Header Ads

HAPPINESS VS MAPAPARAZI WENZAKE



Kulia ni mimi na kushoto ni mwandishi mwenzangu wa habari za mahakamani nchini toka Televisheni ya ITV, Salum Makambara, tukimsikiliza kwa makini Jaji Mkuu Agustino Ramadhani, hayupo pichani, leo mchana wakati akizungumza na watumishi wa mahakama mkoa wa Dar es Salaam, katika ukumbi namba moja wa Mahakama Kuu.(Picha imepigwa Oktoba 13, 2009)

No comments:

Powered by Blogger.