Header Ads

JAJI MKUU ARUSHA KOMBORA



Na Happiness Katabazi
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman  amesema Kesi za oparesheni tokomeza ujangili hazikufunguliwa wala kuamriwa porini bali zilifunguliwa na kusikilizwa kwa mujibu wa sheria katika mahakama.

Jaji Othman aliyasema hayo Jana Katika mkutano wake na waandishi wa Habari Dar es salaam , pamoja na mambo mengi alikuwa akizungumza kelele Cha maadhimisho ya siku ya Sheria nchini AMBAPO Alisema yatafanikiwa Februali 3 Mwaka huu na KWA Dar es Salaam. Yatafanyika katika Viwanja Vya jengo JIPYA la Mahakama ya Tanzania vilivyosababisha MTAA wa Chimala karibu na Hoteli ya Souther Sun AMBAPO mgeni rasmi atakuwa ni Rais Jakaya Kikwete na kwamba maudhui ya Mwaka huu ni " Utendaji Haki Kwa wakati:" " Umuhimu  wa ushiriki wa Wadau".

JAJI Othman Alisema itakumbukwa Kuwa operesheni tokomeza ujangili  ilianza Oktoba 4  na ikasitishwa Novemba MOSI Mwaka Jana,  na kwamba zaidi ya Kesi 516  zilifunguliwa mahakamani na Kati  ya hizo  Kesi 198 zilisikilizwa  na kumalizika na kwamba hiyo ni sawa na asilimia. 38.37 (38.37).
Alisema  Mashitaka mengine yalikuwa yakiitaji   Kibali cha Mkurugenzi wa Mashitaka(DDP), Dk.Eliezer Feleshi  na kwamba Kesi hizo zilifunguliwa kwa Sheria mbalimbali na kwamba Kesi hizo ziliendeshwa ndani ya Mahakama na siyo Porini na kwamba Kesi hizo zilisikilizwa NGOzi ya Wilaya  .

"Nataka umma utambue Kesi hizo zilizofnguliwa kutokana na operesheni tokomeza ujangili hazikusikilizwa Porini silisikilizwa na kuamtiwa mahakamani na sema hivyo kwasababu kuna baadhi ya taarifa zinaripotiwa zinaionyesha utafikiri  Kesi zilizisikilizwa Porini  wakati zilifunguliwa na kusikilizwa mahakamani....ieleweke Kuwa Mahakama ipo KWA Wakili ya kutoa Haki na kutafsiri sheria na ipo kwaajili ya kuzisikiliza pane zote mbili bila kibarua"Alisema Jaji Othman.

Aidha Alitoa onyo KWA wananchi ambao wamekuwa na tabia ya kujichukulia Sheria mkononi KWA Kuchoma mahakama na kwamba vitendo hivyo vim sana kushika Kasi tangu Mwaka 2012 na kwamba jumla ya Mahakama nne za mwanzo zimechomwa MOTO na kwamba waliousika na kitendo hicho ni uhalifu na AnAsababisha Haki za watu kupotea na kuchelewa na hukusababishi watuhumiwa kuachiwa Huru.

Hata hivyo Alisema Mahakama yake bado I naendelea na Mpango wake wa Kujenga na kukarabati Mahakama za mwanzo nchini Kwani Mahakama za mwanzo Ndio kioo Cha Mahakama.

Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi , Jumatano, Januari 29 Mwaka 2014

No comments:

Powered by Blogger.