Header Ads

HUKUMU KESI YA KIBANDA NI LEO


Na Happiness Katabazi

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam   Leo inatarajia kutoa hukumu Katika  kesi ya kuandika na kuchapisha makala ya uchochezi inayomkabili aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda na wenzake.

Mbali na Kibanda washitakiwa ni  Meneja uendeshaji  Biashara  wa kampuni ya Mwananchi Communication Ltd, Theophile Makunga na   mwandishi wa safu ya (Kalamu ya Makamba. Samson Mwigamba AMBAPO Makala hiyoninayodaiwa Kuwa ni a uchochezi ilikuwa na kichwani Cha Habari kisemacho  ( Waraka maalum KWA Askari wote). AMBAPO upande wa jamhuri Katika Kesi hiyo unaowakilishwa na Wakili wa serikali Prosper Mwangamila unadai Kuwa mAkala hiyo ilikuwa Inawashawishi Askari wasitii amri za viongozi wao ambayo ilichapisha Novemba 30 Mwaka 2011.

Hakimu Waliarwande Lema Leo Ndio anatarajiwa kutoa  hukumu hiyo ambayo inasubiri wa KWA shahuku kubwa na WADAU wa Habari nchini.

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Januari 29 Mwaka 2014









No comments:

Powered by Blogger.