Header Ads

DK.BILAL AITIKISA PWANI


Kamanda wa Chipukizi wa Wialaya ya Kilwa Masoko, Chekeni Omar, akimvisha Skafu Mgombea Mwenza, Mohamed Gharib Bilal, wakati wa mapokezi ya mgombea huyo eneo la Somanga, akitoka Wilaya ya Rufiji kuingia Wialaya ya Kilwa Masoko kuendele na Mikutano ya Kampeni(imepigwa leo Agosti 24 mwaka 2010).

No comments:

Powered by Blogger.