Header Ads

DK.EDWARD HOSEA OUT TAKUKURU








: Kweli yaliyomkuta Boko na Mamba pia yatamkuta kwasababu wote wanaishi Kwenye Maji.

Katika utawala wa Dk.Hosea aliongoza hatua za kimaendeleo za taasisi hiyo zikapatikana ikiwemo upatikanaji wa jengo la makao makuu ya Takukuru,ofisi za Taasisi hizo kujengwa kwa wingi kwenye wilaya,main USA. wengi kupelekwa vyuoni kujiendeleza kielimu na mambo mengi.
Hata hivyo chini ya utawala wake kuliibuka malalamiko ya taasisi hiyo kubambikia baadhi ya wananchi kesi,rushwa.

Ila mimi binafsi nasema licha Dk.Hosea kaondolewa kwa fedhea katika nafasi hiyo ila kuna mazuri aliyafanya yanaitaji kuenziwa na kuendelezwa na mabaya aliyozembea yakafanyika tusiyafuate .

Namtakia kila la kheria Dk.Hosea katika maisha yake mapya atakayoyaanza mazuri aliyoyafanya serikalini yaheshimie na yaendelezwe siamini kipindi chote cha miaka 10 ,akiwa na wadhifa alitenda mabaya.

By Hap



No comments:

Powered by Blogger.