Header Ads

DPP-ELIEZER FELESHI AKIELEZA MAFANIKIO




Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Eliezer Feleshi akielezea mafanikio yaliyopatikana tangu waendesha mashtaka wa kiraia toka ofisi yake waanze kuendesha mashtaka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu pamoja na changamoto zinazowakabili. (katikati) Waziri wa Katika na Sheria Mathias Chikawe na ni Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Lameck Mlacha, wakati waziri Chikawe alipofanya ziara katika mahakama hiyo, leo Mei 25,2009. (Picha na Happiness Katabazi).

No comments:

Powered by Blogger.