Header Ads

HAPPINESS NA ZOMBE



Nikifanya mahojiano na aliyekuwa Kamishna Msaidizi wa Polisi Mkoa wa Dar es Salaam, Abdallah Zombe(55),kwa mara ya kwanza tangu yeye na washitakiwa wenzake nane washinde kesi ya mauji ya wafanyabiashara wa tatu na dereva teksi mmoja iliyokuwa ikiendeshwa katika Mahakama Kuu Kanda.Hapo ni nyumbani kwa Zombe, Mtoni Kijichi.(Picha hii ilipigwa Jumamosi Oktoba 3,2009)

No comments:

Powered by Blogger.