Header Ads

ASHA BILAL:'USIMPIGE MWANAMKE PIGA MPIRA'

Mke wa Makamu wa Rais Mama Asha Bilal, akiwa na zawadi ya mpira aliokabidhiwa na waratibu wa maonyesho ya Kazi za Wake wa Mabalozi ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watu wasiojiweza yaliyoandaliwa na Kikundi cha Wake wa Mabalozi yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Tanganyika International Masaki jijini Dar es Salaam leo Nov 20. Mpira huo ulikuwa na Ujumbe usemao ‘USIMPIGE MWANAMKE PIGA MPIRA’. Picha na Muhidin Sufiani

No comments:

Powered by Blogger.