Header Ads

Jinsi Happiness Katabazi nilivyoupamba mkono wangu kwa nakshi ya swaga.
Mhariri Mkuu Mtendaji wa Magazeti ya Tanzania Daima na Sayari Absalom Kibanda wakwanza kushoto, Mwenyekiti wa Makampuni ya Free Media na Bilicanas Group Freeman Mbowe na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hizo Dk. Lilian Mtei Mbowe hawpa wakiiinua glass zao juu kuashiria ufunguzi wa sherehe ya kuuona salama 2011 katika hafla iliyofanyika Jumatatu usiku kwenye ukumbi wa Cassa Complex Mikocheni Jijini Dar es Salaam.Mbowe aiongezea mtaji Free media

Katabazi na Hadija Kalili

Katabazi na Hadija Kalili


Jinsi ninavyopenda nakshi nakshi Happiness Katabazi nilivyopagawisha swaga hili mkononi.

Dk.Lilian Mbowe ambaye ni Mmiliki wa Freemedia Ltd akikata ndafu katika sherehe hiyo.
Hadija Kalili na Makuburi Ally wakisakata rumba.

Katabazi akicheza kisanora na stage show.

Mhariri Mtendaji Absalom Kibanda akitoa akisoma risala katika sherehe hizo

Katabazi akimpatia taarifa Said Michael (WAKUDATA)kwamba mke wake amejifungua mtoto wa kike katika hospitali ya Jeshi Lugalo saa tatu usiku wa siku hiyo ya sherehe ambapo siku hiyo Wakudata ndiye aliyekuwa Mshereheshaji wa sherehe hiyo.

















No comments:

Powered by Blogger.