Header Ads

MAPAPARAZI TUKISAKATA NGOMA ZA OTTU JAZZ


Kulia ni mpiga picha wa Gazeti la Tanzania Daima, Francis Dande,na mpiga Picha wa Gazeti la Mwananchi, Kassim Mbarouk na kusho ni Happiness Katabazi, tukisaka kibao cha Nitakazamoyo,kilichokuwa kikiporomoshwa na bendi ya OTTU Jazz katika Bonanza hilo la Waandishi wwa Habari katika ukumbi wa Msasani Beach Club jijini, Desemba 5 mwaka 2009

No comments:

Powered by Blogger.