Header Ads

BRAVO RAIS KIKWETE KWA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI





Na Happiness Katabazi
NAMPONGEZA Rais Jakaya Kikwete  KWA kutangaza Baraza la mawaziri Jana.Nampongeza Kwasababu licha ya kelele, majungu ,fitna za watu kupaka Matope baadhi ya mawaziri na manaibu mawaziri waliokuwa Kwenye Baraza la mawaziri la awali Kuwa ni mizigo tena bila kuainisha ushahidi unaonyesha mawaziri na manaibu wale Kuwa ni mizigo.

Rais Kikwete amepuuza kelele hizo Kwani ana mamlaka ya kufanya hivyo pindi anapoona Madai hayo hayana  Msingi  na ni maneno ambayo yaliolewa na watu waliokuwa na ajenda zao

Kwa uamuzi huo wa Rais Kikwete wa kupuuza tuhuma hizo, ni ushahidi sasa Rais Kikwete amekomaa kisiasa na kiuongozi na kwamba hayumbushwi tena na  tuhuma zinazoelekezwa  kwa baadhi  ya watendaji wake ambazo wakati mwingine tuhuma hizo zimekuwa size kweli.

Nawapongeza mawaziri na mawaziri walioteuliwa na ninawaomba wafanyakazi kwa mashahidi ya taifa.Nawapa pole wale manaibu na mawaziri waliochwa Katika Baraza jipya.Wakubaliane na halisi na wa shukuru MUNgu kwa kila jambo.

Mwisho nawaasa waandishi we zangu Kuepuka kuandika Habari zinazowataja  Hao mawaziri walioteliwa Jana Kuwa ni mizigo kwasababu, anaweza kutokea waziri mmoja anatatutwa  Wakili akalifungulia Kesi ya Madai Gazeti husika akitaka adai alipwe mabilioni ya Fedha kwa kuchapisha Habari ya kumdhalisha Kwa kumuita waziri Mzigo.

Nina huakika itaviwia vigumu vyombo va Habari kupelekea ushahidi mahakamani wa Kuonyesha waziri Huyo ni Mzigo,mtaishia Kusema Kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye ndiye aliyetaja  Majina ya mawaziri mizigo na sijui Huyo Nape Kama atakubali Kuwa shahidi wenu Katika Kesi hizo.
Vyombo Vya Habari Tujiepushe kuziamini na kuzialalalisha kauli za baadhi wanasiasa wanazozitoa bila kuziamini mAana Mwisho wa siku Gazeti ndilo litakalopata madhara.




No comments:

Powered by Blogger.