Header Ads

TUNAWASIKILIZA PACT TANZANIA


Kulia ni mwandishi mwenzangu wa Habari za Mahakamani, Hellen Mwango toka gazeti la Nipashe,katikati ni mimi(Happiness Katabazi),Amina Juma (Daily news) tukifuatili kwa makini mada zilizokuwa zikiwasilishwa na wadau wa asasi zisizo za kiserikali katika Mkutano Mkuu wa mwaka, uliofanyika Juni 28-29 mwaka huu, New Dodoma Hoteli mkoani Dodoma, ambao uliandaliwa na Pact Tanzania.

No comments:

Powered by Blogger.