Header Ads

AMOS MAKALLA ATOA MSAADA WA JENERETA JIMBONI KWAKE



Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ( mwenye suti) akimkabidhi Jenereta lenye thamani ya Sh: milioni 3.5 , Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Lukenge, Kata ya Mtibwa Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro , Romanus Daniel ( kushoto) juzi kwa ajili ya kufunga kwenye chanzo na kusukuma maji hadi Kijijini hapo ili kuondokana na tatizo la maji safi na salama tangu mwaka 2006 (Na Happiness Katabazi)

No comments:

Powered by Blogger.