Header Ads

JAJI WARIOBA NA MAANDAMANO YA WASOMI


JAJI Joseph Warioba ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Rwekaza Mukandara wakiongoza maandamano ya wanataaluma kuingia katika ukumbi wa Mlimani City, jumamosi iliyopita ambapo siku hiyo ndiyo yalikuwa mahafali ya 40 ya chuo hicho.

No comments:

Powered by Blogger.