Header Ads

TUNAMSUBIRI UTETEZI WA LIYUMBA HIVI!


Katikati ni mimi Happiness Katabazi (Tanzania Daima),kulia ni Furaha Omar(Uhuru na Mzalendo),kushoto ni Neema Mgonja(Jambo Leo) na nyuma ni Regina Kumba (Habari Leo).Sisi sote pichani waandishi wa habari za mahakama nchini,tukiwa ndani ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, leo tukisubiri Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu, Amatus Liyumba(62) aanze kujitetea.(Picha na Fancis Dande)

No comments:

Powered by Blogger.