Header Ads

ADAM MBOGO 'NYENGO"APATA JIKO


Mdau Adam Mbogoro'NYENGO"akiwa tafakari mpya baada ya kupata mke Matrida mwishoni mwa wiki na kufuatiwa na tafrija la kukata na shoka katika ukumbi wa Land Mark jijini Dar es Salaam.
Nawatakieni furaha na uvumilivu katika safari yenu mpya ya maisha ya ndoa mliyoianza na mungu awatangulie.

No comments:

Powered by Blogger.