Header Ads

JENERETA NI MUHIMU MAHAKAMANI


Kulia ni Wakili wa Serikali Biswalo Mganga na wakili mwenzake Michael Lwena,wakifurahia jambo muda mfupi baada ya Hakimu Mkuu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Kisutu, Addy Lyamuya kuairisha kesi ya wizi wa sh milioni 207 za Akaunti ya Madeni ya Nje katika Benki Kuu ya Tanzania, kwasababu ya umeme kukatika.Kukatika kwa umeme kunasababisha kesi za EPA kushindwa kuendelea kwasababu kompyuta maalum na vinasa sauti zimekuwa zikitumika kurekodi mwenendo mzima wa kesi hizo.(Picha na Happiness Katabazi)

No comments:

Powered by Blogger.