Header Ads

DK.JOHN MAGUFULI AWA RAIS WA TANZANIA



RASMI:
Dk.John Magufuli (CCM) kura 8,882,935 sawa na 58.46% na Edward Lowasa (Chadema) kura 6,672,848 sawa na  39.97%.  Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Leo  imemtangaza rasmi Dk. Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kila la heri Rais Magufuli. #HapaKaziTu
29/10/2015.


No comments:

Powered by Blogger.