Header Ads

SIKU NILIPOHITIMU KOZI YA USALAMA NA UTAMBUZI...


Mwandishi wa Habari za Mahakamani wa Gazeti la Tanzania Daima, Happiness Katabazi akipokea cheti kutoka kwa Ofisa wa The Protection Desk of Uganda, Yona Wanjala baada ya kuhitimu mafunzo ya Usalama na Utambuzi wa Mazingira hatarishi kwa watetezi wa haki za binadamu yalifofanyika katika Hoteli ya East African All Suit, mkoani Arusha, mwishoni mwa wiki.Mafunzo hayo yaliandaliwa na kufadhiliwa na The Protection Desk Of Uganda. (Picha na Mpiga Picha).

No comments:

Powered by Blogger.