Header Ads

HAPPY BIRTHDAY DEAR HAPPINESS



Nikilishwa keki na mwanangu, Queen Mwaijande,siku ya Sikukuu ya Kristmas Desemba 25 mwaka huu, ambayo pia siku hiyo ni siku yangu yakuzaliwa na nilikuwa nikisherehekea kutimiza miaka 30 ya kuzaliwa kwangu iliyoambatana na tafrija fupi nyumbani kwetu Sinza C, jijini Dar es Salaam.

No comments:

Powered by Blogger.