya kuja kusikiliza ombi hilo na tayari Jaji Rose Temba ndiye amepangwa kusikiliza ombi hilo la kufanyia mapitio.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoani Morogoro hivi karibuni alikataa kumfutia kosa la kwanza ambalo anatuhumiwa kutenda kosa la uchochezi wakati akiwa ndani ya adhabu ya kifungo cha mwaka mmoja Hali iliyosababisha Ponda kupatia Wakili wake kuwasilisa Mahakama Kuu ombi la kufanyiwa mapitio kwa uamuzi huo Kwani wanaaminj Hakimu alikosea kisheria kupatia kumfutia Ponda kosa Hilo.

Agosti 27 mwaka huu, Wakili wa Serikali Mwandamizi, Benard Kongola mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Richard Kabate alidai  kuwa Sheikh Ponda alitenda makosa ya uchochezi Agosti 10, mwaka huu saa 11.45 jioni kwenye maeneo ya Kiwanja cha Ndege, Morogoro.

Wakili Kongola alidai  siku hiyo, Ponda alialikwa akihutubia kwenye  Kongamano la siku ya  Eid lililoandaliwa na Umoja wa Wahadhiri Mkoa wa Morogoro (Uwamo) na kwamba akiwa hapo alitamka maneno : “Ndugu Waislamu, msikubali uundwaji wa kamati za ulinzi na usalama za misikiti kwani kamati hizo zimeundwa na Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), ambao ni vibaraka wa CCM na Serikali na kama watajitokeza kwenu watu hao na kujitambulisha kwamba wao ni kamati za ulinzi na usalama za misikiti, fungeni milango na madirisha ya misikiti yenu na muwapige sana,” huku akijua kutoa maneno hayo ni kosa kisheria.

Alidai  kwa kufanya hivyo, Sheikh Ponda ambaye anatetewa na wakili Juma Nassoro, alivunja masharti ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, ambayo Mei 9 mwaka huu, ilimtia hatiani kwa kosa moja la kuingia kwa jinai katika kiwanja cha Chang’ombe Markas, na mahakama ikamfunga kifungo cha nje kwa masharti ya kumtaka Ponda awe mtu mwema na asijihusishe na vitendo vya uvunjifu wa sheria.
 
Katika shtaka la pili, Sheikh Ponda anadaiwa kuwashawishi wafuasi wake kutenda kosa la jinai kwa kuwaambia: Serikali ilipeleka jeshi Mtwara kushughulikia suala la vurugu iliyotokana na gesi kwa kuwaua, kuwabaka na kuwatesa wananchi kwa sababu asilimia 90 ya wakazi wake ni Waislamu, lakini haikufanya hivyo kwa wananchi wa Loliondo waliokataa Mwarabu asipatiwe kipande cha ardhi ya uwindaji baada ya kudai ni mali yao kwa sababu asilimia 90 ya wakazi wake ni Wakristo.” Shtaka la tatu ni kudaiwa kutamka maneno yaliyoumiza imani ya watu wengine kama yalivyo katika shtaka la pili.

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Novemba 14 Mwaka 2013.
 

RAIS KIKWETE AMTEMBELEA MKE WA DK.MVUNGI


Na Happiness  Katabazi.          

Rais Jakaya Kikwete   na Mkewe Salma Kikwete  Jana  walifika nyumbani kwa marehemu Dk.sengondo Mvungi kwaajili ya kuani msiba.

 Rais kikwete walifika nyumbani kwa Marehemu saa Sita mchana na kupatiakana fursa Kumpa pole Mke wa Marehemu  Anna Mvungi na kuwachafua pole wananch wa Kama to faith walifika nyumbani kwa Marehemu kibamba majohe.

Hata hivyo rais Kikwete akuzungumza chochote zaidi yakekuonekana ni Mwenye uzuni.na Kisha aliondoka na kupelekea Kwenye majukumu mengine ya ujenzi wa taifa

Baadhi ya viongozi na watu awalikuwepo msibani hapo na waliokuwa wakimfahamu Dk.mvungi akiwemo rafiki yake ambaye ni mjumbe mwenzake wa time ya mabadiliko ya Katika na Mwenyekiti wa bodi ya chuo kikuu cha UB, Profesa Paramaganda Kabudi



Alisema Marehemu alikuwa ni MTu miwili, siyo mnafki na Aliyekea akisimamia kill alichokiami.

"Dk.mvungi alikuwa mean disk mwenzangu Katika Gazeti la mzalendo,pia alikuwa ni mc wa Harusi yangu na Balozi costa MAHALU alikuwa ni Dereva wa Gari la Harusi yangu...Marehemu alikuwa akiwapenda na kuwaheshimu watu wa kariba zote hakuwa na tamaa ya Mali wala madara alikuwa ni MTu aliyejitoa kusaini watu, taifa limepoteza MTu minimum"Alisema Profesa kabuki ambaye n I msomi wa Sheria.

Kwa upande wake naibu waziri wa Sheria na kariba Angela Kairuki Alisema Dk.Mvungi Alikuwa ni gwiji la Sheria nchini ambaye alifutiwa taaluma yake kusaidia wengine,
Naye Makamu Mkuu wa chuo Kikuu cha Bagamoyo,Profesa Costa Mahalu alisema  amesikitishwa na kifo hicho Kwani Mvungi ni Mdogo wake kiumri na kwamba yeye na Marehemu Ndiyo walioanzisha wazo la kuanzisha chuo kikuyu Bagamoyo.

"Kwaniaba ya UB ,napenda kutoa pole kwa taifa na familia ya Marehemu kwa kumpoteza Mtu muhimu kweli"" Alisema Profesa Mahalu.

Naye Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi   James Mbatia Alisema   Mwili wa   Dk.mvungi unatarajiwa kuletwa nchini Kesho kutokea nchini Afrika Kusini   na Jumamosi asubuhi itafanyika misa ya kumuombea mahemu itakayofanyika katika kanisa la St.Joseph na itakapofika saa sita mchana mwili huo utatolewa heshima mwisho katika viwanja vya Karemjee na kisha mwili huo kwenda kuifadhiwa nyumbani kwake Kibamba na itakapofika Jumapili asubuhi mwili  utasafiishwa Kwenda Kisangara  juu Upareni wilayani Same kwaajili kuzikwa , Jumatatu ijayo. 

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Novemba 14 Mwaka 2013


DK.SENGONDO MVUNGI AFARIKI DUNIANI



Na Happiness Katabazi
MWASISI wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo(UB), Dk.Adrian Sengondo Mvungi amefariki dunia jana katika Hospitali ya nchini Afrika Kusini alikokuwa amepelekwa kwaajili ya matibabu zaidi.

Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho cha Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, mtoto mkubwa wa marehemu ambaye ni Mkuu wa Shule ya Sheria wa (UB), Dk.Natujwa Mvungi alisema alifarki saa 9:30 Alasiri  katika hospitali hiyo ambako aliamishiwa Novemba 8 mwaka huu, akitkea katika wodi ya wagonjwa mahututi ya Taasisi ya Mifupa Moi  Dar es Salaam ambako alilazwa tangu Novemba 3 mwaka huu na kwamba msiba utakuwa nyumbani kwa marehemu Kibamba.

Itakumbukwa kuwa usiku wa kuamkia Novemba 3 mwaka huu,watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi walivamia nyumbani kwa Dk.Mvungi huko Kibamba Kata ya Mpiji Magohe ambaye kabla kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Tume hiyo alikuwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo  na kumjeruhi vibaya kwa mapanga usoni na kichwani na kumsababishia kupoteza fahamu na kisha kukimbizwa katika Hospitali ya Tumbi usiku huo wa saa saba na kisha kuamishiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Dk.Mvungi ameacha mke aitwaye Anna na watoto wa tano.Alizaliwa Novemba Mosi mwaka 1952.Mwaka 1994 alitunukiwa Shahda yake ya Udaktari katika fani ya Sheria katika Chuo Kikuu cha Hambury ,Ujerumani.Mwaka 1987 aliipata shahada ya sheria  ya pili katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na mwaka 1981 alipata shahada yake ya kwanza  UDSM.

DK.Mvungi hadi umauti unamkuta alikuwa ni Mjumbe wa Bodi ya Kituo ya Kutetea Haki za Binadamu(LHRC), mwaka 1995-2008 alikuwa ndiye mtetezi na mtafiti mkuu  wa Sheria na Haki za Binadamu  katika mradi  wa kituo cha kutetea haki za wafugaji .Aliwai kuwa wakili toka LHRC katika kesi ya Kikatiba ya kutetea wananchi wa kijiji cha Nyamuma.Mwaka 2000/2003 alikuwa Mkaguzi wa kitivo cha Sheria katika Chuo Kikuu cha Makerere Uganda na mwaka 2003 alishika wadhika na kuwa Mkuu wa Kitivo cha Sheria UDSM.

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Novemba 13 Mwaka 2013

HAPPINESS KATABAZI NA DK.MVUNGI KATIKA PICHA ENZI ZA UHAI WAKE

Happiness Katabazi na marehemu Dk.Sengondo Mvungi, katika Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Oktoba 29 mwaka 2013.




PIcha zote hizi zilipigwa na mdogo wangu Michael Machali Oktoba 29 mwaka huu, saa moja asubuhi katika ofisini kwa marehemu Dk.Sengondo Mvungi ambapo mimi na mdogo wangu alitutaka tufike ofisini kwake muda huo kwaajili ya maongezi binafsi na Dk.Mvungi alinipatia vitabu mbalimbali vya kisheria ambavyo alisema vitanisaidia katika kozi yangu ya sheria. Kumbe ndiyo ilikuwa ni siku ya mwisho ya mimi kuonana na kuzungumza na Dk.Mvungi hapa duniani kwani usiku wa kuamkia Novemba 3 mwaka huu, ndipo alijeruhiwa na Novemba 12 mwaka huu, ndiyo karafiki hospitalini huko nchini Afrika Kusini.Nimeumizwa sana na kifo hiki cha mzee wangu na mwalimu wangu.



Happiness Katabazi 'First Lady' na marehemu Dk.Mvungi siku ya uzinduzi wa kozi ya kuwanoa watetezi wa haki za binadamu katika nchi za Afrika Mashariki(AKIBA UHAKI),.Sherehe za uzinduzi huo zilifanyika katika Chuo Kikuu cha Bagamoyo eneo la Kawe Beach ,mimi na Dk.Mvungi ambaye ni mwasisi wa chuo hicho tuliudhulia Septemba mwaka huu kama mnavyotuona pichani.(Picha na Francis Dande).

HASSANOR WA COREFA APANGUA KESI YA KWANZA



HASSANOR  WA COREFA APANGUA KESI YA KWANZA 
Na Happiness Katabazi

HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Da es Salaam, ilimwachiria huru Mwenyekiti wa Chama Cha Mpira wa Soka Mkoa wa Pwani(COREFA), Hassan  Othaman  Hassan " Hassanoo"  Na wenzake ambao waliokuwa wakikabiliwa na Kesi ya jinai namba  209/2011 ya wizi wa madini aina ya Kopa  yenye Thamani ya sh.milioni 400 kwa maelezo kwa upande wa jamhuri umeshindwa kuthibiisha kesi hiyo.

Katika Hague nyingine nudge,Jamaa ,wanachama wa COREFA, wanahabari walilalamikia Hatua ha Hakimu Fimbo kutoa hukumu ya Kesi Katika chemba Hali iliyosababisha wanahabari, na watu wengine Wengi kushindwa kuingia Kwenye chemba hiyo kusikiliza hukumu hiyo  ambayo ilisababisha umati wa watu kufurika Mahakamani hapo tangu asubuhi na kumshaur Hakimu Huyo ajue kusoma baraka za nyakati na Gazeti Hilo lilishuhudia Kumbi za wazi za Mahakama hiyo Zikiwa wazi Hali iliyosababisha watu kuhoji ni kwanini Hakimu Huyo ameshindea kusoma hukumu hiyo Kwenye Kumbi wa wazi.

Hukumu hiyo ambayo imeandaliwa na Hakimu Mkazi Devota Kisoka na kusomwa kwa niaba yake na Hakimu Mkazi Sundi Fimbo , alianza kwa kuikumbusha Mahakama kuwa washitakiwa waliokuwa wakikabiliwa na jumla ya makosa Tatu ya kula Njama,kupatiakana na Mali wizi ambayo ni madini ya Kopa na wizi wa madini hayo.

Hakimu Fimbo Alisema Kabla Mahakama kutoa hukumu yake ilijiuliza maswali matatu ambayo , je washitakiwa waliokuwa Njama Kutenda kosa?, je ni kweli washitakiwa walikutwa na Mali ya wizi? Na je ni kweli washitakiwa waliiba madini hayo?.

Alisema Katika swali la kwanza la Kama kweli washitakiwa walikula Njama, Mahakama Imeona upande wa jamhuri katika harakati zake za kataka kuthibitisha Kesi yake ulileta jumla mashahidi 13', Mahakama Imeona upande wa jamhuri umeshindwa kuleta ushahidi wa kuthibitisha washitakiwa walitenda kosa kwani Hakuna ushahidi uliotelewa unaonyesha washitakiwa waliwai kukukutana na wakapanga Njama za Kutenda makosa hayo.

Hakimu Fimbo Alisema kuhusu swali la pili la endapo washitakiwa walipatikana na Mali ya wizi, Hakimu Huyo Alisema awali Kesi hiyo ilipofunguliwa ilikuwa na jumla ya washitakiwa wa nane lakini baadae mshitakwa mmoja (said.mohamed) alifutiwa Kesi hiyo na mkurugenzi wa mashitaka(DDP),Dk.Eliezer Feleshi.

"Mahakama hii ilitegemea Dereva wa roli ambayo Kopa iliyokuwa Kwenye roli Alegre mahakamani na upande wa jamhuri ili aje atoe ushahidi, lakini hakuweza kuletwa kutoa ushahidi  " Alisema Hakimu Fimbo.

Kuhusu swali la Tatu Hakimu Fimbo Alisema Mahakama ilijiuliza Kama kweli washitakiwa waliiba madini hayo ya Kopa, Alisema mshitakwa wa kwanza na wa pili(Wambura na HASSANOR) hawakupaswa mashitakiwa kwa kosa Hilo la Tatu la wizi kwasababu wao siyo Wamiliki wa godauni la  na kwamba hawakuwepo siku ya tukio na mmilikk wa godauni hakuwepo siku ya tukio na pande zote haikuwa na ubishi Katika hilo na Hakuna Shahidi wa upande wa jamhuri Aliyewaona washitakiwa wakiiba madini hayo ya Kopa.

  "Kwa maelezo hayo hapo juu Mahakama hii inawaachiria HURU washitakiwa wote kwasababu upande wa jamhuri umeshindwa kuthibitisha Kesi yake" Alisema Hakimu Fimbo.
Itakumbukwa kuwa Desemba 24 Mwaka Jana, JAJI wa maHakama Kuu kanda ya Dar es. salaam, zainabu mruke. Alitupilia Mbali ombi la HASSANOR lililokuwa linaimba Mahakama Kuu impatie dhamana Katika Kesi nyingine inayomkabilk ya kusafirisha pembe za ndovu kwenda Hong Kong China zenye Thamani ya sh billioni  1.1 ambayo ipo Kwenye Mahakama ya Kisutu pia.

JAJI mruke Alisema Amekataa Kumpa dhamana kwasababu  HASSANOR ambaye wakati yupo nje kwa dhamana kwa Kesi aliyoshinda Jana ya wizi wa Kopa, aliterate makosa ya kusafirisha Pemba za ndovu na hivyo alimnyima dhamana na hadi sasa HASSANOR anaishi Katika gereza la keko wakati waliokuwa washitakiwa wenzake Katika Kesi waliyoshinda Jana ya wizi wa Kopa Dk.Najim na Wambura Mahenge waliokuwa nje kwa dhamana.

Licha ya HASSANOR kushinda Kesi hiyo Moja back Anakabiliwa na Kesi nyingine hivyo HASSANOR amerejeshwa gerezani.

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Novemba 2013