Header Ads

POLE KUBENEA ,HAYO NDIYO MATOKEO YA KUTETEA HAKI


Nikimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Halihalisi Publishers, inayotoa gazeti la Mwanahalisi na Mseto, Saed Kubenea, Januari 6 mwaka huu, wakati akizungumza na waandishi wa habari ambao tulifika katika wodi ya Sewahaji ambako alilazwa baada ya kujeruhiwa na kumwagiwa tindikali usoni na watu wasiofahamika Januari 5 mwaka huu, ofisini kwake Kinondoni. (Picha na Francis Dande)

No comments:

Powered by Blogger.