Header Ads

ASHA BILAL NA UTAMADUNI

Mke wa Makamu wa Rais Mama Asha Bilal, akivishwa beji ya kampeni ya kutokomeza ugonjwa wa Vistula na mwakilishi wa ‘MABINTI Vistula’, Katia Geurts, kutoka CCBRT, wakati alipoalikwa kufungua rasmi maonyesho ya Kazi za Wake wa Mabalozi yaliyoandaliwa na Kikundi cha Wake wa Mabalozi nchini kwa ajili ya kuchangisha fedha za kuwasaidia watoto na watu wasiojiweza na NGO’s, yaliyofanyika kwenye Viwaanja vya Shule ya Tanganyika International Masaki Jijini Dar es Salaam, Nov 20 mwaka huu. Picha na Muhidin Sufiani

No comments:

Powered by Blogger.