Header Ads

HAPPY BIRTHDAY QUEEN MWAIJANDE (3)


Mwandishi Mwandamizi wa gazeti hili Happiness Katabazi akiwa na mwanae Queen Mwaijande(3) wenye nyuso za furaha katika hafla fupi ya mtoto huyo kutimiza miaka mitatu iliyofanyika nyumbani kwao Sinza C, Dar es Salaam.Queen akiwa mkubwa anasema anataka awe Askari Mpelelezi ‘chatu,nusanusa’ wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)

No comments:

Powered by Blogger.