Header Ads

KARIBUNI WASOMAJI WANGU KATIKA SAFU HII

Ndugu Wasomaji,
Kwa mara nyingine tena ni yuleyule mwandishi wako mwenyefikra za Kimapinduzi Happiness Katabazi, nimejitokeza tena katika ulimwengu wa Sayansi na Teknolojia kwaajili ya kuwaletea makala za uchambuzi wa masuala mbalimbali hususani chambuzi za siasa hapa Tanzania.

Katika safu hii nitakuwa nikiwaletea chambuzi wasomaji wangu napia natoa nafasi kwenye ya kutoa maoni kuhusu makala hizo pia nakaribisha pongezi na mawazo mbadala kutoka kwenu

Naamini mtajifunza kupitia makala zangu nami pia nitajifunza kutokana na mawazo yenu.

Napatikana kwa simu Na:
0755 312859

ASANTENI

1 comment:

Anonymous said...

Tumekusikia ila kuna maswali hapa,je?umeolewa?
una mchumba?

unaishi wapi?

Powered by Blogger.