Header Ads

MWANAHALISI WAVAMIWA OFISINI


Nikimjulia hali Mshauri Mkuu wa Habari wa Gazeti la Mwanahalisi , Ndimara Tegambwage nyumbani kwakwe Tegeta Machakani ,ambaye Januari 5 mwaka huu, alijeruhiwa kwa mapanga na watu wasiofahamika wakati wakiwa katika ofisi za gazeti hilo zilizopo katika eneo la Kinondoni Vijana Dar es Salaam,ofisini wakiandaa gazeti hilo.(Picha na Francis Dande)

No comments:

Powered by Blogger.