Header Ads

TUMEFUZU MAFUNZO HABARI ZA UCHUNGUZI(IJ)



Nikiwa na waandishi wa habari toka vyombo Tanzania Bara na Visiwani, kwenye picha ya pamoja baada ya kuitimu mafunzo ya habari za uchunguzi(IJ)yaliyofanyika Juni 14-18 mwaka huu, Zanzibar Ocean View Hoteli, Zanzibar ambayo yaliandaliwa na Umoja wa Mataifa(UN-Tanzania), UNESCO na Kuratibiwa na Shule ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(SJMC).

No comments:

Powered by Blogger.