Header Ads

NYUMBA YA ASILI KABILA LA WANYAMBO


Hii ni nyumba ya kiasili ya Kabila la Wanyambo ambao ni wenyeji wa Wilaya ya Karagwe na Kyerwa mkoani Kagera.Nyumba hii imejengwa kwa michango ya Wanyambo waishio jijini Dar es Salaam, ndani ya Kijiji cha Makumbusho,Kijitonyama kwaajili ya matumuzi ya kudumisha mila na desturi la Kabila hilo ambalo Ijumaa ya Januari 21 mwaka 2011, inafanya tamasha la kabila letu la Wanyambo(Picha na Happiness Katabazi)

No comments:

Powered by Blogger.