Header Ads

'VIROBA' VYA WAFIKISHA KORTINI


 Na Happiness Katabazi

WAFANYABIASHARA Wawili Jana walifikishwa Katika Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam , wakikabiliwa na kosa Moja la kuuza Katoni 216 za Pombe halisi Maarufu "Viroba" zinazoonyesha zimetengenezwa na kampuni ya Mega Trade Ltd , jambo AMBAlo sio kweli.

Wakili Mwandamizi wa serikali, Joseph Mahugo  ya Hakimu Mkazi Augusta Mbando akiwa taja washitakiwa Hao Kuwa ni Elizabeth Masawe na Frank Rudika  na kwamba Novemba Mwaka 2011 walikamatwa na Viroba hivyo huko eneo la Keko Magurumbasi Jijini Dar es Salaam  kinyume na Sheria Ya Bidhaa  iliyofanyiwa marekebisho No.5 ya Mwaka 2005 na kwamba  Kwamba upelelezi wa Kesi hiyo bado haujakamilika na washitakiwa walikanusha Shtaka 

Hakimu Mbando Alisema ili mshitakiwa speed DHAMANA nilazima awe na mdhamini wa huakika atakaye SAINI BONDO ya sh. Milioni tano, Shari AMBAlo lilitimizwa na washitakiwa Hao na wakapata DHAMANA na Kesi hiyo imearishwa hadi Aprili  4 Mwaka huu, itakapokuja kwaajili ya kutaka.

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Machi 13 Mwaka 2014

No comments:

Powered by Blogger.