Header Ads

TUNASUBIRI HIVI HUKUMU YA BABU SEYA-MAPAPARAZI




Happiness Katabazi nikiwa na waandishi wenzangu wa Habari za Mahakama nchini, (kulia)ni Rose Mirondo wa Gazeti la The Guardian na Faustine Kapama wa Daily News, jana asubuhi ndani ya ukumbi wa Mahakama ya Rufani Tanzania Dar es Salaam, tukisubiri kuanzwa kusomwa kwa hukumu ya rufaa ya mwanamuziki mahiri nchini Nguza Viking(Babu Seya na wanaye watatu).Hata hivyo mahakama hiyo iliwahukumu kifungu cha maisha jela Babu Seya, Papii Kocha na kuwaachiria huru Francis Mbangu(Chichi)na Nguza Mashine.
Picha imepigwa Februali 11 mwaka 2010.

No comments:

Powered by Blogger.