HAWA NDIYO WALIOILETEA SERIKALI USHINDI KESI YA SAMAKI WA MAGUFULI
Kushoto ni wakili Mkuu wa Serikali Dk.Deo Nangela, Biswalo Mganga na Hamidu Mwanga ambao walikuwa wakiiwakilisha serikali katika kesi ya uvuvi haramu katika Ukanda wa Tanzania na kufanikisha serikali kushinda kesi hiyo leo.
No comments:
Post a Comment