Header Ads

DPP AMWANGUSHA ZOMBE KORTINI





Na Happiness Katabazi
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam,imekubali ombi la mkurugenzi wa mashitaka lililokuwa linaiomba mahakama hiyo iwaongezee muda wa kupata rural katika mahakama ya rufani nchini kupinga hukumu iliyotolewa na mahakama kuu kanda ya dar es salaam Agosti 17 mwaka 2009 ambayo ilimwachiria huru aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam, kamishna msaidizi wa polisi, Abdalah zombe na wenzake ambayo walikuwa wanakabiliwa na kesi ya mauaji.
Uamuzi huo ulitolewa jana na JAJI Aloyisius Mujuluzi ambapo Alisema Dpp aliwasilisha ombi la kuomba mahakama umwombe zee muda wa kukata rufani kwa sababu muda wa kupata rufaa ulikuwa umeishapita kwa sababu April 22 mwaka huu, mahakama ya rufaa ili panga kuanza kusikiliza rufaa hiyo ya Dpp lakini mahakama hiyo ilijikuta ikishndwa kuanza kuisikiliza kwa sababu siku hiyo mahakama ilibaini hati ya kukatia rufaa ilimtambulisha jaji aliyekuwa ameitoa hukumu hiyo ni jaji wa mahakama ya rufaa,na hivyo ikafutwa rufaa hiyo na kuelekeza Dpp akaombe ombi la kuomba kuongoza wa muda wa kukatia rufaa pindi wanapoona wanataka kukata rufaa.
JAji mujulizi alisema rufaa ni haki ya kila mtu na nina haki ya umma na haki hiyo imeanishwa wazi katika ibara ya 13(6)(a) ya Katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, na kwamba umma katika katika kesi za jinai unawakilishwa na Dpp, hivyo mahakama hiyo kwa kuzingatia mazingira ya kesi hiyo ya zombe kwa ina maslahi ha taifa, watu walichuku loa tofauti hukumu ile iliyowaachilia huru na kwamba kesi hiyo ina tofauti na kesi nyingine kwani kesi hiyo ilisababisha Rais Jakaya kikwete kuunda tume ya ku chunguza mauji ya watu wanna ambao zombe na wenzake watalisaidia kuwaua.
"Hivyo mahakama hii I naona ni Vyema itatoka ruhusa kwa Dpp skate rufaa katika mahakama ya rufaa ili hayo mahakama ya rufaa hayo hukumu yake kwani hukumu ya kuwa choirs huru iliyotolewa na mahakama kuu ilibua maneno na hisia tofauti"alisema JAJI mujulisi.
Aidha jaji mujulisi alisema mahakama yake impatia Dpp nyongeza ya siku 14 za kukata rufaa ambazo siku hizo zinaanza kuhesabika yangu jana.
Hata hivyo JAJI mujuluzi alitupilia mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na wakilk Denis Msafiri ambapo liliomba mahakama hiyo itupilie mbali ombi Hilo la Dpp la kuomba aongezewe muda wa kukata rufaa kwa sababu hati za viapo vilivyoapwaa na wakili Alexander mzikila kwaniaba a ofisi a Dpp haionyeshi mzikila anawadhifa gani katika ofisi ya Dpp na kwamba hati hiyo Imeonyesha mhuri unaonyesha mzikila alikuwa ikapoteza chini ya ofisi wa mahakama mwenye nyadhifa mbili yaani kamishna wa Kiapo na hakimu mkazi hivyo Kiapo hicho ni batiri.
JAJI mujuluzi alisema suala la kuthibitisha Kiapo hicho kuwa ni batiri au la lilikuwa linahitaji kutokuwa ushahidi na wakili Msafiri ambao ungeishawishi mahakama ions hati hiyo ina kasoro hiyo lakini wakili Msafiri alishindwa kuleta ushahidi unaonyesha hati hiyo ni batiri na haistahiri kupokelewa na mahakama hivyo JAJI huyo anatupilia mbali pingamizi Hilo.
Katika hatua nyingine mahakama ya hakimu mkazi Kisutu, imeshindwa kumtoa hukumu ya kesi ya mauji patia fedha kwa njia ya udanganyifu inayomkabili waziri wa zamani, Arcado Ntagazwa kwa sababu upande wa jamhuri ulichelewa kuwasilisha majumuisho yake ya mwisho kama walivyotakiwa na mahakama hiyo wawasilishe majumuisho yao oktoba 3 na baraka yake wake wasioliona Leo majumuisho hayo wakati Leo kesi hiyo ilikuja kuwasajili ya kutokuwa hukumu na hivyo hakimu mkazi Gene Dudu akasema hataweza kumtoa hukumu hiyo kwa sababu hajaindaa na hivyo anaiarisha kesi hiyo hadi oktoba 25 mwaka huu, itakapokuja kwaajili ya kumtoa hukumu.
Wakat huo huo upande wa jamhuri katika kesi ya kutaka kumdhuru mhariri wa Gazeti la mwanza nchi Denis Msaki inayomkabili kiongozi wa chadema,Wilfred Rwakatare umesema upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na mawakili wanaomtetea lwakatare wameiambia mahakama kuwa lwakatare bado ni mgonjwa ndio maana ameshindwa kufika mahakaman na hakimu allocate Katemana aliairisha kesi hiyo hadi Oktoba 15 mwaka huu,itakapokuja kwaajili ya kutajwa,.
Chanzo;Gazeti la Tanzania Daima la Ijumaa,Oktoba 18 mwaka 2013



No comments:

Powered by Blogger.