Header Ads

KATABAZI-TUMEHITIMU


Happiness Katabazi(Kulia) akifurahia jambo na wahitimu wenzake wa kozi ya cheti cha sheria iliyokuwa ikitotolewa na Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wa katikati ni Zawadi na akifuatiwa na Anna Lyamuya, nje ya ukumbi wa Mlimani City ,Dar es Salaam, Novemba 27 mwaka huu, katika mahafali ya 40 ya chuo hicho yalifanyika ukumbini hapo

No comments:

Powered by Blogger.