Header Ads

TASWIRA YA MKUTANO MKUU WA SACCOS YA POLISI MOROGORO

 
Mwenyekiti wa Bodi  URA SACCOS, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP),  Jonas N. S. Mugendi, aliyesimama, akitoa mada mbele ya wajumbe na wanachama wa Bodi hiyo walipokutana katika mkutano wa tano wa mwaka unaofanyika mkoani Morogoro, Kutoka kushoto Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu Wizara ya Mambo ya Ndani,  Bi. Lilian Lamek, akifuatiwa na Mkuu wa Utawala Wa Jeshi la Polisi,SACP Thobias Andengenye, na wengine kutoka kushoto ni Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro, Faustine Shilogile, Awadhi Chicco, ambaye sasa amestaafu  na Kamishina  Msadizi (ACP), Alli Omar All.(Picha na Demetrius Njimbwi wa Jeshi la Polisi Morogoro. 






  1. Mkurugenzi wa Rasilimali watu Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Bi. Lilian Lamek, akizungumza na Wajumbe na Wanachama  wa Bodi ya URA SACCOS, ambao hawapo pichani wakati akifungua mkutano wa tano wa mwaka unaofanyika mkoani Morogoro.(Picha na Demetrius Njimbwi wa Jeshi la Polisi Morogoro)


     

No comments:

Powered by Blogger.