Header Ads

KUMBUKUMBU:MATTHEW DOUGLAS RAMADHANI


Mwalimu Matthew Douglas Ramadhani, leo unatimiza miaka 50 tangu ulipotuacha Machi,mosi , 1961, kwa ajali ya treni katika kituo cha Guidebridge, Ashton-under-Lyne nchini Uingereza.

Alizaliwa Septemba 11 mwaka 1915.Unakumbukwa na wanao wapendwa Jaji Mkuu mstaafu wa Tanzania, Agustino Ramadhani, Marina,Henry,Mody, Mary na Bright.


Wakati tukikumbuka kifo chako , Ibada inafanyika leo katika Kanisa Kuu la Anglikana la Watakatifu Wote, Vinghawe, Mpwapwa, ambapo kiti cha Askofu na viti vya Makanoni vitanzinduliwa kwa ukumbusho wake.

MUNGU AIWEKE ROHO YAKE PEMA PEPONI. AMINA.

No comments:

Powered by Blogger.