Header Ads

HAPPINESS KATABAZI AITIMU KOZI YA CHETI CHA SHERIA

Pichani ni Mwandishi Mbobevu wa Habari za Mahakamani nchini, Happiness Katabazi katika mahali yake ya kumaliza Kozi ya Cheti cha Sheria iliyokuwa ikitolewa na Shule ya Sheria Tanzania ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City,Novemba 27 mwaka huu.Mahafali hayo ni mahafali ya 40 ya chuo hicho.

1 comment:

Simon Kitururu said...

Ingawa nimechelewa,.. HONGERA Hapiness!

Powered by Blogger.