Header Ads

HAPPINESS Vs Dk.GHARIB BILALI


Nikifurahia jambo na Waziri Kiongozi Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) ambaye pia ni mgombea kiti cha urais visiwani Zanzibar, Dk. Mohamed Gharib Bilal,nyumbani kwake Mazizini Juni 26 mwaka huu, ikiwa ni saa chache baada yake kiongozi huyo kurejesha fomu katika Makao Makuu ya CCM-Kisiwandu na kisha kwenda kuwashukuru mamia ya wafuasi na mashabiki wake katika viwanja vya Mwembekisonge wilaya ya mjini Magharibi.(Picha na Mhidini Sufiani)

No comments:

Powered by Blogger.